Niite Alisina a.k.a Mbape a.k.a brother Rachid a.k.a ibn warraq a.k.a Bertrand Russell a.k.a Stephen hawking a.k.a Joshua foer a.k.a Eye hates God a.k.a Son of Lucifer a.k.a Son of nun a.k.a Archangel.
Alisina jina ambalo linamtaka mtu/binadamu awe open minded,freethinker,na ili kulitendea haki lazima uwe mdadisi,mpenda kuhoji,uwe na maswali mengi badala ya majawabu,
Mfano Ukweli gani wa muhimu wenye faida ambao watu wachache wanakubaliana na wewe...???
Pia usipende kuyumbishwa katika mitazamo/misimamo yako sahihi,kadhalika Alisina pia mpenda watu bila baguzi ya aina yote,mpenda furaha na amani na mwisho usomaji vitabu.
Read more,Learn more , Change the globe!!
Mtu yoyote anaweza pata jina hilo kama ataikana nafsi yake katika juhudi za kujiimalisha kimtazamo na ki-akili.
Niite Alisina mwana wa um'slopogazi mjukuu wa Maskini kitukuu wa Shida.
Idumu Jamii forum! !!!