Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

Mkuu ushafika OT kweli kwenye stadium tour!!..
Kitambo kidogo mkuu,enzi za ujunior huko,leo uniambie niende OT kutoka tz ni ghali saana kwa gharama binafsi,tho ukishafika UK km laki 2 utafanya tour vizuri,ila hapo bila kuangalia mechi,labda kwny tv za restaurant
 
He is doing fine ... He talks about you every day dear ... But vicky is npt well tonslittis are disturbing her apprehensively
[emoji23][emoji23]aahh Darling... Ntakujibu nikiwa[emoji482][emoji482]ila pole kwa my mshwityy Vickie.. Nampendaa mwambie aunti ake atakuja kumuona veeeeryy soon..
 
Kati ya watu wanaotamani kubadili majina ni wewe hapo. Mods msaidie jamaa
 
Nilikua napenda series ya "Designated Survivor" ya Kiefer Sutherland, almaarufu kama Jack Bauer aliyejipatia jina kupitia series ya 24.
 
Ha ha haaa...anatomy shida....m nakumbuka atlanto-axial
 
kama m mkuu niliwwka password ya jina langu Na la dem tumeacgana toka April 2017 kuandika pasodi hua naona kinyaaaa...
though so kwa I'd hii
Password yangu ya MPesa etc. ni code ya jina langu na la mwanamke nliyeachana nae 2012.
 
I am Bless nime identify jina langu halisi which is (Bless), niweke jina fake namuogopa nani? Mi namuogopa Mungu tu,
 
Kumbe jamaa wewe ndio zilikua ID zako hizo? Nikajiaga labda hao jamaa wameachana na JF kumbe watu mnabadili ID juu kwa juu
 
Sina Kinyongo na MTU, sina makuu ni MTU wa watu ni SWAHIBA wa kila Aliye Mwema..1992..(92)Nilifunga Ndoa, Nikampata mwenzi wa maisha..
Nilidhan utasema ndo mwaka uliozaliwa kumbe ndo uliingia kwenye chama la wana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…