Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

Che - ni kiambishi awali cha sifa ya hadhi.
Yaani kama unaitwa Sombi basi ukishatoka jandoni unaitwa
Che Sombi.
Ni kama makabila mengine yanatumia viambishi awali kama
She - Lukindo
Mwa - Kipesile
Se - Kalinga
Se - Ntongo, nk.
Wazungu utasikia wanaitwa
Allex, Mc - Neell
Perez, De - Quere, nk

Mittoga ni jina la hadhi ya ukoo.
Kumbuka ile "Che" ni kiambishi awali cha sifa ya hadhi, na sio jina.
Kwa mfano ukimsaidia mtu ktk tatizo kubwa anakuja kukushukuru hata kama unaitwa Ally hatamki Ally.
Bali anasema
"Usengwile Mittoga" kama ni mwanamume asiye pitia jandoni, kama kapitia jandoni utaunganisha Kiambishi awali cha sifa ya hadhi na jina la hadhi ya ukoo na utatamka
Che mittoga
Kwa maana ya " Asante Ally "
Hapo inamaana wanaume wa ukoo wa "Chapanjila" wote kama yeyote atafanya jambo zuri hivyo kutakiwa kushukuriwa au kuombwa radhi basi jina litakalotumika ni " mittoga "
Asante Che mittoga
Samahani Che mittoga.
Ndio maana nikatumia hiyo
Avatal.
Usengwile makamanda.
Kunjani


Sent using Jamii Forums mobile app
Kama Che Guevara?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi jina langu laanza na herufi "J"ushaitamka tayari sasa ni "Jay"
kuwa nina maarifa kiasi fulani basi jamaa fulani wakawa wananiita "Mtaalam" hivyo basi "Jay Mtaalam" naweza kukufanya ukabadili fikra,nikakufanya useme unachokifikiri japo mimi nitjifanya sijui haya kidogo ili nijue fikra zako,watu hufikiri sijui muda mwingine kumbe nawasoma ajili zao kwa sababu ni wabishi..nawasubiria mwishoni.
 
Hili jina natumia maana napenda sana kufanya Kazi kwenye Off Shore Rig, na nilipenda kujiita hivi tukisafiri tukiwa maeneo yenye hali ya hewa mbaya sana watu wanatapika mimi nakuwa nipo vizuri na ndio muda wangu wa kufurahia ubaharia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Che - ni kiambishi awali cha sifa ya hadhi.
Yaani kama unaitwa Sombi basi ukishatoka jandoni unaitwa
Che Sombi.
Ni kama makabila mengine yanatumia viambishi awali kama
She - Lukindo
Mwa - Kipesile
Se - Kalinga
Se - Ntongo, nk.
Wazungu utasikia wanaitwa
Allex, Mc - Neell
Perez, De - Quere, nk

Mittoga ni jina la hadhi ya ukoo.
Kumbuka ile "Che" ni kiambishi awali cha sifa ya hadhi, na sio jina.
Kwa mfano ukimsaidia mtu ktk tatizo kubwa anakuja kukushukuru hata kama unaitwa Ally hatamki Ally.
Bali anasema
"Usengwile Mittoga" kama ni mwanamume asiye pitia jandoni, kama kapitia jandoni utaunganisha Kiambishi awali cha sifa ya hadhi na jina la hadhi ya ukoo na utatamka
Che mittoga
Kwa maana ya " Asante Ally "
Hapo inamaana wanaume wa ukoo wa "Chapanjila" wote kama yeyote atafanya jambo zuri hivyo kutakiwa kushukuriwa au kuombwa radhi basi jina litakalotumika ni " mittoga "
Asante Che mittoga
Samahani Che mittoga.
Ndio maana nikatumia hiyo
Avatal.
Usengwile makamanda.
Kunjani


Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni mbenamanga?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha mkuu umenikumbusha...
Id yangu ilikua hivi,...

Ni kipindi natoka Rwanda nikiwa na wenzangu wanne sasa tuliondoka mda sio Kigali tukafika boda mida ya usiku na hapakua na usafiri wa kutuchukua kwa upande wa Tz. Sasa akatokea mchaga mmoja ana semiteller akatuambia atuchukue kwa elfu mbili mbili kwa kila mmoja. Sasa tukapanda kwenye kontena mulikua na magunia kama saba ya karoti, hakika siku hiyo nililitafuta kama za kwangu. Na hapo ndo jina hilo likapatikana.
Hahaaha,
 
Mtaani kulikuwa na majina mengi ya jumaa hivyo kutofautisha waliniita jumaa kizinga(kizinga ni kirefu cha kizingani. Na ni Jina LA kijiji kinachopatikana mtimbwani.Ukifika mtimbwani unaingia ndani kidogo unakuta kijiji jangwakuu kisha kizingani. Na aliishi hapo bibi yangu mzaa mama.Na kipatikana jijini Tanga njia ya kwenda horohoro mpakani) na Mpemba nilikaa Sana unguja niliporudi Nikawa naongea kipemba nikawa pia naitwa jumaa Mpemba. Nikaunga kizingampemba
 
Back
Top Bottom