Je, Jua ni Mungu?

Je, Jua ni Mungu?

Duuu.
Jua sio mungu but coz wanasema hata jua nalo inafikia kipindi linakufa.
soma aya ya 1.
48be4781b92ccebf22e96272b81e35f2.jpg
 
Mkuu unataka kusema kwamba tulizaliwa tukiwa na mawazo ya kwamba hakuna mungu?


Mkuu tulizaliwa hatuna wazo lolote kama kuna Mungu au Shetani...ni vitu tulikua hatuvijui kabisa.

Na infact,kisayansi mtoto anaanza kutambua mazingira yake walao kuanzia miaka mitatu.Hapo ndio wanadamu wakubwa wanaanza kumjaza wanayoyajua wao.

Watoto wote wanaozaliwa ni atheists,hawana dini,hawajui if there is anything called God or Devil,they do not know and they do not care!
 
Mkuu tulizaliwa hatuna wazo lolote kama kuna Mungu au Shetani...ni vitu tulikua hatuvijui kabisa.

Na infact,kisayansi mtoto anaanza kutambua mazingira yake walao kuanzia miaka mitatu.Hapo ndio wanadamu wakubwa wanaanza kumjaza wanayoyajua wao.

Watoto wote wanaozaliwa ni atheists,hawana dini,hawajui if there is anything called God or Devil,they do not know and they do not care!
Mkuu navyojua mie atheist anadai hakuna mungu,sasa ukisema tunazaliwa tukiwa atheists ndipo unaponishangaza.
 
Hahaha the humble African, wanasema M(Z)UNGU Ndiye.
Hilijua Sayari ya kwanza na ya pili hazina uhai, dunia ya tatu ina uhai, hakuna sayari ina ugai zaidi ya hii, hata Mars hakuna uhai lover iko huko mars inapiga picha lakini mpaka sasa hakuna picha ya kiumbe chochote kilicho hai, hata mabaki hakuna. Mwanzo walisema kuna bacteria wakapingana wenyewe.
Duniani ndio kuliko uhai, na sisi ndio MIUNGU wa humu. Kila kiumbe ni MUNGU, kina nguvu yake.
I GOT SOMETHING HERE
 
Mpwa..kwa concept ya kuumbwa na kwa kutumia spiritual energy sisi tuna uungu ndani yetu maana Mungu ni spiritual energy pia.

Nakubaliana na kauli yako ila nataka ujue yupo mmoja ndio the most supreme being..The God.
HATA WATU HUZIDIANA MAMBO MENGI MKUU,HIVYO BASI SUPREME YUPO.
 
Mkuu tulizaliwa hatuna wazo lolote kama kuna Mungu au Shetani...ni vitu tulikua hatuvijui kabisa.

Na infact,kisayansi mtoto anaanza kutambua mazingira yake walao kuanzia miaka mitatu.Hapo ndio wanadamu wakubwa wanaanza kumjaza wanayoyajua wao.

Watoto wote wanaozaliwa ni atheists,hawana dini,hawajui if there is anything called God or Devil,they do not know and they do not care!
YAAP SISI NI MATUNDA YA WAZAZI WETU NA AU WALIOTULEA TULIKUJA WATUPU TUKAJAZWA TUYAJUAYO NA WALIOTULEA AU KUTUFUNDISHA.NDIO MAANA KUNA USEMI WASEMA KICHWA CHA MTOTO NI KAMA BOKSI TUPU JINSI UTAKAVYOLIPANGA NDIVYO LITAKAVYOTOSHEA.
 
kuna nguvu flani tunapata kutokea ktk hiyo ni sawa, lakini Jua kuwa Mungu si sawa kwa imani yangu
 
Kabla ya kujibu ndiyo ama hapana lazima ujiulize maswali yafuatayo:-

#1 Mungu ni nini?
#2 Sifa za Mungu ni zipi?
#3 je , Mungu ana chanzo?

Maswali hapo juu ni conflictive questions ambazo zinahitaji hoja thabiti kuzijadili, hivyo nitatoa mwishoni hitimisho langu(jibu).

[HASHTAG]#1MUNGU[/HASHTAG] NI NINI?
Kwa ufahamu wangu, Mungu ni UWEPO usiodhihirika mwanzo wake wenye kuathiri mazingira / mifumo mingine. Hii INA maana kuwa, Mungu hadhihiriki mwanzo wake, lakini anadhihirika kwa matokeo ya uwepo wake.

#2 JE SIFA ZA MUNGU NI ZIPI?
Sifa kuu ya/za Mungu ni UWEZO MKUU.
Ifahamike kuwa Mungu ni cheo au hadhi, hivyo basi ili sifa hii idhihirike lazima kuwepo na matokeo makuu ya uwezo wa Mungu mfano uumbaji.

[HASHTAG]#3JE[/HASHTAG], MUNGU ANA CHANZO?
Hapa ndipo penye utata mkubwa sana hii inadhihirisha kuwa sisi wanadamu kuna mipaka ya uwezo wetu kimaarifa au ufahamu( perceiving).
Jambo hili hudhihirisha ukomo wa uwezo wetu dhidi ya Mungu

Kwa sifa/maswali hapo juu jibu ni HAPANA JUA SI MUNGU.
jua ni tanuru (wingu) la muunguzo wa gesi za Hydrogen, Helium n.k zinazouungua katika mfumo wa nyukilia na kuzalisha nishati kubwa za joto ( heat energy ) na mwanga(light energy).

Kwa mantiki hiyo utofauti wa Mungu halisi na jua umeonekana wazi kuwa jua linachanzo chake kitokanacho na miunganiko ya gesi zinazoungua lakini chanzo cha Mungu hakifahamiki.
Jua ni matokeo tu ya nguvu Fulani, lakini Mungu ndiyo chanzo cha hayo matokeo ( the factor of essence).
Asante.
 
Jua ni miongoni mwa nyota kubwa kuliko zote kwenye solar system ndio chanzo cha energy na maisha ya hapa Duniani na ulimwengu mzima na ikitokea jua limezima basi maisha ya ulimwengu mzima yanakoma. Mimea na miili ya binadamu inategemea mwanga jua kuendelea kuishi na sio mwanga wa Tanesco..kwanini ni mwanga wa jua peke yake..Mwanga wa jua una siri gani kubwa ya uhai na kuuisha inayoitofautisha na mianga mingine? Na lina mahusiano gani na utukufu wa kimungu? Na kwanini jamii nyingi Duniani zilifikia hatua ya kuliabudu kama Mungu? Na kwanini walipata majibu yao na kuishi kwa amani kuliko sisi? Kuna maswali mengi sana yanaibuka hapa.

Ila jua ni nyota kubwa kuliko zote inaaminika Dunia ili ilingane na jua inabidi ziwe dunia milioni 3,000,000/= dunia ni moto mkali sana unaowaka kwa miaka zaidi ya billion 5 bila kukoma I kutengeneza yenyewe hii energy kwa mfumo wa nuclear fission kwa kuzigonganisha hydrogen into helium na kutengeneza megawatts za energy 386 billion billion of megawatts kwa siku kiasi hili cha nguvu dunia toka kuumbwa hadi Leo haijawahi kutengeneza ilhali jua linatengeneza kwa siku na kinasafiri kwa sekunde kutoka miles ya jua lilipo hadi Duniani. Energy hii inaitwa cosmos sometimes ambayo ni sawa na energy rays ya rohoni ya binadamu inayofahamika kama "Aura" ndio maana binadamu akitizama na kuruhusu mionzi ya jua ya asubuhi impige kila siku kwa masaa matatu kwa miezi nane anakuwa spiritual awaken and powerful maana minzi hii ya jua ina ushabihianisho na mionzi ya energy ya roho ya binadamu. Swali je mionzi ya jua ndio supreme energy( Mungu)?
0f1c30b6744f8502a8256fa05f263eb5.jpg


Jua likioneshwa likiwa katikati ya sayari na nyota zote likizivuta kwa uga wake mkali wa sumaku zije katika USO wake na vyote hivi havina support yeyote ilivishikilia vinaelea angani kwa utukufu mkubwa na jua kutaka kuthibitisha Uboss wake sayari na nyota zote zinazunguka isipokuwa jua pekee ndio lipo limekaa pale pale kibosi.

Dini zote za zamani zinakubaliana kwamba jua ni Mungu na wakaita "Sun God " na ndio ikazaliwa "Sun day" siku ya jua ambapo watu hawakuruhusiwa kufanya kazi bali waende wakalisujudie na kulitukuza jua kwa matendo makuu linalowafanyia hii hata Ancient Roman waliamini sun is God ndio maana hata Jesus baada ya kuzaliwa na kufanya makubwa wakamwita "Son God' ambapo baadae aliitwa the Son of God"

f1e0dcd8b9f7f05a0bce72c88c06910c.jpg


Picha ya zamani Roman bikira mariamu akiwa kambeba mwanae na kukumbatia jua kwa wakati mmoja.

98a6d723baa72cda3d98a2dc3013614d.jpg


Kiti kilichoko Vatican cha Papa anachokalia kikiwa na mchoro wa jua kwa nyuma yake.

d15e8ee62a4f9215a174da918fff9dcf.jpg


Jesus kabebwa akiwa kazungukwa na jua kichwani pake.

75a1b66f6bfa2bad9aff9d18712d1928.jpg
Jua likiwa linaonekana altareni.

Hata Egypt ya kale waliamini katika jua kuwa Mungu na walimwita "Ra" waliamini jua ndio Mungu mkuu kuliko wote aliewaumba hata wale miungu walikuwa wanaabudiwa pale Egypt wote wanapaswa kumuabudu Sun God anaitwa "Ra".

67b831f25be6c233a084c208bb1f41db.jpg


Michoro ya kwenye madhabu ya Egypt ikionesha watu wa zamani wakiabudu jua.

81ca432ead37eaaabd6780c007a9c371.jpg


Mchoro wa mfalme wa Egypt ambaeni Deity akiwa kalibeba jua kichwani pale kuonyesha utukufu wa Mungu.

Japan waliamini Sun God anaitwa "Amaterusi"waliamini ndio Mungu alieumba viumbe vyote kwa na mwenye nguvu zisizomithilika.

Libya kwenye makabauri ya wale mummies wote wafalme zamani wa kiume na wa kike baada ya kufukuliwa walikutwa na Sun tattoos zinazotoa alama ya Sun worship.

c0873af6d93324fce46b6d5105036c06.jpg


Kuna mengi sana ya kuzungumza na kushare kuhusiana na jua na utukufu wake wa kimungu na kuaminiwa na kuabudiwa jamii nyingi za zamani Duniani kama Mungu na maisha yao yalikuwa mazuri na yenye siha njema.

Na dini zote hizi za kisasa pia zimetoka kwenye sun worshipers which makes more sense kwangu kuamini this energy ya jua ndio energy kubwa kuliko zote Duniani hivyo since God ndio mwenye energy kubwa kuliko zote kwanini Jua lisiwe na uungu ndani yake!? Nahisi napaswa kuacha dini za kimapokeo na kuamini kwa Sun God kama huyu bwana hapa

076c539e3e3ad7b4e5303db53c47d912.jpg
Maana it makes more sense sisi binadamu kihualisia ni nguvu yaani energy ya rohoni kwanini nguvu kuu inayofanana na sisi isiwe baba yetu? Sun is God
db97541a77bf38b7cb55738708e6ffb8.jpg
.

Rejea nyimbo ya alpha blondy Masada utaona hata yeye anapoint ya msingi juu ya uungu wa jua. Rejea nyimbo ya Bob Marley talking blues.
DAH ok kumbuka jua hili tunaloliabudu ni moja ya majua madogo sana kwenye ulimwengu ukisema hili jua ni mungu maanayake ni mungu mdogo katika miungu jua trilion iliopo ulimwenguni ..Mungu ni mmoja tu ukisema mungu ni jua watakuwa wengi solar system haipo moja zipo nyingi ..Haya maswali na hoja kama hizi nabii ibrahimu alijiuliza sana na majibu akapata primitive society ziliabudu jua sana tuuu..
-jua linafanya kitu kinaitwa nuclear fussion na fission simultaneous..ndani ya jua hakuna lolote ispokuwa hydrogen atom na helium ..hydrogen inachange to hellium then hellium to hidrogen kitendo cha changing of atom to another kinafanya kurelease energy ambazo ni saund light and heat.
-asubuhi tunashauriwa kupata miozi ya jua kwa sababu jua likipiga mwilini linastimulet diposition ya calcium ion kwa ajili ya kuimarisha misuli,mifupa na neurons (mishipa ya fahamu) na brain cell..hivyo inafanya uwe timamu.
 
Mkuu navyojua mie atheist anadai hakuna mungu,sasa ukisema tunazaliwa tukiwa atheists ndipo unaponishangaza.


Hapana,atheists hasemi hivyo.....atheist ni mtu ambae ile "imani" kua kuna mungu haipo..yaani kwenye kiboksi cha imani kua mungu yupo hakina kitu,ni empty....yaani kiboksi cha "imani" ni empty kabisa...

Kuna watu wana-confuse mwenye "imani" mungu yupo ni mshika dini na atheist ni mwenye "imani" mungu hayupo....hiyo ni kosa...Atheism ni kua kipengele cha "imani" ni empty kabisa!

Sisi hatuna "imani"..nyie ndio wenye "imani"...yaani "faith".....
 
Hapana,atheists hasemi hivyo.....atheist ni mtu ambae ile "imani" kua kuna mungu haipo..yaani kwenye kiboksi cha imani kua mungu yupo hakina kitu,ni empty....yaani kiboksi cha "imani" ni empty kabisa...

Kuna watu wana-confuse mwenye "imani" mungu yupo ni mshika dini na atheist ni mwenye "imani" mungu hayupo....hiyo ni kosa...Atheism ni kua kipengele cha "imani" ni empty kabisa!

Sisi hatuna "imani"..nyie ndio wenye "imani"...yaani "faith".....
Inawezekana wewe ndiyo ukawa atheist wa aina hiyo mkuu na si kwamba watu ndiyo wanachanganya kuhusu atheists,hata hivyo maelezo yako hapo juu ni sawa na kuumanisha kuwa atheists ni watu wasioamini uwepo wa mungu. Sasa mtoto asiyejua lolote utasemaje haamini mungu?
 
Inawezekana wewe ndiyo ukawa atheist wa aina hiyo mkuu na si kwamba watu ndiyo wanachanganya kuhusu atheists,hata hivyo maelezo yako hapo juu ni sawa na kuumanisha kuwa atheists ni watu wasioamini uwepo wa mungu. Sasa mtoto asiyejua lolote utasemaje haamini mungu?
Huwa nashangaa sana yaani binadamu inafikia hatua gani hadi anakuwa haamini Mungu?

Licha ya maajabu na ishara kibao zilizopo Duniani. Mtu anaona nyumba imejengwa vizuri anasifia wajenzi lakini akiona mito na milima na mabonde haamini kama kuna architecture mjenzi alie engineer ujenzi wa anavyoviona. Bado anasema hakuna Mungu.

Mungu atusamehe!
 
Inawezekana wewe ndiyo ukawa atheist wa aina hiyo mkuu na si kwamba watu ndiyo wanachanganya kuhusu atheists,hata hivyo maelezo yako hapo juu ni sawa na kuumanisha kuwa atheists ni watu wasioamini uwepo wa mungu. Sasa mtoto asiyejua lolote utasemaje haamini mungu?


Usiweke neno "wasioamini"...sema hivi the component of Imani is NOT there,ni zero.....Ukisema "wasiomini" ni kwamba "wanaamini hakipo"...sisi Atheists hatuna msamiati "imani" at all.
 
Usiweke neno "wasioamini"...sema hivi the component of Imani is NOT there,ni zero.....Ukisema "wasiomini" ni kwamba "wanaamini hakipo"...sisi Atheists hatuna msamiati "imani" at all.
Sasa tofauti ipo wapi mkuu mbona kama unatumia nguvu nyingi kukataa jambo lililowazi?

Suala la uwepo wa mungu linahitaji imani na nyie hamuuamini.

Halafu kiuhalisia hakuna asieamini au kutokuwa na imani.
 
Back
Top Bottom