Je, kama wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wapya Mbinguni, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi?

Yote yanawezekana tatizo tu bwana mkubwa ni Mkristo, sasa itakuwaje jamani?
 
Nyie ndio mtabadilika kuwa malaika
 
Imani yetu inasema...huko tuendako hakuna kuoa au kuolewa watu tutaishi kama malaika.
Labda kwa dini yenu wanawake mtakuwa mabikra ndipo wagawiwe ma ostadh kwa upyaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
 
Tutabaki singo. Kazi ni kuosha vyombo hao wanaume watakao kuwa wanakunywia vileo (kuchota kwenye mto wa pombe)
Nyinyi ntakuwa mnalea watoto WA hao bikra sabini na mbili.....


Peponi Raha saana
 
Mmeshaambiwa hakuna kitu kama hicho,hizo ni hadithi za kufikirika tu,hazipo πŸ˜€πŸ˜€
Eti mabikira πŸ˜€,ina maana huko mbinguni ni kungonoka tu,hata kichaa huwezi mdanganya hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…