Kocha Mkuu
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 1,862
- 3,320
Niko nae hapa😂😂😂😂 poa poa nakupm
Najua baada ya Magu kuondoka atakuwa amefulia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niko nae hapa😂😂😂😂 poa poa nakupm
Bado yupo vizuri, ila anaomboleza mpaka leo😅😅Najua baada ya Magu kuondoka atakuwa amefulia.
Bado yupo vizuri, ila anaomboleza mpaka leo😅😅
Ndio ndio kutesa kwa zamu yaniMfikishie pole yangu, mwambie ni zamu yetu sasa.
Na wewe hujaeleza maana ya jina Lako, plizRetired
Dah hujampataga hadi. LeoTrudie jina alinipa rafiki yangu kipenzi ambae alikuwa ananipenda sana kipindi tunasoma advance. On and off za kuonana na kupotezana ila bado nakumbuka jina hili na ninalitumia sehemu nyingi.... Cheusi a.k.a Optimus halaaa from trudie here [emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]
Na wewe hujaeleza maana ya jina Lako, pliz
Safi Sana umenikumbusha mzee wangu. Nae ni hivyo hivyo. Hata ule waraka wa uliotolewa na. Jeshi juzi nilimtumia akawa anahamu sana kujua nini jeshi linataka kuongea akaniambia wakishatoa tamko nimtumie ujumbe maana yupo mbali kidogoMjeda mstaafu
Oohooo jamani my lovely oneMie huwa sinywi vinywaji vya viwandani, sasa siku ya graduation yangu ya 4m 6, nilijaribu kunywa soda (coca-cola), nlitapika San na kuumwa vibaya, ndo mwanafunz mwenzang akaniita jina hili.
Huwa nkikumbuka nacheka sana, [emoji23][emoji23][emoji23]
Safi Sana umenikumbusha mzee wangu. Nae ni hivyo hivyo. Hata ule waraka wa uliotolewa na. Jeshi juzi nilimtumia akawa anahamu sana kujua nini jeshi linataka kuongea akaniambia wakishatoa tamko nimtumie ujumbe maana yupo mbali kidogo
Ntakupm badae bamdogoWow
Nimefurahi at least kuna watoto wetu humu
Bless you
Ntakupm badae bamdogo