Je, kama wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wapya Mbinguni, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi?

Mabikra 72 kwa mwanaume mmoja???
Hii ni zinaa ya namna gani????
Hapo mzee unakua chombo cha starehe period..
Huko peponi kazi ni moja tu,ufuska mwanzo mwisho..
Wanawake 72 sio mchezo,itakua ni ngono siku zote za maisha yako.
Simple tu mtu duniani unaishi 75yrs na unakua umedate na mademu zaidi ya 20 sasa itashindikana vp kwa maisha ya milele kua mabinti 72?,Kwanza naona M/Mungu katupunja maisha ya milele at least mademu 500
 
Na ndio mana hapa duniani mtu anaeishi maisha mazuri utasikia watu wanasema jamaa anaishi kama peponi,why wasiseme kwa mtu anaeimba imba anaishi kama peponi?

Peponi ni bata batani halina mfano shekhe ushahenya na ibada duniani unaenda kula pension yako,yani uhenye duniani kwa maibada kibao peponi ukapayuke kuimba tena ahaaaaa


Achana na hiyo kitu firdaus ni VVIP tujipinde shekhe
 
Simple tu mtu duniani unaishi 75yrs na unakua umedate na mademu zaidi ya 20 sasa itashindikana vp kwa maisha ya milele kua mabinti 72?,Kwanza naona M/Mungu katupunja maisha ya milele at least mademu 500
Zinaa ni zinaa,
Kwanini tunazuiwa duniani tukaruhusiwe peponi?
Think
 
Allah hayupo. Mbingu haipo.

Hizo ni tamaa za wanaume tu zinatumiwa katika hadithi ya kuwanasa kama ulimbo.

Saikolojia ndogo tu ya kuwanasa wanaume.
 
Huujui uislamΓΉ na ubaya zaidi unafkiri waarabu ndo waislamu wa kweli. Anyway sio kosa lako
 
Hakuna mbingu, hakuna Mungu.

Hizo zote kamba za watu na siasa zao tu.

Mkuu si mchezo ,unaweza ukawa ushalijibu hili swali siyo mbaya ukarudia kwa faida ya wengi,kama hakuna Mungu je binadamu alitoka wapi? Maana tunaambiwa binadamu aliumbwa na Mungu.

Mkuu nataka kujua tu unaweza ukatujibu simple tu.
 
Swali zuri sana, pengine majibu yatapatikana, yawezekana wanawake hamuendi peponi ndio maana hakuna mlichoambiwa

Qur-an 40;8 inakupatia mwangaza
Waislamu tutaingia na wake zetu peponi,ikiwa hawo wanawake watakuwa wema.
Lakini Hao wake zetu watakuwa Malkia, na Hao mahurl Ain ni kama wasaidizi wa malkia.
Jumla ni 70.
Huko ni kula na kupiga Rungu ndiyo mfano rahisi wa maisha ya Peponi.

Kwani hapa duniani tunahangaika kufanya kazi ili tupate nini?
si niKula,
Starehe,
Na kupiga rungu?
kuna jengine katika starehe unazozijua wewe hapa duniani?

Basi peponi kuna Suprize, Hakuna aliye wahi hata ku imagine.
 
Mkuu si mchezo ,unaweza ukawa ushalijibu hili swali siyo mbaya ukarudia kwa faida ya wengi,kama hakuna Mungu je binadamu alitoka wapi? Maana tunaambiwa binadamu aliumbwa na Mungu.

Mkuu nataka kujua tu unaweza ukatujibu simple tu.
Kwanza jina "binadamu" si jina sahihi, kwa sababu linatokana na hadithi ya kwamba mtu wa kwanza kuumbwa alikuwa Adam na sisi wote tumetoka kwake, hiyo habari ni ya uongo.

Kwa mujibu wa sayansi ya sasa, ushahidi wote unaonesha kuwa watu wamepata kuwa a species kutokana na evolution by natural selection, si kwa kumbwa na Mungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…