Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sesten Zakazaka alikua ni Libero na beki kisiki wa timu ya Admark Tigers na timu ya Taifa ya Malawi miaka ya 80s akicheza pamija na kina Boniface Maganga, Clement Mkwalula, Dickson Mbetewa, Harry Waya, Laurance Waya, Jack Chamangwana, Kina Phiri, Young Chimodzi, Maloya Siriya kuwataja wachache
Kwann ulijiita mjambaji?Nashangaa umejuaje mkuu
Tupe vitabu unavyosoma tuongeze maarifaNiite Alisina a.k.a Mbape a.k.a brother Rachid a.k.a ibn warraq a.k.a Bertrand Russell a.k.a Stephen hawking a.k.a Joshua foer a.k.a Eye hates God a.k.a Son of Lucifer a.k.a Son of nun a.k.a Archangel.
Alisina jina ambalo linamtaka mtu/binadamu awe open minded,freethinker,na ili kulitendea haki lazima uwe mdadisi,mpenda kuhoji,uwe na maswali mengi badala ya majawabu,
Mfano Ukweli gani wa muhimu wenye faida ambao watu wachache wanakubaliana na wewe...???
Pia usipende kuyumbishwa katika mitazamo/misimamo yako sahihi,kadhalika Alisina pia mpenda watu bila baguzi ya aina yote,mpenda furaha na amani na mwisho usomaji vitabu.
Read more,Learn more , Change the globe!!
Mtu yoyote anaweza pata jina hilo kama ataikana nafsi yake katika juhudi za kujiimalisha kimtazamo na ki-akili.
Niite Alisina mwana wa um'slopogazi mjukuu wa Maskini kitukuu wa Shida.
Idumu Jamii forum! !!!
Noma sana, hiv Wick inamana gan😀Ngoja nimuite Msukumakizazi aje aseme ID yake ina maana gani!😀
Lina maana nyingi sana lakini mojawapo ni utambi wa kibatari (all light supplier). Nipo kila sehemu nasupply information.Noma sana, hiv Wick inamana gan😀
Mkuu jibu la swali lako lipo kwenye jina langu.Kwann ulijiita mjambaji?
Kijana unakuaga kumbeNoma sana, hiv Wick inamana gan😀