TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Kama hakuna makando kando ya ufisadi, hiyo kampuni iruhusiwe hata kesho kufua umeme huo.kuzalisha umeme wa kutumia mafuta huku akipigia chapuo na kuielekeza Tanesco ijikite kwa haraka kutafuta kampuni za kufua umeme kwa njia ya upepo eti kwa kigezo cha ukamilishwaji wa
Nishati ya mafuta/fossil fuel si rafiki katika kudhibiti global warming. Hapa naungana na JM kupinga mikataba ya uzalishaji wa umeme wa mafuta.