Humble African
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 4,781
- 14,415
- Thread starter
-
- #101
God is mighty.. Mungu anatisha sana..na utisho wake ni ule ule wa jua maana moto na nguvu inayozalishwa pale kwenye jua kwa siku moja ni umeme toka kuanzishwa kwa dunia takribani 386 billion billion of energy per day.Jua si Mungu kwa sababu linatokana na elements/burning gases.Na hizo gesi zilitengenezwa na nani?
Mvua nayo lawama ukitaka kujua mafuriko yaje getoni kwakoNadhani watu walipaswa kuabudu mvua maana inaleta chakula pia..jua huwa watu hawalipi kipaumbele sana maana likizidi ni lawama tofauti na mvua.
Eti mafuriko yaje magetoni..kweli we nyanimzunguMvua nayo lawama ukitaka kujua mafuriko yaje getoni kwako
hahahaaa hata wanawake what ?? hahaaaMwezi ni kawaida sana hauna utukufu wa utisho wa kimungu. siku hizi pale NASAR marekani kuna utalii wa kwenye mwezi unatoa mkwanja unapelekwa mwezini. Ila jua hata kuliangalia ukiwa Duniani tu haiwezekani.
Then hata wanawake kila mara wanaenda mwezini kirahisi tu.
hahaaaa MUNGU HUYU KUMUELEWA MPKA UWE MTAALAMU WA ALGEBRAKama huyu Mungu mnaemsemea ndio anahitaji elimu na IQ kubwa namna hii kumuelewa,hanifai kabisa.
Simtaki na wala sitaki kabisa ajihusishe na mimi!
Yaani usipokua Msomi maahiri huwezi mjua MUngu kabisa kama ni hivi!
Mungu gani baguzi namna hii,lenye kujipambanua kwa wenye akili na IQ tu wakati yeye yeye kaumba wanadamu 95% ni wajinga kama mimi hapa tunaenda motoni!
Mungu bwege kabisa hili!
aiseeee ...Mkuu hapa nimemwongelea Mungu kwa uelewa wa kisayansi sambamba na religious perspective.
Ila naamini wote tuna IQ sawa ni sawa na Simu zinpotenegenezwa zinakuwa na memory sawa ila inategemea na unavyoitumia memory yako...kuna watu hadi simu inakufa inakuwa na nyimbo tano tu wakati memory yake ni GB 10... This is injustice..!
Mungu atakuuliza hizo GB zilizobaki zilienda wapi?
wayaaaaaaa ...daahhhh huwa nakuelewa mnoo mpwaWewe unaamini JUA,basi wewe ni atheist kwa yule aaminie MLIMA!
Kila mtu ni atheist kwa kile asichoabudu yeye!
Na kwa taarifa yako tu,binadamu wote tulizaliwa ATHEISTS siku mama zetu wanajifungua!Tulikua hatuna taarifa kabisa kama kuna lidude linaitwa Mungu au shetani.....Tulianza kubadilika tu pale wazazi na walezi zetu walipoamua kutushinikiza tunamini wanavyoamini wao eti sababu ni wazazi.Hatukuchagua,walitulazimisha!
Hivyo huna lolote la maana unaweza nieleza na huyo Mungu wako JUA.Kuna miungu chungu nzima humu ambao wewe ni atheist to them like they are to yours.
So stop eating your own butt!
mkuu ulipozaliwa wakati una siku 2 tangu uje duniani ulikuwa wamjua hata mama yako??Mkuu unataka kusema kwamba tulizaliwa tukiwa na mawazo ya kwamba hakuna mungu?
mkuu haya maneno ..sihata wewe waweza kuyaandaa na kuyasambaza katika vyanzo mbali mbali ..sasa hizo bahari zikawaka moto zote ..hapa duniani sipatakuwa pameenea moshi mahali pote ...soma aya ya 1.
hahaaaaaBasi mwezi ni yesu na nyota ni malaikaa
hahaaamungu kapatwa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kuna VY canis majoris kubwa Mara 2100 kuliko jua pia angalia supergiant stars ,kutoka duniani kwenda huko kuna 4900 light years ikumbukwe mwanga unatoka kwenye jua kuja duniani kwa dakika nane..unaweza kuimagine umbali utakaosafiri ndani ya mwaka mmoja na baadaye miaka 4900Wewe kuna nyota gani kubwa zaidi kuliko jua huko kwenye universe!?
Niambie?
Unataka umuone ndio maana brain yako inakutuma utukane.Kama huyu Mungu mnaemsemea ndio anahitaji elimu na IQ kubwa namna hii kumuelewa,hanifai kabisa.
Simtaki na wala sitaki kabisa ajihusishe na mimi!
Yaani usipokua Msomi maahiri huwezi mjua MUngu kabisa kama ni hivi!
Mungu gani baguzi namna hii,lenye kujipambanua kwa wenye akili na IQ tu wakati yeye yeye kaumba wanadamu 95% ni wajinga kama mimi hapa tunaenda motoni!
Mungu bwege kabisa hili!
Unataka umuone ndio maana brain yako inakutuma utukane.
Nimeona umeandika "mungu bwege kabisa hili"Nimetukana wapi mkuu?Please quote tusi verbatim hapa...
halafu mbona umekasirika mtu kupinga dini?Mbona watu wa dini mna chuki na wasioamini?Kwanini lakini?
Mkuu naomba nikutanishe na shetani,Muogopeni mungu jamani...shetani anawahadaa tuu ila yeye mwenyewe anamuogopa mungu sana..
Binaadamu tunafanya dhambi hadi tunamzidi shetani.