Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
Eeeeh jamani! Hakuna kwenye nafuu?Haya mambo ya Dini haya Na wakristo pia Kuna fungu linasema wapewe Wanawake 32 kama sikosei
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeeeh jamani! Hakuna kwenye nafuu?Haya mambo ya Dini haya Na wakristo pia Kuna fungu linasema wapewe Wanawake 32 kama sikosei
Yote yanawezekana tatizo tu bwana mkubwa ni Mkristo, sasa itakuwaje jamani?inawabidi wote muwe wachamungu,waja sema,swala tano wote Kwa pamoja,mwanamke kuwa mtiifu Kwa mumeo,kutengeneza kizazi chema Kwa kuwajenga watoto wenu kuwa waja wema,kuwa na ikhalaswi kweny matendo yenu,kulia saan Kwa Kuomba msamaha Kwa mola wako everyday kuna hadithi/mafunzo ya mtume yanasema "kila mwanaadamu ni mkosaji" kwahiyo hatutakiwi kulala kabla ya kuomba msamaha Kwa mola wetu,hujui ni Saa ngap utaondok katika hii dunia na kwenda kusubiri siku ya hukumu Kwa ajili ya malipo ya matendo yako ulipokuw duniani.
Wewe pamoja na mme/mke kila mtu kwa upande wake inabidi apite Kwa mola wake mpate msamaha na huruma kutoka kwake na hapo Allah anawapa nafasi tena kukutana katika pepo yake, mwanamke utakuw mzuri zaidi ya wanawake wa peponi.
Na hakika ahadi ya mola wako ni ya kweli kabisa
(Enter Paradise, you and your spouses, rejoicing.” - Az-Zukhruf:70)
Surely ˹for˺ Muslim men and women, believing men and women, devout men and women, truthful men and women, patient men and women, humble men and women, charitable men and women, fasting men and women, men and women who guard their chastity, and men and women who remember Allah often—for ˹all of˺ them Allah has prepared forgiveness and a great reward. - Al-Ahzaab:35
so that Allah will punish hypocrite men and women and polytheistic men and women, and Allah will turn in mercy to believing men and women. For Allah is All-Forgiving, Most Merciful. - Al-Ahzaab:73
Eeeeh jamani! Hakuna kwenye nafuu?
Mfundishe uzuri wa uislam,wanawake wa kiislamu wamebadilisha watu wengi saan dini.Hata ww unawezYote yanawezekana tatizo tu bwana mkubwa ni Mkristo, sasa itakuwaje jamani?
Nyie ndio mtabadilika kuwa malaikaAs-salamu alaykum ndugu zangu.
Naomba kuuliza, Quran tukufu 2:25, 4:57 imeandika kwamba wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wazuri huko Akhera.
Pia ukisoma Quran tukufu 38:52 inaongelea kwamba kuna mabikra tayari wa kutosha huko Ahera wakiwasubiri wanaume.
Zaidi ukisoma Quran tukufu 44:54 inataja sifa za mabikra hao kuwa ni wenye macho mazuri, macho meusi mapana na warembo kwelikweli.
Swali langu ni iwapo wanaume wetu na waume zetu watapewa wanawake wapya na wanawake hao wako tayari walishaandaliwa, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi iwapo waume zetu wa hapa Duniani tayari watapewa wanawake wengine?
Hakuna mahala popte kwenye Quran tukufu ambako sisi wanawake wa Duniani tumeahidiwa chochote huku waume zetu wakiahidiwa wanawake wapya.
Ahsante.
Imani yetu inasema...huko tuendako hakuna kuoa au kuolewa watu tutaishi kama malaika.Kwahiyo na wewe uko tayari mpenzi/mkeo akaanze upya na baba mwingine?
I mean akawe bikira kati ya hao 72 na kupewa mwingine?
Haya mambo sipendi? Kwanini akina baba tu ndio waanze upya na sio kila mmoja aanze upya?
Au ingependeza zaidi kila mmoja apewe nafasi ya kuanza upya au kuendelea na wa hukuhuku.
Maana kuna watu wamewachoka watu wao wa huku pia. Lol
As-salamu alaykum ndugu zangu.
Naomba kuuliza, Quran tukufu 2:25, 4:57 imeandika kwamba wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wazuri huko Akhera.
Pia ukisoma Quran tukufu 38:52 inaongelea kwamba kuna mabikra tayari wa kutosha huko Ahera wakiwasubiri wanaume.
Zaidi ukisoma Quran tukufu 44:54 inataja sifa za mabikra hao kuwa ni wenye macho mazuri, macho meusi mapana na warembo kwelikweli.
Swali langu ni iwapo wanaume wetu na waume zetu watapewa wanawake wapya na wanawake hao wako tayari walishaandaliwa, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi iwapo waume zetu wa hapa Duniani tayari watapewa wanawake wengine?
Hakuna mahala popte kwenye Quran tukufu ambako sisi wanawake wa Duniani tumeahidiwa chochote huku waume zetu wakiahidiwa wanawake wapya.
Peponi sio mbinguniHuo upande wa Qur'an , Sisi wengine tunaamini mbinguni hamna kuoa wala kuolewa , ni kuwa kama malaika
Unabwawaja tuHizo ni theory za kusadikika. Nafsi haihitaji tena kuzaliana kama mwili.
Nyinyi ntakuwa mnalea watoto WA hao bikra sabini na mbili.....Tutabaki singo. Kazi ni kuosha vyombo hao wanaume watakao kuwa wanakunywia vileo (kuchota kwenye mto wa pombe)
Hiyo ni nyie sasa, tujadili hao watakaopewa mabikra 70.Huo upande wa Qur'an , Sisi wengine tunaamini mbinguni hamna kuoa wala kuolewa , ni kuwa kama malaika
Mmeshaambiwa hakuna kitu kama hicho,hizo ni hadithi za kufikirika tu,hazipo 😀😀As-salamu alaykum ndugu zangu.
Naomba kuuliza, Quran tukufu 2:25, 4:57 imeandika kwamba wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wazuri huko Akhera.
Pia ukisoma Quran tukufu 38:52 inaongelea kwamba kuna mabikra tayari wa kutosha huko Ahera wakiwasubiri wanaume.
Zaidi ukisoma Quran tukufu 44:54 inataja sifa za mabikra hao kuwa ni wenye macho mazuri, macho meusi mapana na warembo kwelikweli.
Swali langu ni iwapo wanaume wetu na waume zetu watapewa wanawake wapya na wanawake hao wako tayari walishaandaliwa, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi iwapo waume zetu wa hapa Duniani tayari watapewa wanawake wengine?
Hakuna mahala popte kwenye Quran tukufu ambako sisi wanawake wa Duniani tumeahidiwa chochote huku waume zetu wakiahidiwa wanawake wapya.
Ahsante.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nyinyi mtakuwa wasaidizi wa kazi za ndani... Wakati tunanyanduana na mademu zetu huko majuu nyinyi mtakuwa nje mkifua na kufagia bustani
NI KUABUDU NA KUSIFU MWANZO MWISHO.Mbinguni hakuna kuoa wala kuolewa
Thebroker, post: 48270623, member: 383286 FaizaFoxy kuna mtu kashika pumbu nyati huku, njoo fastaaaaUpewe kibibi kama Faiza Fox cha nini, odomoter inasoma 450,000km.
hujasoma comment niliyoquote mamiloo?Naam, umeniita? Tatizo nini?