Je, kama wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wapya Mbinguni, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi?

Ila naanza kusoma msitari wa kwanza ulitaka kuniudhi, ila mwishoni nimecheka sana.
Sasa mkuu, kama ni hivyo basi huko mbinguni watu wakiwa busy kuchakata mbususu itakuwa mbingu kweli si ni Toroka uje tu au uwanja wa Fisi.
 
Duuu! Sio mchezo
 
Kwaiyo unahisi peponi mtaingia? Mwanamke peponi Firidaus sio rahisi kwa tabia zenu za husda ,chuki,roho mbaya Uzinzi nk nadhani ili Jambo ni Pana.
Aseee! Usiwaseme hivi maana mbinguni kuingia ni kwaneema ya Mungu tu. Hakuna mkamilifu duniani wala mwema zaidi kuzidi mwingine.
 
Wahi huko...utakutana na jibu sahihi !!
 
Ndio mkuu kuna tatizo?
Au ndo mawazo yako yamekuwa brainwashed na hadithi za taifa la Mungu.

Wewe naamini ni Mtanzania, ila kwakuwa umelewa damu ya Yesu, sikushangai.

Wewe ni kondoo
 
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125] [emoji114]
 
Mi sio muslim ila huyu shekhe namkubali sana...mi mawaidha yake tuu nacheeeekaaa
 
Kumbe mbinguni kuna kuchakata mbususu kama kawaida😀😀
 
Au ndo mawazo yako yamekuwa brainwashed na hadithi za taifa la Mungu.

Wewe naamini ni Mtanzania, ila kwakuwa umelewa damu ya Yesu, sikushangai.

Wewe ni kondoo
Wapi hujaelewa mkuu?
 
Kumbe mbinguni kuna kuchakata mbususu kama kawaida😀😀
Karibu Katika Kumuamini Mungu MMOja na kumuabudu yeye tuu,
Kwa kusali na kufunga na kwenda Makka na kutowa Sadaka na kutenda mema kwa wema wako na watesi wako. Yote hayo ni kutaraji malipo mema ya Mwenyezi Mungu,Muumba wa Mbingu na Ardhi.
Utapata pepo yake na Mbususu ni mali yako huko na mengineyo mingi ambayo Jicho halija wahi ona , akili haiwezi kufikiri,na sikio haija sikia . Utapewa Roho na Mwili Mpya ili ufaidi .
Sio wale wanaoamini kuwa Peponi wataishi maisha ya Roho tuu, pasina Mwili.
Zawadi ni nono Peponi kwa waliofuzu.
Hivyo hivyo kwa waovu watapewa miili mikubwa na watatiwa Jahannam ili moto uwaunguze sawia na wapate machungu na maumivu na kusaga meno
 
Mtapelekwa Sudan, tena Darfur
 
Mimi nadhani Watu hawatumii akili.
Munakumbuka kuwa Adam aliumbwa na akawekwa Peponi Aden, Paradiso iliyopotea?
Huko si alishi na Mkewe Hawa?
Walipokula Tunda ndio ikawa Dhambi ya kuwafanya watolewe huko?
Sasa Lile umbile alilokuwa nalo kabla ya kula tunda ndilo hilo atakalorudishiwa siku ya kiyama.
Ataishi na wanawake,
Atakula matunda. Kama isemavyo Biblia na pia isemavyo Qur- an.

Elimu ni NURU na Ujinga si biskuti, unaweza ukaachana nao.

Wanawake watapewa Matamanio ya kupenda Kufanya ngono kupita maelezo,(Nyege za nyongeza)
Watapewa Mapambo na mavazi ya Kuvutia wakiishi kama wa Malkia wakiwa na watumishi wao Mahur l Ain.

Mulio zowea kula Madada wa kazi (Hous Girl ) kule itakuwa Rukhsa

Elimu bila mipaka.
Uislamu ni Nuru
 
Mnaota huko mbiguni hakuna hao wanawake sijui mabikira hawapo nonsense , kule ukibahatika kwenda nikuimba na kusifu tu haya jidanganyeni tangia lini mahali patakatifu kuna azinaaa lini ,mkikosaga vyakuandika watu wafuate acheni kuwa waongoo
 
Mnaota huko mbiguni hakuna hao wanawake sijui mabikira hawapo nonsense , kule ukibahatika kwenda nikuimba na kusifu tu haya jidanganyeni tangia lini mahali patakatifu kuna azinaaa lini ,mkikosaga vyakuandika watu wafuate acheni kuwa waongoo
Muongo ni wewe,
kwa sabau maneno yako hayana uthibitiso wowote ule, ni dhana tuu.
 
Mwisho utafika utakapotoa macho kama ngedere ndio utanikumbuka
21 Bwana Mungu akawafanyia Adamu na mkewe mavazi ya ngozi, akawavika.
22 Bwana Mungu akasema, Basi, huyu mtu amekuwa kama mmoja wetu, kwa kujua mema na mabaya; na sasa asije akanyosha mkono wake akatwaa matunda ya mti wa uzima, akala, akaishi milele;
23 kwa hiyo Bwana Mungu akamtoa katika bustani ya Edeni, ailime ardhi ambayo katika hiyo alitwaliwa.
24 Basi akamfukuza huyo mtu, akaweka Makerubi, upande wa mashariki wa bustani ya Edeni, na upanga wa moto uliogeuka huko na huko, kuilinda njia ya mti wa uzima.
 
Allah alishindwa kuelewa dhumuni la sex , alizingua Sana 😂🤣🤣
 
Mwisho utafika utakapotoa macho kama ngedere ndio utanikumbuka
Biblia Mwanzi 1:8
8 .Bwana Mungu akapanda bustani upande wa mashariki wa Edeni, akamweka ndani yake huyo mtu aliyemfanya.

Nitakumbuka ikiwa utakapokuwa mmoja ya watu wa Jahannam unaunguzwa kwa machungu.
Lakini ukibahatika kuwa pamoja na mimi peponi nadhani utakuwa Hurl ain kwahiyi nitakuwa nakucharaza mara 5 kwa siku. Nitaipasha vilivyo hiyo kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…