Je, Jua ni Mungu?

Je, Jua ni Mungu?

Jua si Mungu kwa sababu linatokana na elements/burning gases.Na hizo gesi zilitengenezwa na nani?
God is mighty.. Mungu anatisha sana..na utisho wake ni ule ule wa jua maana moto na nguvu inayozalishwa pale kwenye jua kwa siku moja ni umeme toka kuanzishwa kwa dunia takribani 386 billion billion of energy per day.

Mungu ni hatari Sana.
 
Mwezi ni kawaida sana hauna utukufu wa utisho wa kimungu. siku hizi pale NASAR marekani kuna utalii wa kwenye mwezi unatoa mkwanja unapelekwa mwezini. Ila jua hata kuliangalia ukiwa Duniani tu haiwezekani.

Then hata wanawake kila mara wanaenda mwezini kirahisi tu.
hahahaaa hata wanawake what ?? hahaaa
 
Kama huyu Mungu mnaemsemea ndio anahitaji elimu na IQ kubwa namna hii kumuelewa,hanifai kabisa.

Simtaki na wala sitaki kabisa ajihusishe na mimi!

Yaani usipokua Msomi maahiri huwezi mjua MUngu kabisa kama ni hivi!

Mungu gani baguzi namna hii,lenye kujipambanua kwa wenye akili na IQ tu wakati yeye yeye kaumba wanadamu 95% ni wajinga kama mimi hapa tunaenda motoni!

Mungu bwege kabisa hili!
hahaaaa MUNGU HUYU KUMUELEWA MPKA UWE MTAALAMU WA ALGEBRA
 
Mkuu hapa nimemwongelea Mungu kwa uelewa wa kisayansi sambamba na religious perspective.

Ila naamini wote tuna IQ sawa ni sawa na Simu zinpotenegenezwa zinakuwa na memory sawa ila inategemea na unavyoitumia memory yako...kuna watu hadi simu inakufa inakuwa na nyimbo tano tu wakati memory yake ni GB 10... This is injustice..!

Mungu atakuuliza hizo GB zilizobaki zilienda wapi?
aiseeee ...
 
Wewe unaamini JUA,basi wewe ni atheist kwa yule aaminie MLIMA!

Kila mtu ni atheist kwa kile asichoabudu yeye!

Na kwa taarifa yako tu,binadamu wote tulizaliwa ATHEISTS siku mama zetu wanajifungua!Tulikua hatuna taarifa kabisa kama kuna lidude linaitwa Mungu au shetani.....Tulianza kubadilika tu pale wazazi na walezi zetu walipoamua kutushinikiza tunamini wanavyoamini wao eti sababu ni wazazi.Hatukuchagua,walitulazimisha!

Hivyo huna lolote la maana unaweza nieleza na huyo Mungu wako JUA.Kuna miungu chungu nzima humu ambao wewe ni atheist to them like they are to yours.

So stop eating your own butt!
wayaaaaaaa ...daahhhh huwa nakuelewa mnoo mpwa
 
Mkuu unataka kusema kwamba tulizaliwa tukiwa na mawazo ya kwamba hakuna mungu?
mkuu ulipozaliwa wakati una siku 2 tangu uje duniani ulikuwa wamjua hata mama yako??
sasa kama mama yko ulikuwa humjui vipi kuhusu MUngu??
 
soma aya ya 1.
48be4781b92ccebf22e96272b81e35f2.jpg
mkuu haya maneno ..sihata wewe waweza kuyaandaa na kuyasambaza katika vyanzo mbali mbali ..sasa hizo bahari zikawaka moto zote ..hapa duniani sipatakuwa pameenea moshi mahali pote ...
 
Tatizo unajaribu kumtafuta mungu,kwaakilizako na usomiwako ,unataka kuniambia sisimizi ajuejinalako,ajuemwaka uliozaliwa ,amjue,baba yako,amjue na mamayako,ajue kijijiulicho tokea ,namwaka uliozaliwa ,kama sisimizi hatoweza kujua historian yako wakati we we hujamuumba Basi we we utajipashida kumtafuta aliekuumba,kwausomi wako utaishia kufananisha vitu unavyo vionavyaajabu kuwa nimungu,ukwelinikwamba kamaulivyoumbwa we we navyo pia vimeumbwa ili vikusaidie uwepowako na ustawi,,,,Mimi simsomi,ilaunajipa kazi kubwa ,kumtafuta mungu
 
Wewe kuna nyota gani kubwa zaidi kuliko jua huko kwenye universe!?

Niambie?
Kuna VY canis majoris kubwa Mara 2100 kuliko jua pia angalia supergiant stars ,kutoka duniani kwenda huko kuna 4900 light years ikumbukwe mwanga unatoka kwenye jua kuja duniani kwa dakika nane..unaweza kuimagine umbali utakaosafiri ndani ya mwaka mmoja na baadaye miaka 4900
 
Jua is one of the stars in our milk way. Hizi nyota zote unazoziona ni kama jua ila zenyewe nyingi ni kubwa kuliko jua letu. Kwenye solar system yetu ndo tuna nyota hii ambayo kuna sayari nane zinaizunguka. Nasema nane sababu Pluto walii disqualify kuwa sayari wenyewe wanasayansi. Sasa Hesabu nyota zote ambazo zipo angani uzipe UMUNGU. Meaning tuna Miungu maelfu na kusaza. Lakini wengine wanaabudu Miti mikubwa, maziwa, ng'ombe na vitu tofauti kama miungu yao. Wapo wanaoamini kuwa hakuna Mungu ila kadri unavyotenda mema ndo unajiongezea tick ya kutorudi tena duniani ukiwa kiumbe tofauti.
cc: mshana jr.
 
Kama huyu Mungu mnaemsemea ndio anahitaji elimu na IQ kubwa namna hii kumuelewa,hanifai kabisa.

Simtaki na wala sitaki kabisa ajihusishe na mimi!

Yaani usipokua Msomi maahiri huwezi mjua MUngu kabisa kama ni hivi!

Mungu gani baguzi namna hii,lenye kujipambanua kwa wenye akili na IQ tu wakati yeye yeye kaumba wanadamu 95% ni wajinga kama mimi hapa tunaenda motoni!

Mungu bwege kabisa hili!
Unataka umuone ndio maana brain yako inakutuma utukane.
 
Back
Top Bottom