Je, kama wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wapya Mbinguni, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi?

Je, kama wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wapya Mbinguni, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi?

Mkimbilie Yesu wa msalabani, yeye amekuahidia mara 100 hapa na baadae uzima wa milele. Achana na mafundisho potofu ya kwenda kunywa pombe kwenye mito ya ulevi, wanaume zenu watapewa bikra 72 ninyi mkiwaangalia tu. Mbona Mungu hana Upendeleo, mbona Mungu hana ubaguzi?. Peponi hakuna kuoa wala kuolewa.
Tuta kunywa pombe pamoja na Yesu huko

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
We umetoa hadithi namba ngapi [emoji1787][emoji1787][emoji1787] sema ulikuwa hujui.

Lazima nikwite chizi kwa sababu umekurupuka


Hakuna kuku yeyote wa kikristo atakae fanya tujifiche bali tuna wafundisha kwa vitendo
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Nimekurupuka nini
Mimi nimekuwekea maneno ya Mtume.
Wewe unaweka maneno ya
Heshimu Bin Khalidi.

"qal hisham bn khalid min mirathih min 'ahl alnnar yaeni rijalaan dakhaluu alnnar fawarith 'ahl aljannat nisa'ahum kama wurithat amra'at fireawn"

Na matusi juu.
Wewe zimo kweli [emoji848]
 
Nimekurupuka nini
Mimi nimekuwekea maneno ya Mtume.
Wewe unaweka maneno ya
Heshimu Bin Khalidi.

"qal hisham bn khalid min mirathih min 'ahl alnnar yaeni rijalaan dakhaluu alnnar fawarith 'ahl aljannat nisa'ahum kama wurithat amra'at fireawn"

Na matusi juu.
Wewe zimo kweli [emoji848]

Kupinga hiyo tafsiri maana yake umepinga hadithi nzima
Na ndio maana yamewekwa pamoja

Acha uzezeta ukijiona umepinga hayo maneno na andiko lako halina msingi

Nikikwita chizi hiyo ndio sifa yako sio kua ninajazba

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kupinga hiyo tafsiri maana yake umepinga hadithi nzima
Na ndio maana yamewekwa pamoja

Acha uzezeta ukijiona umepinga hayo maneno na andiko lako halina msingi

Nikikwita chizi hiyo ndio sifa yako sio kua ninajazba

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ngoja tumsikilize Nabii Hashim Bin Khalidi.
Mtume mala nyingi haelewaleki anacho kiongea.
 
Ile bikra nilimtoa kwa tabu kweli,jasho,vita ilikuwa shughuli pevu...

Sasa nawaza hizo 72,nishachoka hata kabla ya kufika uko peponi.
 
Naomba kuuliza, Quran tukufu 2:25, 4:57 imeandika kwamba wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wazuri huko Akhera.

Pia ukisoma Quran tukufu 38:52 inaongelea kwamba kuna mabikra tayari wa kutosha huko Ahera wakiwasubiri wanaume.
Hiyo bikra ni ya kudumu?
Je hiyo ndiyo starehe pekee ya binadamu? Hakuna kula wala kunywa na kucheza?
 
Sasa unauliza majibu kweli wewe popoma

Hivyo vyote wameweka humo humo kwenye andiko ulilo lileta au hukuangalia ulikiripuka tu [emoji3][emoji3][emoji3]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hadithi dhaifu unaitoleaje tena ufafanuzi ?
Hadithi dhaifu maana yake haifai.

"Kwanza nakwambia Tena hadithi yako ni dhaifu"

Maneno yako hayo hapo.
 
Hadithi dhaifu unaitoleaje tena ufafanuzi ?
Hadithi dhaifu maana yake haifai.

"Kwanza nakwambia Tena hadithi yako ni dhaifu"

Maneno yako hayo hapo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ufafanuzi umetolewa na wahusika wenyewe au umelala amka

Ulitaka iachwe ili upate paku jifichia pole sana

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kwahiyo sio dhaifu tena sio

"Kwanza nakwambia Tena hadithi yako ni dhaifu"

Maneno yako hayo hapo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kweli wewe popoma haya jisomee[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116] mwenyewe
Screenshot_20230219-003002.jpg


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom