MoroGent
Member
- Jan 10, 2018
- 84
- 343
mjomba angu anaitwa Chikulonda, wa swax, fipa oye, wa kumwitu.Chikutentema, jina la Utani la mjomba angu huko Sumbawanga, akinywa alikuwa na maguvu sana nami kwakuwa napenda umwamba (Ubabe) nilikuwa namkubali sana. Japo kaacha ubabe now
Sent using Jamii Forums mobile app
Ok, jina lqngu limetokana na kwamba nmesoma moro olevel, adv na chuo kikuu, ivo nikajiita morogoro gentleman
Sent using Jamii Forums mobile app