Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Kuna majina ni kama sentensi shurtia...!!Kuna hawa Mimi sikulamba sukari na Jana Ulirudi Usiku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna majina ni kama sentensi shurtia...!!Kuna hawa Mimi sikulamba sukari na Jana Ulirudi Usiku
Nimelitoa kwenye movie ya kihindi inayoitwa udaan (Kama sijakosea)alikuwa ni main character wa hiyo movie.ni mtoto mchangamfu sana na mcheshi muda wote(mwanzoni mwa movie)hata ukimkosea anapoteza furaha baada ya muda baada ya hapo anarudi kwenye maisha Yake ya uchangamfu,furaha/ucheahi na upendo
Ni movie ndefu sana utafikiri treni ya kwenda mbinguni.
Sikuwahi kufifikia katikati wala kuimaliza
Nimeiweka picha Yake kwenye comment 👆🏿Baada Ya wewe kureply..Ooh!
Bahati mbaya mimi si mpenzi wa filamu za Wahindi, vinginevyo ningeweza kumuona Chakorii huko ☺️
Lakini kwa sifa hizo ulizotaja, itoshe kusema zinaendana nawe mujarabu kabisa mdada mrembo 😊
Nimeiweka picha Yake kwenye comment 👆🏿Baada Ya wewe kureply..
😃kuna wakati yes kuna wakati kauzu😁😁
Mh mtoto wa kichagga ntakutembelea inbox soonDebora Paul Laswai
As she then was ma lady for about a weakDebora Paul Laswai
Yawezekana Watu8 .Nimeona kipenzi, she has a nice smile, bila shaka nawe pia ☺️, nime imagine na lafudhi zenu zile za kaskazini za kuvutia maneno haswa kwa watu wa Arusha na Moshi ☺️
Wanadamu sote ni mchanganyiko wa ukauzu na utu wema, bahati mbaya kuna wengine asilimia za ukauzu huzidi zile za utu wema na hugeuka kuwa mabandidu...
Huyo sijawah kukutana nae, aliwaza nini😂😂😂Muongeze na huyu miminimatope
Full ubabe😂Kuna majina ni kama sentensi shurtia...!!
Kipochi unyoya,aka papuch aka mgegedo.Hiv mbususu ni nini?? Sijui maana pia nimeiona Mara kadhaa
Angalia ulivyo Juha yaani kwa Kuniogopa umeacha kuitumia ile ID yako zoeleka hapa Jamiiforums ili isipigwe BAN kwa Kunitukania na umeamua kuja na hii ID ambayo huwa huitumii sana ili Unishambulie nami nikujibu hovyo kisha nipate BAN uridhike.Hakuna cha Dimwit hapaa Pumbavu!!!
Watu dizain ya GENTAMYCINE ukiwa na akili timamu hawawezi kukusumbua hata,wanaojibizana nao kwenye matusi Hadi wanapigwa ban nao Wana matatizo sn😅Genta huwa ana hasira na ghadhabu za haraka.