Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote? - JamiiForums
 
The one who is all Goddess ISIS!
Yes, roho yake iko kwangu milele walahi!
That’s all
 
Nimekuelewa sana
 
Awww my gawwdd baba vickkkyy..a mishyuu jjooo muchh...muahh[emoji8][emoji8]how's swalehe doing jamanii,..?!(in mumu's voice)[emoji7][emoji16]
He is doing fine ... He talks about you every day dear ... But vicky is npt well tonslittis are disturbing her apprehensively
 
Jina langu linaendana na muonekano wa ubonge niliokuwa nao kipindi naichezea team fulani ya ma under17,kwenye team hiyo nilikuwa captain. Sasa kutokana na umahiri wangu wa kumiliki soka uwanjani kila mtu akawa ananiita captain kibonge. Jina langu halisi lilikuwa gumu kutamka hivyo liliwafanya watu wengi waniite hili jina ninalo litumia hapa JF.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…