Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kabla ya ubatizo huo toka kwa huyo member ulikua uki jiita nani?Mi nilipewa tu na member humu
Umenikumbusha wafanyabiasha wa Mbeya wa mboga mboga huimba ili kuita wateja.Nguniani ni majani ya maharage kwetu mbeya ni miongoni mwa mboga pendwa ila kwa upande wangu siipendi sana.
Kutetea Old Jo son refugees waGo jo Son kuunda Goguryeo , ilikuwa noma sana .Nlikuwa napenda Sana series ya jumong .....akiipambania Goguryeo isimame tena ....
ndo maana nikajiita Goguryeo
Mimi ni Mama tena Mkubwa 53 yrs.
Yuko wapi jamaa kwa sasa?
NB: Naomba nitumie PM nina ujumbe wako.
ISIS the one and only Goddess,
Najisikia mimi ni Mungu
View attachment 1972358
View attachment 1972359
View attachment 1972360