low thinking capacity
JF-Expert Member
- Jun 4, 2018
- 1,323
- 1,496
Wanawake wa duniani mtapelekwa motoni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sio wote.Wanawake wa duniani mtapelekwa motoni
Meanig21 Bwana Mungu akawafanyia Adamu na mkewe mavazi ya ngozi, akawavika.
22 Bwana Mungu akasema, Basi, huyu mtu amekuwa kama mmoja wetu, kwa kujua mema na mabaya; na sasa asije akanyosha mkono wake akatwaa matunda ya mti wa uzima, akala, akaishi milele;
23 kwa hiyo Bwana Mungu akamtoa katika bustani ya Edeni, ailime ardhi ambayo katika hiyo alitwaliwa.
24 Basi akamfukuza huyo mtu, akaweka Makerubi, upande wa mashariki wa bustani ya Edeni, na upanga wa moto uliogeuka huko na huko, kuilinda njia ya mti wa uzima.
As-salamu alaykum ndugu zangu.
Naomba kuuliza, Quran tukufu 2:25, 4:57 imeandika kwamba wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wazuri huko Akhera.
Ahsante.
Hii ni Biblia ndiyo imesema hivyo.Allah alishindwa kuelewa dhumuni la sex , alizingua Sana 😂🤣🤣
Weka ushahidi wa Koran kwa Aya uyasemayoHii ni Biblia ndiyo imesema hivyo.
Allah amnajua siri ya kila alichokiumba ,
Qur-an imetowa ruhusaKwa Babu yetu Adam alipokuwa peponi ya kula na kushi na mkewe kule peponi apendavyo.
Bali alipewa sharti ya la kutokula Mti mmoja tuu.
Aliteleza, kwa ushawishi wa Shetani aliula.
Mungu Alijuwa kuwa Hilo tukio litatokea na ndio maana alikwisha muandalia makazi mapya ya shida Duniani.
Elewa ewe mwana Kusikia
Sura ya 2: aya25.'' Na wabashirie walio amini na wakatenda mema kwamba watapata mabustani yapitayo mito kati yake; kila watapo pewa matunda humo, watasema: Haya ndiyo kama tuliyo pewa kabla. Na wataletewa matunda yaliyo fanana; na humo watakuwa na wake walio takasika; na wao humo watadumu.Weka ushahidi wa Koran kwa Aya uyasemayo
. Sharti la kutokula mti mmoja tuu
Sura ya 2:Aya ya35.'' Na tulisema(kumwambia adam): Ewe Adam! Kaa wewe na mkeo katika Bustani(Pepo ya Eden), na kuleni humo mtakacho maridhawa popote mpendapo, lakini msiukaribie mti huu tu; mtakuwa katika wale walio dhulumu.''Weka ushahidi wa Koran kwa Aya uyasemayo
. Sharti la kutokula mti mmoja tuu
Kwahiyo wanawaume wanahaki sana kuliko wanawake?Kwaiyo unahisi peponi mtaingia? Mwanamke peponi Firidaus sio rahisi kwa tabia zenu za husda ,chuki,roho mbaya Uzinzi nk nadhani ili Jambo ni Pana.
Stori za kusadikika hizo,acha waendelee kudanganyana 😂As-salamu alaykum ndugu zangu.
Naomba kuuliza, Quran tukufu 2:25, 4:57 imeandika kwamba wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wazuri huko Akhera.
Pia ukisoma Quran tukufu 38:52 inaongelea kwamba kuna mabikra tayari wa kutosha huko Ahera wakiwasubiri wanaume.
Zaidi ukisoma Quran tukufu 44:54 inataja sifa za mabikra hao kuwa ni wenye macho mazuri, macho meusi mapana na warembo kwelikweli.
Swali langu ni iwapo wanaume wetu na waume zetu watapewa wanawake wapya na wanawake hao wako tayari walishaandaliwa, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi iwapo waume zetu wa hapa Duniani tayari watapewa wanawake wengine?
Hakuna mahala popte kwenye Quran tukufu ambako sisi wanawake wa Duniani tumeahidiwa chochote huku waume zetu wakiahidiwa wanawake wapya.
Ahsante.
[emoji1787]Tutabaki singo. Kazi ni kuosha vyombo hao wanaume watakao kuwa wanakunywia vileo (kuchota kwenye mto wa pombe)
Kwahiyo wanaenda peponi kugongwa na Wanaume ambao mboo zao hazilali[emoji1787]Nyie wanawake mnaenda fanywa kuwa huru'r`aain. Kati ya wale wanawake 70 tutakaopewa kila mwanamume,pengine na wewe/yeye mtakua katiyao.
Allah awafanyie wepesi inshaallah tabarak wataala.
Hivi kutakuwa na vitanda kule Akhera? Au watafanyia kwenye garden?Allah alitoa ahadi ya mabikra 72 kwa Wanaume wa Kiislam watakaoingia peponi na kutotoa ahadi yeyote ile kwa Wanawake wa Kiislam ila hajasema wanawake wa kiislam watakaoingia peponi watapewa nini.
Sunan Ibn Majah Juzuu ya 5, Kitabu cha 37, Hadithi 4337—“Abu Umama amesimulia: “Mtume wa Allah swt amesema, ‘Kila ambaye Mwenyezi Mungu atamuingiza Peponi ataoa wake 72;
Sunan Ibn Majah Volume 5, Book 37, Hadith 4337—“Abu Umama narrated: "The Messenger of God said, 'Everyone that God admits into paradise will be married to 72 wives; two of them are houris and seventy of his inheritance of the female dwellers of hell. All of them will have libidinous sex organs and he will have an ever-erect penis.”
Quran 56:28-37: We have created (their Companions) of special creation. And made them virgin - pure (and undefiled), - Beloved (by nature), equal in age,-
Quran 37:48-49:
And with them shall be those who restrain the eyes, having beautiful eyes; As if they were eggs carefully protected.
“...they shall have therein Azwajun Mutahharatun (purified mates or wives), (having no menses, stools, urine, etc.) and they will abide therein forever.” This means God will provide pure women for men to have sex with in Paradise.
Shehe nae anafafanua hapa
Tutapewa wanawake wazuri tena Mabikira (Houri) ukimbikiri leo kesho bikira inaota tenandio hicho kitabu kimejaa stori za fix kwa kwenda mbele nadhani pia hakikuzingatia siku za mbeleni watu watakuja kusanuka
Nawaonea huruma nyie Wagalatia hamtapata hata mmojaStori za kusadikika hizo,acha waendelee kudanganyana [emoji23]