Je, kama wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wapya Mbinguni, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi?

Je, kama wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wapya Mbinguni, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi?

ujinga hauwezi kuwa cha jio, wewe umegeuza ujinga kuwa chakula cha jio?
Mbona binadamu hawaendelei tena kutokea na hiyo EVOLUTION ?
Hivi Kama huna mke au mwanamke unapataje binadamu mpya (mtoto)..
PUMBAVU ZENU WANA SAYANSI WAONGO ETI EVOLUTION
Unasema "Wanasayansi waongo" wakati unatumia internet iliyotengenezwa na wanasayansi?

Tengeneza yako ya mabua halafu useme wanasayansi waongo huko, nitakuona una hoja.

Unaelewa hata sayansi ni nini?

Unaelewa evolution ni nini?
 
Katika uislamu mwenye haki ni mwanamume tu, mwanamke anatambuliwa kwenye kuhudumia ndoa tu.
Wanavyodai, wanawake hawako consided saana maana walio wengi ni wakazi wa jehanum. Hizi dini
 
As-salamu alaykum ndugu zangu.

Naomba kuuliza, Quran tukufu 2:25, 4:57 imeandika kwamba wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wazuri huko Akhera.

Pia ukisoma Quran tukufu 38:52 inaongelea kwamba kuna mabikra tayari wa kutosha huko Ahera wakiwasubiri wanaume.

Zaidi ukisoma Quran tukufu 44:54 inataja sifa za mabikra hao kuwa ni wenye macho mazuri, macho meusi mapana na warembo kwelikweli.

Swali langu ni iwapo wanaume wetu na waume zetu watapewa wanawake wapya na wanawake hao wako tayari walishaandaliwa, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi iwapo waume zetu wa hapa Duniani tayari watapewa wanawake wengine?

Hakuna mahala popte kwenye Quran tukufu ambako sisi wanawake wa Duniani tumeahidiwa chochote huku waume zetu wakiahidiwa wanawake wapya.

Ahsante.
Mtaishia Duniani mbinguni hamuendi
 
Mpaka siku ya kiama inafika, wanawake wote watakuwa masuper woman aka wanawake wa shoka, hamtakuwa na haja ya wanaume, mtaachiwa Dunia yote peke yenu.

Mwenyezi atatuchukua viumbe wake, tukaanze upya.

(Just kidding, though am serious 😅😅)
 
Hello JF

Katika Majira zote zilizopita Huduma binafsi,Dini zote na madhehebu yote tulifundishwa kuna kiama au mwisho wa dunia kupitia elimu tatu za dunia ambazo ni (thiolojia,filosofia na saikolojia),na pia tutegemee kwenda mbinguni.

Ila kiuhalisia hakuna siku ya mwisho wala kiama na mbingu utakayoishi na aliyekuumba ni hapahapa juu ya nchi. Na ilo limeandikwa katika mistari mingi katika kitabu, Japo Yesu nae aliwaambia muombe sala ya baba yetu ufalme wako uje (sasa umekuja) lakin wengi tulisali bila kujua maana yake kwa kukrem tu ila vifungu vifwatavyo vinafafanua kwamba kusudi ni yeye kuishi nasi hapa juu ya nchi.

1.Ufunuo 21:3
2.Mika 1:2-4
3.Zekaria 14:9
4.Isaya 57:15
5.2Petro 3:13
 
Kwanza nakwambia Tena hadithi yako ni dhaifu

Nakuambia tena chizi wewe hilo andiko lipo kwenye hadithi yako hiyo hiyo nime kutafsiria chini kwa sababu hujui kuku wewe

Nani kakwambia wake wema wameenda motoni

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hadithi yangu kwani niliandika mimi ?

Nimekupa andiko nijibu kwa andiko.

Kuwasomea maandiko yenu mnapandwa na jazba na matusi juu.

Jibu andiko kwa andiko.
Na sio kuanza kuwatisha watu wanaosoma maandiko yenu.

Ziko hadithi nyingi sana zinaongea hivyo hivyo kuwa mtaozesha wanawake wa Motoni, yaani Demons.
 
Hello JF

Katika Majira zote zilizopita Huduma binafsi,Dini zote na madhehebu yote tulifundishwa kuna kiama au mwisho wa dunia kupitia elimu tatu za dunia ambazo ni (thiolojia,filosofia na saikolojia),na pia tutegemee kwenda mbinguni.

Ila kiuhalisia hakuna siku ya mwisho wala kiama na mbingu utakayoishi na aliyekuumba ni hapahapa juu ya nchi. Na ilo limeandikwa katika mistari mingi katika kitabu, Japo Yesu nae aliwaambia muombe sala ya baba yetu ufalme wako uje (sasa umekuja) lakin wengi tulisali bila kujua maana yake kwa kukrem tu ila vifungu vifwatavyo vinafafanua kwamba kusudi ni yeye kuishi nasi hapa juu ya nchi.

1.Ufunuo 21:3
2.Mika 1:2-4
3.Zekaria 14:9
4.Isaya 57:15
5.2Petro 3:13
Mjehova
 
Wamesema mtaenda kuolewa na wale watu wachamungu wa zamani
 
Allah alitoa ahadi ya mabikra 72 kwa Wanaume wa Kiislam watakaoingia peponi na kutotoa ahadi yeyote ile kwa Wanawake wa Kiislam ila hajasema wanawake wa kiislam watakaoingia peponi watapewa nini.

Sunan Ibn Majah Juzuu ya 5, Kitabu cha 37, Hadithi 4337—“Abu Umama amesimulia: “Mtume wa Allah swt amesema, ‘Kila ambaye Mwenyezi Mungu atamuingiza Peponi ataoa wake 72;

Sunan Ibn Majah Volume 5, Book 37, Hadith 4337—“Abu Umama narrated: "The Messenger of God said, 'Everyone that God admits into paradise will be married to 72 wives; two of them are houris and seventy of his inheritance of the female dwellers of hell. All of them will have libidinous sex organs and he will have an ever-erect penis.”

Quran 56:28-37: We have created (their Companions) of special creation. And made them virgin - pure (and undefiled), - Beloved (by nature), equal in age,-

Quran 37:48-49:

And with them shall be those who restrain the eyes, having beautiful eyes; As if they were eggs carefully protected.

“...they shall have therein Azwajun Mutahharatun (purified mates or wives), (having no menses, stools, urine, etc.) and they will abide therein forever.” This means God will provide pure women for men to have sex with in Paradise.


Shehe nae anafafanua hapa


Tafsiri nyepesi na ya haraka kwenye hio Aya ni kwamba nyie wanawake hamuendi peponi, pepo ni ya wanaume
 
Hadithi yangu kwani niliandika mimi ?

Nimekupa andiko nijibu kwa andiko.

Kuwasomea maandiko yenu mnapandwa na jazba na matusi juu.

Jibu andiko kwa andiko.
Na sio kuanza kuwatisha watu wanaosoma maandiko yenu.

Ziko hadithi nyingi sana zinaongea hivyo hivyo kuwa mtaozesha wanawake wa Motoni, yaani Demons.
Chizi wewe ina maana jibu hujalielewa au
Kwenye andiko ulilo litoa hiki kipande hakija tafsriwa kipo kwenye andiko hilo hilo ulio itoa[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

قَالَ هِشَامُ بْنُ خَالِدٍ مِنْ مِيرَاثِهِ مِنْ أَهْلِ النَّارِ يَعْنِي رِجَالاً دَخَلُوا النَّارَ فَوَرِثَ أَهْلُ الْجَنَّةِ نِسَاءَهُمْ كَمَا وُرِثَتِ امْرَأَةُ فِرْعَوْنَ ‏.‏

Ndio ume tafsriwa unaendelea kupuyanga. Eti lete andiko wakati andiko lako lenyewe lishafafanua
Screenshot_20230218-225838.jpg


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Sasa hiyo pepo itakuwa na raha gani kama twajizuia huku, alafu huko pia hatuvipati hivyo vitu?

Nani kakuambia jimai siyo jambo linalopendwa na mwanadam mzee?

Yaani tukomae na swala tano, swaumu, tule kwa macho pisi Kali afu peponi pia tukaswali na kufunga?

Kwetu sie waislam peponi(Allah atujaalie tuingie pepo yake) ni kustarehe babu kujinyima duniani...na mwanaume yeyote tukisema starehe alafu amtoe mwanamke kwenye starehe basi huyo binafsi nitamuona kuna shida sehemu.....bora ya starehe ni Mke mwema mtiifu(yaani mwanamke).

Tena hao 72 unakuwa energetic kwa uwezo wa mwenyezi mungu ili kuwatosheleza.

Kuhusu wake zetu, akiwa ni katika watu wa peponi na Mme akiwa ni wa peponi basi mtumi(saw) kama si aya asema ingieni peponi na mnawaopenda(it means wana ndoa watakuwa pamoja if and only if watakuwa ni waliotenda mema).

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
So kama huku duniani unao wanne, na ukaingia nao wote peponi utakuwa nao 76 wote wako sheikh. Upotovu ulioje. Huko peponi hakuna kuoa wala kuolewa maana tutabadiishwa na kupewa miiili kama ya malaika.
 
Chizi wewe ina maana jibu hujalielewa au
Kwenye hadithi yako hiki kipande hakija tafsriwa kipo kwenye hadithi ulio itoa[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

قَالَ هِشَامُ بْنُ خَالِدٍ مِنْ مِيرَاثِهِ مِنْ أَهْلِ النَّارِ يَعْنِي رِجَالاً دَخَلُوا النَّارَ فَوَرِثَ أَهْلُ الْجَنَّةِ نِسَاءَهُمْ كَمَا وُرِثَتِ امْرَأَةُ فِرْعَوْنَ ‏.‏

Ndio ume tafsriwa unaendelea kupuyanga
View attachment 2522154

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Chizi mwenyewe unaye panda jazba kwa maandiko yako.

Hiyo tafsiri ni hadithi namba ngapi ?

Mambo ya kujificha kwenye Lugha ya Kiarabu hamjaanza leo.
Mkibanywa kidogo tu mbio kwenye Kiarabu

Nimekupa namba ya hadithi nijibu kwa namba ya hadithi au Aya.

Maneno mengi na Matusi ni majibu ya Majuha.
 
Mualikeni humu Sheikh wetu Shaweji Makarani almaarafu Kipozeo atoe darsa[emoji3]
 
Chizi mwenyewe unaye panda jazba kwa maandiko yako.

Hiyo tafsiri ni hadithi namba ngapi ?

Mambo ya kujificha kwenye Lugha ya Kiarabu hamjaanza leo.
Mkibanywa kidogo tu mbio kwenye Kiarabu

Nimekupa namba ya ya hadithi nijibu kwa namba ya hadithi au Aya.

Maneno mengi na Matusi ni majibu ya Majuha.
We umetoa hadithi namba ngapi [emoji1787][emoji1787][emoji1787] sema ulikuwa hujui.

Lazima nikwite chizi kwa sababu umekurupuka


Hakuna kuku yeyote wa kikristo atakae fanya tujifiche bali tuna wafundisha kwa vitendo
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna mahala popte kwenye Quran tukufu ambako sisi wanawake wa Duniani tumeahidiwa chochote huku waume zetu wakiahidiwa wanawake wapya.
Mkimbilie Yesu wa msalabani, yeye amekuahidia mara 100 hapa na baadae uzima wa milele. Achana na mafundisho potofu ya kwenda kunywa pombe kwenye mito ya ulevi, wanaume zenu watapewa bikra 72 ninyi mkiwaangalia tu. Mbona Mungu hana Upendeleo, mbona Mungu hana ubaguzi?. Peponi hakuna kuoa wala kuolewa.
 
Back
Top Bottom