Je, kama wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wapya Mbinguni, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi?

Je, kama wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wapya Mbinguni, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi?

Hahaha mnachekesha kwa kweli, kwa hiyo kuna watu mnaamini mkifa kuna sehemu tena ingine mnaenda
 
Mathayo 22:29
Yesu akajibu, akawaambia, Mwapotea, kwa kuwa hamyajui maandiko wala uweza wa Mungu.

Mathayo 22:30
Kwa maana katika kiyama hawaoi wala hawaolewi, bali huwa kama malaika mbinguni.
Malaika hawali,twende tukabung'ae Kama walinzi mbinguni ili iweje!!?...tumeabudu duniani,tumejizuwia kugongwa,kuelewa nk Kisha huko tukazurule tu,Ina maana gani kuitwa siku ya malipo!?
 
Hahaha mnachekesha kwa kweli, kwa hiyo kuna watu mnaamini mkifa kuna sehemu tena ingine mnaenda
Kwani sehemu hii iliyopo uliiumba wewe mpaka ushangae kuwepo nyingine!?
 
As-salamu alaykum ndugu zangu.

Naomba kuuliza, Quran tukufu 2:25, 4:57 imeandika kwamba wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wazuri huko Akhera.

Pia ukisoma Quran tukufu 38:52 inaongelea kwamba kuna mabikra tayari wa kutosha huko Ahera wakiwasubiri wanaume.

Zaidi ukisoma Quran tukufu 44:54 inataja sifa za mabikra hao kuwa ni wenye macho mazuri, macho meusi mapana na warembo kwelikweli.

Swali langu ni iwapo wanaume wetu na waume zetu watapewa wanawake wapya na wanawake hao wako tayari walishaandaliwa, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi iwapo waume zetu wa hapa Duniani tayari watapewa wanawake wengine?

Hakuna mahala popte kwenye Quran tukufu ambako sisi wanawake wa Duniani tumeahidiwa chochote huku waume zetu wakiahidiwa wanawake wapya.

Ahsante.
Nyinyi mtabaki na sisi hapa hapa duniani. Maana hakuna namna nyingine ya kubadilika na kuwa tena mabikira.
 
Dini hizi.

Sometimes najiuliza,hivi hadi wasomi kama Prof Janabi nao wako kwenye uislamu kufukuzia hizi ahadi za bikra?
FXIp7PTWQAAYUKZ.jpg

Anyway binafsi naamini dini zipo ili kutuunganisha tu hapa duniani ili upate watu utakaokuwa nao kwenye matukio fulani enzi za uhai wako na hata ukifa.

Bikra za hapa duniani sijishughulishi nazo ndiyo niwe na shauku na za mbinguni?
 
Hiyo pepo itakua kama danguro,ni mwendo wa kunyanduana tu huku alla akishuhudia mitanange ya waumini wake,nadhani na tuzo zitakua zinatolewa.
Kwani huku duniani hakuna madanguro,hashuhudii uzinzi wako,alikwambia ana shida na ngono!?
 
Katika uislamu mwenye haki ni mwanamume tu, mwanamke anatambuliwa kwenye kuhudumia ndoa tu.
mwanaume alipoamriwa kwenye Qur'an kuwa ndiye mlishaji,mvishaji,mtoa makazi,mtoa mahari ni kunyimwa haki mwanamke!?
 
Mabikra 72 kwa mwanaume mmoja???
Hii ni zinaa ya namna gani????
Hapo mzee unakua chombo cha starehe period..
Huko peponi kazi ni moja tu,ufuska mwanzo mwisho..
Wanawake 72 sio mchezo,itakua ni ngono siku zote za maisha yako.
dhambi na ufuska ni duniani..toa funza kichwani
 
Yaani bustani ya eden ina miaka haijapaliliwa then kuna suria anaulizia wanaume wa peponi..hahah SISI NDO TUKO.
 
Muanzisha uzi naomba nikujibu kwa kifupi sana naamini utaelewa.
Ni hivi,kwanza lazima uelewe kwamba Mungu alianza kumuumba mwanaume kwanza then kutokana na huy hyo mawanaume ndo mwanamke akafuatia.

Lakini baada ya uumbaji huo mwanaume ndyo mtu pekee aliyesimikwa uongozi/ukubwa ili kumuongoza/kumtawala mwanamke,sasa basi hapa Duniani wewe mwanaume umeoa mwanamke na mmeishi maisha ya hapa Duniani kwa kufuata sheria za Mungu na kufanya ibada vzr mpk Mwenyezi Mungu akawaridhia muwe katika watu wa peponi.

Sasa kule peponi kwa vile wewe mwanaume unastahili wanawake wengi(Hawa 72 ni idadi ya mfanya ibada wa kiwango cha chini sana) wanawke ambao atawamiliki kwenye eneo utakalopewa ndani ya pepo ambalo ni kama nchi yako ya pekeako na makasri/majumba mengi yaliyobeba hao wanawake pamoja na WAFANYAKAZI wafanyakazi ambao ni vijana wadogo na ni maalum kwa ajili ya kukutumikia wewe katika maisha ya huko peponi.
Ukumbuke kwamba maisha ya peponi ni jambo la milele na hii ni sababu nyingne kwann unapewa wake wengi ili usichoke na usikinahi....lakini pia kule peponi wewe hutakuwa wa kawaida,Mungu atakuumba upya na huyu mke wako ataumbwa upya isipokuwa sasa huyu mwanamke kwa vile alipitia mapambano ya ibada basi Mungu kwa uwezo wake atamfanya kuwa mwanamke MZURI ZAIDI ya wale wanawake mahur'layn na hao mahur'lain ni wanawake WAZURI kiasi ambacho kwa hapa Duniani hakuna cha kufananisha,sasa huyu mwanamke aliyetoka Duniani anapewa ubora huo wa UZURI, UTUKUFU na CHAGUO MAALUM kwasababu yeye kuna kazi ya ibada aliifanya kule Duniani na sasa huku anapewa tunu maalum kma tusema UMALKIA hv japo idadi hyo pamoja na ya wanawake wale wengine itakuwa chini yako wewe mfalme uwamiliki.

Kule peponi Kuna NGUVU maalum Mungu atakupatia wewe mwanaume ili uweze kuwatosheleza idadi yote ya wanawake utakayopewa na kila mwanamke unakaemiliki kule Mungu muumbaji atawatoharisha/Atawasafisha kwa maana hawatapata ile period zao za kila mwezi na hawatapata ujauzito,hawaendi haja ndogo wala kubwa na kubwa zaidi Mungu atawatoa watu wote CHUKI,FITNA,WIVU na UHASIDI katika nyoyo za watu wote watakaoingia peponi ikiwemo hao wanawake jambo ambalo pia
hawa wanawake watakaokuwa katika milki yako pia watakuwa WANAPENDANA SANA WAO KWA WAO na WATAKUWA WANAENJOY SANA KUKUHUDUMIA WEWE...Mungu atawaumba upya.

Sasa wale mnaosema kwamba pepo itakuwa uwanja wa ufuska...Ni hv ndg zangu,Mwanaume yeyote aliyekamilika Starehe yake kubwa ya kwanza ni Ngono tena ngono si kwa mwanamke mmoja,yan mwanaume aliyekamilika huwa anapenda pia kuwabadili badili hao wanawake,na hii ni NATURE,hata hapa Duniani hakuna Mwanaume anaridhika na mwabamke mmoja huo ndo ukweli,sasa kama wewe ni mwabaume afu unakasirika kuwa na wanawake wengi basi kaa ukijua utakuwa unashida kidogo ya kimaumbile japo ukienda peponi Mungu atakuumba upya(usijali)
Sasa kwa vile Mungu muumbaji anatujua vema ndo akaamua kutuumbia idadi kubwa ya wanawake wakiwa wanatofautiana UZURI NA UREMBO huko peponi.

Lakini pia mbali na hilo la ngono,Huko peponi Mungu ameandaa mito ya maji,mito ya maziwa,mito ya POMBE kwa watakaopenda kuinywa lakini pombe hyo huwezi kutoka akili ukaongea upuuzi kwa sababu peponi hakuna upuuzi,lakini pia kuna matunda, nyama za ndege na starehe mbali mbali zisizokatika.

Wanaosema peponi kwa ajili ya kuimba imba.....jamani hivi kma peponi ndo kuimba imba tu kila siku sasa raha ya hiyo pepo ipo wapi?
Pepo ni ulimwengu Mungu ameandaa watu wema kwenda kustarehe,kule hakuna tena ibada,ibada unatakiwa ufanye hapa sasahv Duniani,hayo mambo ya kuimba kule hakuna msiwakatishe watu tamaa,kule Mungu ataki umuimbie kule anataka wewe ule bata haswa,uenjoy utukufu wake kwa vile alivyokuandalia...Yan ukae unaimba imba afu ukishamaliza kuimba...yan hakuna kula,hakuna kunywa yan ni kuimba tuuu....jaman huo sio mpango wa Mungu,hyo ni mipango ya watu kuwakatisha tamaa ili uhisi kwamba nikifanya wema inamaana naenda kulipwa KUIMBA? hii hapana.
Pepo ni ulimwengu wa starehe,wewe kama akili yako haitaki hulazimishwi,lile jambo la kiimani na ndomaana watakaotunukiwa hyo pepo NI WALE WALIOAMINI.

Fanya sana ibada hapa sasahv,piga swala 5,funga Ramadhani,nenda mecca kama una uwezo lakini pia acha madhambi yote uliyokatazwa na tenda mema yote uliyoamrishwa...UKIFA TU PEPONI,na kwa taarifa tu ni kwamba zile starehe za mwanzo huwa zinaanzia pale kaburini then kule peponi utakabidhiwa starehe iliyokamilika
Kuna sehemu unasema kuna watu watakuwa kazi 'kututumikia' Kwa hiyo na peponi pia hakuna raha kama kamili. Kuna watu watatumikishwa—SUFFERING? Looks like suffering ni sehemu ya life design ya Mungu.
 
Huwezi kwenda peponi na mkeo,Pepo ni malipo ya mema Yako uliyofanya duniani,Pepo Zina madaraja,huwezi fanana/lingana uchamungu na mkeo,so kila mtu atakua na Pepo yake na malipo yake
Kwahiyo mke wangu anaenda kuchakatwa na lijamaa jingine huko walahi tutauana
 
Hakuna sehemu Qur'an imeahidi bikira 72,Bali imeahidi wanawake bikira waliotwaharika bila kutaja idadi
Kwahiyo hata bikira milioni,hai 72 imetoka wapi? Nakama sitaki bikra inakuaje
 
24. Yesu akajibu, akawaambia, Je! Hampotei kwa sababu hii, kwa kuwa hamyajui maandiko wala uweza wa Mungu?
25.
Kwa maana watakapofufuka katika wafu, hawaoi wala hawaolewi, bali huwa kama malaika walioko mbinguni.
26. Na kwa habari ya wafu ya kwamba wafufuliwa, hamjasoma katika kitabu cha Musa, Sura ya Kijiti, jinsi Mungu alivyomwambia, akisema, Mimi ni Mungu wa Ibrahimu, na Mungu wa Isaka, na Mungu wa Yakobo?
27. Yeye si Mungu wa wafu, bali wa walio hai. Hivyo mwapotea sana.
MWAMBA HUYU HAPA..!👌
 
mkuu, kama ulikua umeoa na ukaishi na mkeo kimsingi wa dini inavyotaka bas ukimuomba Mungu utakapokua peponi uendelee na mkeo wa duniani ruksa kila uombacho peponi unapewa without hesitation.
Ukipewa huyo ,huchakati tena zile 72 abaki tu
 
Dini hizi.

Sometimes najiuliza,hivi hadi wasomi kama Prof Janabi nao wako kwenye uislamu kufukuzia hizi ahadi za bikra?
View attachment 2520376
Anyway binafsi naamini dini zipo ili kutuunganisha tu hapa duniani ili upate watu utakaokuwa nao kwenye matukio fulani enzi za uhai wako na hata ukifa.

Bikra za hapa duniani sijishughulishi nazo ndiyo niwe na shauku na za mbinguni?
Binaadam hawawezi ungana bila hizo 'dini'!?
 
Back
Top Bottom