Je, kama wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wapya Mbinguni, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi?

Je, kama wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wapya Mbinguni, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi?

Ujira mkubwa ndo nini? Kunywa maziwa na asali?
Ujira utakaotolewa ana ujua Mtoaji mwenyewe... Kazi yetu Mimi na wewe ni kujitahidi kuwa waadilifu kadri tuwezavyo Ili tustahili kupata ujira huo.


Ahsante.
 
Ujira utakaotolewa ana ujua Mtoaji mwenyewe... Kazi yetu Mimi na wewe ni kujitahidi kuwa waadilifu kadri tuwezavyo Ili tustahili kupata ujira huo.


Ahsante.
Umepigwa fix master.. hakunaga hiyo ya mito ya asali wala maziwa. Hakuna kula kule wala ngono
 
Umepigwa fix master.. hakunaga hiyo ya mito ya asali wala maziwa. Hakuna kula kule wala ngono
SASA KUNA NINI?
Yaonesha wewe ni mshirika wa Mungu unajuwa mipangilio yake?
Unawezaje kumsemea Mungu kuwa hakuna hiki au kile?
Unafuata matamanio yako na Kuvuviwa na Shetani.
Sasa wewe jirushe Duliani usifuate maonyo halafu tukutane Huko siku ya siku tuone nanani atakaye fuzu na nani atasaga meno?
 
Umepigwa fix master.. hakunaga hiyo ya mito ya asali wala maziwa. Hakuna kula kule wala ngono
SASA KUNA NINI? ,TUAMBIE WEWE NINI FAIDA YA KUJIZUIA NA MAAMRISHO HUKU DUNIANI , JE KULE UTAPATA NINI KWA JUHUDI YAKO HIYO?
Na yule atakayefanya fujo na kujimwaga kwa raha na uharamia, atapataje adhabu kama hana Mwili huu?
Tupe Ukweli siyo maono yako binafsi.
 
Watarudishiwa bikra zao, na hao ndiyo mwanamme wa kiislam atapewa, hakuna mwanamke mwingine atayeumbwa Muraa,

Lakini sisi Wakristo hatuamini katika mambo ya ngono, mbingu yetu haina uchafu huo, kwetu hakuna ngono bali tutaishi kama malaika tukisifu ukuu wa Mungu, fully stop.
 
Watarudishiwa bikra zao, na hao ndiyo mwanamme wa kiislam atapewa, hakuna mwanamke mwingine atayeumbwa Muraa,

Lakini sisi Wakristo hatuamini katika mambo ya ngono, mbingu yetu haina uchafu huo, kwetu hakuna ngono bali tutaishi kama malaika tukisifu ukuu wa Mungu, fully stop.
Wakristo na Waislamu wote wanaamini Mungu wa uongo ambaye ana contradictions kibao.

Quran na Biblia zimejaa contradictions, kwa sababu huyo Mungu hayupo, katungwa na watu tu.

Ndiyo maana unaona Mungu ana tabia kama za watu.

Watu wenye nyege na kufikiri sana mabikira wamemtunga Mungu atakayewazawadia mabikira watoe nyege zao.

Ni nyege tu, hakuna Mungu hapo.
 
Wakristo na Waislamu wote wanaamini Mungu wa uongo ambaye ana contradictions kibao.

Quran na Biblia zimejaa contradictions, kwa sababu huyo Mungu hayupo, katungwa na watu tu.

Ndiyo maana unaona Mungu ana tabia kama za watu.

Watu wenye nyege na kufikiri sana mabikira wamemtunga Mungu atakayewazawadia mabikira watoe nyege zao.

Ni nyege tu, hakuna Mungu hapo.

Sent from my SM-S908U1 using JamiiForums mobile app
Daaaah, sawa mkuu!
 
Kwamba chuki, husda, roho mbaya tunazo sisi wanawake tu?
Dada angu pole, ukweli ni kwamba jamii za kale hazikum consider mwanamke.
Hzo hadithi za pepo na kuzimu ni hadithi tu za watu wa jamii ya zama za giza.
 

Attachments

  • quote_1683924178054.jpg
    quote_1683924178054.jpg
    27.2 KB · Views: 3
M
Wakristo na Waislamu wote wanaamini Mungu wa uongo ambaye ana contradictions kibao.

Quran na Biblia zimejaa contradictions, kwa sababu huyo Mungu hayupo, katungwa na watu tu.

Ndiyo maana unaona Mungu ana tabia kama za watu.

Watu wenye nyege na kufikiri sana mabikira wamemtunga Mungu atakayewazawadia mabikira watoe nyege zao.

Ni nyege tu, hakuna Mungu hapo.
Mungu yupo mkuu, isipokuwa dini ndo zina shida.
 
Nyie wanawake mnaenda fanywa kuwa huru'r`aain. Kati ya wale wanawake 70 tutakaopewa kila mwanamume,pengine na wewe/yeye mtakua katiyao.

Allah awafanyie wepesi inshaallah tabarak wataala.
Umemaliza mjadala
 
Kwanza kabisa Mola wako hamdhulumu mtu yoyote aliyefanya jitihada kwenye kufanya matendo mazuri, ipo hivyo kwa Wanaume na Wanawake wote watalipwa kwa wema wao....SO, WANAWAKE NAO WATAENDA ENJOY PEPONI KWA ENJOYMENTS TOFAUTI TOFAUTI MOLA WAO NDIYO ANAJUA ZAIDI.


Na ukipata nafasi pitia hizi Aya hapa tafadhali 👇🏽
Al-Ahzab 33:35

إِنَّ ٱلْمُسْلِمِينَ وَٱلْمُسْلِمَٰتِ وَٱلْمُؤْمِنِينَ وَٱلْمُؤْمِنَٰتِ وَٱلْقَٰنِتِينَ وَٱلْقَٰنِتَٰتِ وَٱلصَّٰدِقِينَ وَٱلصَّٰدِقَٰتِ وَٱلصَّٰبِرِينَ وَٱلصَّٰبِرَٰتِ وَٱلْخَٰشِعِينَ وَٱلْخَٰشِعَٰتِ وَٱلْمُتَصَدِّقِينَ وَٱلْمُتَصَدِّقَٰتِ وَٱلصَّٰٓئِمِينَ وَٱلصَّٰٓئِمَٰتِ وَٱلْحَٰفِظِينَ فُرُوجَهُمْ وَٱلْحَٰفِظَٰتِ وَٱلذَّٰكِرِينَ ٱللَّهَ كَثِيرًا وَٱلذَّٰكِرَٰتِ أَعَدَّ ٱللَّهُ لَهُم مَّغْفِرَةً وَأَجْرًا عَظِيمًا

Hakika Waislamu wanaume na Waislamu wanawake, na Waumini wanaume na Waumini wanawake, na wat'iifu wanaume na wat'iifu wanawake, na wasemao kweli wanaume na wanawake, na wanao subiri wanaume na wanawake, na wanyenyekevu wanaume na wanawake, na watoao sadaka wanaume na wanawake, na wanao funga wanaume na wanawake, na wanao jihifadhi tupu zao wanaume na wanawake, na wanao mdhukuru Mwenyezi Mungu kwa wingi wanaume na wanawake, Mwenyezi Mungu amewaandalia msamaha na ujira mkubwa.

An-Nisa' 4:40
إِنَّ ٱللَّهَ لَا يَظْلِمُ مِثْقَالَ ذَرَّةٍۖ وَإِن تَكُ حَسَنَةً يُضَٰعِفْهَا وَيُؤْتِ مِن لَّدُنْهُ أَجْرًا عَظِيمًا

Hakika Mwenyezi Mungu hadhulumu hata uzito wa chembe moja. Na ikiwa ni jambo jema basi Yeye hulizidisha na hutoa kutoka kwake malipo makubwa.
Umeelezea vizuri kabisa,:wanawake na wanaume watakaofuta maamrisho ya Allah watalipwa ujira mkubwa kabisa.
 
Sasa hiyo pepo itakuwa na raha gani kama twajizuia huku, alafu huko pia hatuvipati hivyo vitu?

Nani kakuambia jimai siyo jambo linalopendwa na mwanadam mzee?

Yaani tukomae na swala tano, swaumu, tule kwa macho pisi Kali afu peponi pia tukaswali na kufunga?

Kwetu sie waislam peponi(Allah atujaalie tuingie pepo yake) ni kustarehe babu kujinyima duniani...na mwanaume yeyote tukisema starehe alafu amtoe mwanamke kwenye starehe basi huyo binafsi nitamuona kuna shida sehemu.....bora ya starehe ni Mke mwema mtiifu(yaani mwanamke).

Tena hao 72 unakuwa energetic kwa uwezo wa mwenyezi mungu ili kuwatosheleza.

Kuhusu wake zetu, akiwa ni katika watu wa peponi na Mme akiwa ni wa peponi basi mtumi(saw) kama si aya asema ingieni peponi na mnawaopenda(it means wana ndoa watakuwa pamoja if and only if watakuwa ni waliotenda mema).

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Ila hii dunia hii inawatu wa hovyo sana.

Kwahyo mkuu uko unafanya swala 5 ili usikose malipo ya bikra 72??
 
As-salamu alaykum ndugu zangu.

Naomba kuuliza, Quran tukufu 2:25, 4:57 imeandika kwamba wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wazuri huko Akhera.

Pia ukisoma Quran tukufu 38:52 inaongelea kwamba kuna mabikra tayari wa kutosha huko Ahera wakiwasubiri wanaume.

Zaidi ukisoma Quran tukufu 44:54 inataja sifa za mabikra hao kuwa ni wenye macho mazuri, macho meusi mapana na warembo kwelikweli.

Swali langu ni iwapo wanaume wetu na waume zetu watapewa wanawake wapya na wanawake hao wako tayari walishaandaliwa, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi iwapo waume zetu wa hapa Duniani tayari watapewa wanawake wengine?

Hakuna mahala popte kwenye Quran tukufu ambako sisi wanawake wa Duniani tumeahidiwa chochote huku waume zetu wakiahidiwa wanawake wapya.

Ahsante.
Mtarudishiwa bikra zenu. Mtakuwa wapya tena
 
Kwanza kama ulikua uko swafi huku duniani, means unampenda mumeo huyohuyo, hujqwah kucheat, hujui kula riba, unamsikiliza mumeo peponi unaenda na unakua mzuri zaidi kuliko hao mahurul'ain nakati ya hao wanwake watakaopewa wanaume peponi kama uko kundi hili unaweza kuendelea na mumeo wa duniani

Lakini kwa sababu sisi wanawake kusengenya sisi, kufitini sisi wengi wetu ndio tutakua kuni

Naruhusu kusahihishwa.
Mind set yako iko katika kujikandamiza mwenyewe kama mwanamke ukidhani unaitetea imani yako.

Lakini hoja hapa ni kiwa, mwanaume atapata bikra 72, je mwanamke atapata nini???

Hivi huwa unaridhika ukiona mchumba/bwana/Mume wako akiwa na mwenza mwingine??
Unakuwa confortable kabisa??

Kwahyo mbinguni wewe huna lako, wewe utakuwepo tu tena utakuwa na majonzi ya kuona Mumeo akiwa na wanawake wengi zaidi kuliko hapa duniani.

By the way nkuhabarishe tu kuwa hiyo mbingu yenyewe haipo dada.
 
Back
Top Bottom