Kwahiyo hata mvinyo utiririkao katika mito ya Akhera haipo?Mnaota huko mbiguni hakuna hao wanawake sijui mabikira hawapo nonsense , kule ukibahatika kwenda nikuimba na kusifu tu haya jidanganyeni tangia lini mahali patakatifu kuna azinaaa lini ,mkikosaga vyakuandika watu wafuate acheni kuwa waongoo
Hahaha, kumbe beki tatu pia zipo kuleMimi nadhani Watu hawatumii akili.
Munakumbuka kuwa Adam aliumbwa na akawekwa Peponi Aden, Paradiso iliyopotea?
Huko si alishi na Mkewe Hawa?
Walipokula Tunda ndio ikawa Dhambi ya kuwafanya watolewe huko?
Sasa Lile umbile alilokuwa nalo kabla ya kula tunda ndilo hilo atakalorudishiwa siku ya kiyama.
Ataishi na wanawake,
Atakula matunda. Kama isemavyo Biblia na pia isemavyo Qur- an.
Elimu ni NURU na Ujinga si biskuti, unaweza ukaachana nao.
Wanawake watapewa Matamanio ya kupenda Kufanya ngono kupita maelezo,(Nyege za nyongeza)
Watapewa Mapambo na mavazi ya Kuvutia wakiishi kama wa Malkia wakiwa na watumishi wao Mahur l Ain.
Mulio zowea kula Madada wa kazi (Hous Girl ) kule itakuwa Rukhsa
Elimu bila mipaka.
Uislamu ni Nuru
Naam Sheikh....mizigo ile mikubwa kubwa ileUkimwona Sheikh Kipozeo akifafanua hili la mito ya pombe kabla hajahamia kwenye mizigo aisee usipojikaza unaweza kujikuta ushaslimu hapo hapo [emoji16][emoji16][emoji16]
Hahaha, kumbe beki tatu pia zipo kule
Allah Akbar
Nyie mtaenda kuhudumia watakao kwenda ahera/ motoni.As-salamu alaykum ndugu zangu.
Naomba kuuliza, Quran tukufu 2:25, 4:57 imeandika kwamba wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wazuri huko Akhera.
Pia ukisoma Quran tukufu 38:52 inaongelea kwamba kuna mabikra tayari wa kutosha huko Ahera wakiwasubiri wanaume.
Zaidi ukisoma Quran tukufu 44:54 inataja sifa za mabikra hao kuwa ni wenye macho mazuri, macho meusi mapana na warembo kwelikweli.
Swali langu ni iwapo wanaume wetu na waume zetu watapewa wanawake wapya na wanawake hao wako tayari walishaandaliwa, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi iwapo waume zetu wa hapa Duniani tayari watapewa wanawake wengine?
Hakuna mahala popte kwenye Quran tukufu ambako sisi wanawake wa Duniani tumeahidiwa chochote huku waume zetu wakiahidiwa wanawake wapya.
Ahsante.
Wanawake wa duniani kutokana na madhambi yenu mtageuzwa kuwa kuni za jehanam!Swali langu ni iwapo wanaume wetu na waume zetu watapewa wanawake wapya na wanawake hao wako tayari walishaandaliwa, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi iwapo waume zetu wa hapa Duniani tayari watapewa wanawake wengine?
Tupe mstari SheikhNyie wanawake mnaenda fanywa kuwa huru'r`aain. Kati ya wale wanawake 70 tutakaopewa kila mwanamume,pengine na wewe/yeye mtakua katiyao.
Allah awafanyie wepesi inshaallah tabarak wataala.
Wewe dini gani mkuuTupe mstari Sheikh
Na wanawake je?Tutapewa wanawake wazuri tena Mabikira (Houri) ukimbikiri leo kesho bikira inaota tena
Kama nyie kwenye dini yenu hamkahidiwa ni nyie. Endeleeni kula nguruwe
Asalaam Aleykhum warahmatullah wabarakatul
[emoji23][emoji23]Nawaonea huruma nyie Wagalatia hamtapata hata mmoja
View attachment 2715332
Wanawake mlitaka kujitegemea sana bila kumuegemea mtu naona mbinguni wanakwenda kutekeleza hilo😁😁😁😀😀😀😀tutakua single
Utata mkubwa huo walisahau kueditAs-salamu alaykum ndugu zangu.
Naomba kuuliza, Quran tukufu 2:25, 4:57 imeandika kwamba wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wazuri huko Akhera.
Pia ukisoma Quran tukufu 38:52 inaongelea kwamba kuna mabikra tayari wa kutosha huko Ahera wakiwasubiri wanaume.
Zaidi ukisoma Quran tukufu 44:54 inataja sifa za mabikra hao kuwa ni wenye macho mazuri, macho meusi mapana na warembo kwelikweli.
Swali langu ni iwapo wanaume wetu na waume zetu watapewa wanawake wapya na wanawake hao wako tayari walishaandaliwa, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi iwapo waume zetu wa hapa Duniani tayari watapewa wanawake wengine?
Hakuna mahala popte kwenye Quran tukufu ambako sisi wanawake wa Duniani tumeahidiwa chochote huku waume zetu wakiahidiwa wanawake wapya.
Ahsante.