Je, kama wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wapya Mbinguni, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi?

Tuta kunywa pombe pamoja na Yesu huko

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Nimekurupuka nini
Mimi nimekuwekea maneno ya Mtume.
Wewe unaweka maneno ya
Heshimu Bin Khalidi.

"qal hisham bn khalid min mirathih min 'ahl alnnar yaeni rijalaan dakhaluu alnnar fawarith 'ahl aljannat nisa'ahum kama wurithat amra'at fireawn"

Na matusi juu.
Wewe zimo kweli [emoji848]
 

Kupinga hiyo tafsiri maana yake umepinga hadithi nzima
Na ndio maana yamewekwa pamoja

Acha uzezeta ukijiona umepinga hayo maneno na andiko lako halina msingi

Nikikwita chizi hiyo ndio sifa yako sio kua ninajazba

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ngoja tumsikilize Nabii Hashim Bin Khalidi.
Mtume mala nyingi haelewaleki anacho kiongea.
 
Ile bikra nilimtoa kwa tabu kweli,jasho,vita ilikuwa shughuli pevu...

Sasa nawaza hizo 72,nishachoka hata kabla ya kufika uko peponi.
 
Naomba kuuliza, Quran tukufu 2:25, 4:57 imeandika kwamba wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wazuri huko Akhera.

Pia ukisoma Quran tukufu 38:52 inaongelea kwamba kuna mabikra tayari wa kutosha huko Ahera wakiwasubiri wanaume.
Hiyo bikra ni ya kudumu?
Je hiyo ndiyo starehe pekee ya binadamu? Hakuna kula wala kunywa na kucheza?
 
Sasa unauliza majibu kweli wewe popoma

Hivyo vyote wameweka humo humo kwenye andiko ulilo lileta au hukuangalia ulikiripuka tu [emoji3][emoji3][emoji3]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hadithi dhaifu unaitoleaje tena ufafanuzi ?
Hadithi dhaifu maana yake haifai.

"Kwanza nakwambia Tena hadithi yako ni dhaifu"

Maneno yako hayo hapo.
 
Hadithi dhaifu unaitoleaje tena ufafanuzi ?
Hadithi dhaifu maana yake haifai.

"Kwanza nakwambia Tena hadithi yako ni dhaifu"

Maneno yako hayo hapo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ufafanuzi umetolewa na wahusika wenyewe au umelala amka

Ulitaka iachwe ili upate paku jifichia pole sana

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…