Je, kama wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wapya Mbinguni, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi?

Wanawake wengi wanakosea Sana.

Wanakuwa wabishi na kutufanya wanaume tufanye vby hapa..Ina vifo vingi Sana kutokana na mfadhaiko wa mwanaume. Kukujibu ni kwamba wanawake wengi Sana waraushia jehanam. Tuombe Dua Allah aepushe hali hiyo

Mwanamke mtiifu Kwa mumewe hakika ataiona pepo na atakuwa ni katika hururain
 
Unajindanganya,mwanamke amepewa heshima kuliko kwingine kokote.
Katika uislamu,mtoto akimkosea mamake(ambaye ni mwanamke),peponi hangii.
Ufunguo wa pepo katika uislamu uko chini ya nyao ya mama(mwanamke).Sio kwenye chini ya unyao wa baba(mwanamme).
 
Unajindanganya,mwanamke amepewa heshima kuliko kwingine kokote.
Katika uislamu,mtoto akimkosea mamake(ambaye ni mwanamke),peponi hangii.
Ufunguo wa pepo katika uislamu uko chini ya nyao ya mama(mwanamke).Sio kwenye chini ya unyao wa baba(mwanamme).
Hivi akimkosea babaake aliyemsaliti mama aake. Hukumu ikoje...kwamba baba kamfanyia vitukbwi mkewe na watoto eakapata chuki na babaa yao
 
Huko peponi mwanamme haiingii mpaka Mama(ambaye ni mwanamke,awe radhi na huyo mwanawe).
Kwa hiyo mama(mwanamke ndio mshika password ya mlango wa pepo). ,atakayoingia mwanamme.
 
Tutabaki singo
Kazi ni kuosha vyombo hao wanaume watakao kuwa wanakunywia vileo (kuchota kwenye mto wa pombe)
Hakuna mwanamme atakaye India peponi bila mama(mwanamke kuwa radhi,mwanaye huyo,ambaye ni mwanamme,kuingia peponi).
Kwa hiyo mama(mwanamke ni bora zaidi kuliko huyo mwanamme katika uislamu.
 
Ha ha ha kwa hiyo peponi wanawake hawakanyagi. Ndio maana Allah hajawapa ahadi ya kuwapa mashababi handsome. Kama wanaume wanavyopewa mabikra
Hakuna atakaye ingia peponi,bila ruhusa ya mama yake mzazi,ambaye ni mwanamke.
Mwanamme hata awe vipi,pepo hawezi kuingia bila mama mzazi,ambaye ni mwanamke kukubali.
 
Ukweli ni kuwa hakuna atakaye kanyaga pepo bila mama mzazi(ambaye ni mwanamke),kukubali mwanawe,hata kama ni mwanaume kuingia peponi.
Ufunguo(password)wa kuingia peponi,uko kwa mama,hakuna mtoto,awe hata mwanamme,ataingia bila ruhusa ya mama mzazi.Mwanamke amepewa heshima na hadhi kubwa katika uislamu.
 
Peponi ni unachokitamani unapata.
Hakuna atakaye ingia peponi,bila ruhusa ya mama yake mzazi,ambaye ni mwanamke.
Mwanamme hata awe vipi,pepo hawezi kuingia bila mama mzazi,ambaye ni mwanamke kukubali.

Swali lipo kwa wanawake ? Wao peponi wanaingia ama hawaingii ?

Na je wao watapewa nini wakiingia peponi kulinganisha na wanaume wakipewa Mabikra ?

Ama wanawake wao hawataki starehe hawana nyegezzz? Ama na wao watapewa mabikra wa kiume?
 
Mambo ya kufikirika haya! Yaani upewe wanawake na vijana wadogo wa kukutumikia umekuwa nani ww? Kwani hao wafanyakazi wao Mungu hatawapa hiyo raha mpaka wao wabaki kuwa watumishi wako? 😁
 
Huyooo hilooo linajitetea huku likiwa na maumivu. NAJIVUNIA MIMI SIYO MUISLAMU
 
Nyinyi mtakuwa wasaidizi wa kazi za ndani... Wakati tunanyanduana na mademu zetu huko majuu nyinyi mtakuwa nje mkifua na kufagia bustani
Kwanza ujuwe hakuna ambaye ataingia peponi bila mama mzazi(ambaye ni mwanamke),kuruhusu mtoto aingie peponi.
Password,ya mtoto,awe mwanamme,awe yoyote haingii peponi,mpaka apewe password na mama (ambaye ni mwanamke).
Kwa hiyo katika uislamu,mwanamke ni bora zaidi kuliko mwanamme.
 
Sio kweli,wewe ndio muhuni,usiyelewa.
Hakuna mwanamme,ataingia peponi,bila password ,kutoka kwa mama(ambaye ni mwanamke).
Soma,acha kukaa kwenye vijiwe vya pombe za kienyeji na kudanganyana.
 
NAJIVUNIA MIMI SIYO MUISLAMU SIJAWAHI NA SITAWAHI KUWA NA KAMWE SITAKI KUWA.

BORA KUWA KAFIRI KULIKO MUISLAMU.

NAMSHUKURU MUNGU WA KWELI KUNIJALIA MIMI SIYO MUISLAMU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…