Je, Kanisa Katoliki ndiye mnyama wa nne duniani wa Unabii wa Daniel na Ufunuo?

Je, Kanisa Katoliki ndiye mnyama wa nne duniani wa Unabii wa Daniel na Ufunuo?

pole; nasubiri.>.
Kwa mujibu wa Maandiko ukichunguza ,ALAMA ya mnyama inahusihana na Ibada ,sio kwamba utakuja siku Moja upigwe chapa usoni au mkononi

Ni dhahiri unabii sio lazima utimie dunia nzima ,katika kujifunza kwangu Maandiko niligundua unabii unaweza kutimia eneo Moja na shughuli ikawa imepita


Mfano leo Kuna watu wanajua unabii wa MUUNGANO WA DINI MOJA YA ULIMWENGU ,lakini Kuna watu wanasubiri siku Moja labda hapa TZ tutaambiwa ,kumbe mfano umeshatimia ,mfano Mwaka huu pale Falme za kiarabu wamejenga na kuzindua Majengo matatu la UYAHUDI,UKRISTO NA UISLAMU ,

Pia umewahi kusikia kitu kinaitwa CHRISLAM ? Ingia Googe andika hivo utaletewa

Huo unabii umetajwa kitabu Cha Ufunuo

Kuna kitu kinaitwa MABADILIKO YA TABIA NCHI ,


Hivi kweli unajua ni nini kipo nyuma ya harakati ya mabadiliko ya tabia nchi (climate change)? Maraisi wamekuwa wakihudhuria , Kuna ile COP 26/27 ,

Kuna maneno haya ambayo ni maarufu sana kwenye vikao na nyaraka za mabadiliko ya tabia nchi. Na hayo ni,

Common good
Common home

[emoji3516]Nyuma ya haya maneno kuna agenda ya kuwa na lock down kwa kila jumapili kwa dunia nzima. Hivyo uonapo viongozi wa dunia wanakusanyika kwenye vikao vya kujadili hoja za climate change, usifikiri wanaenda kupiga zogo tu. Ni Sirius inshu na ndio maana kodi ya mazingira imeanzishwa, kila nchi inalipa fee ya mazingira kulingana na uwezo wa nchi pamoja na uzito wa uharibifu kwa nchi inayozalisha hewa ya ukaa zaidi. Lengo ni kuiokoa dunia ili iwe ya kijani kwa kuondoa hewa ya ukaa (carbon). Kwamba mataifa yasipokaa pamoja na kuiokoa hii dunia ifikapo 2030 inaweza kuwa katika uangamivu. Hivyo agenda hii inamwondoa Mungu wa kibinafsi anayeokoa na kumleta mungu wa mazingira, mungu anayesambaa (spiritualism).

Ngoja nikusaidie hapa kuelewa: Common home ina maanisha kuitunza nyumba yetu ya pamoja na common good ni kufikia malengo ya pamoja. Na nyumba ya pamoja ni mama dunia, atunzwe kiulimwengu kwa kupumzishwa kwa kila siku moja ya juma pamoja na mengineyo. Na common good kufikia malengo ya pamoja ifikapo 2030 dunia iwe imefikia hatua bora ya maisha kwa kila mkazi wa dunia. Hivyo leo ukiona harakati ya kiulimwengu au ya kitaifa ya utunzaji wa mazingira jua kabisa ni (utunzaji wa jumapili ya utatu Mtakatifu). Itaitwa jumapili ya pumziko la mazingira, ambayo itatumika pia kwa familia na ibada.

Najua hapa watu wa dini wanaweza kuja kuleta misimamo ya kidini lakini nachokiongelea ni uhalisi ambao utakuja kwa kila mtu, itafika mahali hata utaratibu wa bustani yako utapangiwa maana uoto wa asili, mimea, na asili yote kwa ujumla itasimamiwa na serikali au mashirika ya udhibiti. Maana asili sasa imepandishwa hadhi kwa kuitwa dada, mama, na kaka yaani imepewa udugu pamoja nasi. Hata Jua linaitwa kaka na mwezi unaitwa dada. Hivyo kamwe huwezi kuukataa mti wako hapo nyumbani kwako bila kuruhusiwa na serikali ya mtaa (local government). Huko Moshi hali kama hii ipo tayari, sijui kwa mikoa mingine. Yapo mazuri kwenye harakati hii lakini lengo ama goal kuu ni kupumzishwa kwa kila jumapili kidunia kwa sharti la lazima.

Harakati hii inatoka Vatican, ni Catholic social teachings ambayo inapigiwa mchepuo na UN.

Tazama

Laudato Si': On the Care for our Common Home.

Utakuta hapo yote na zaidi ya niliyosema.



FB_IMG_16846109170850252.jpg
 
Kwa mujibu wa Maandiko ukichunguza ,ALAMA ya mnyama inahusihana na Ibada ,sio kwamba utakuja siku Moja upigwe chapa usoni au mkononi

Ni dhahiri unabii sio lazima utimie dunia nzima ,katika kujifunza kwangu Maandiko niligundua unabii unaweza kutimia eneo Moja na shughuli ikawa imepita


Mfano leo Kuna watu wanajua unabii wa MUUNGANO WA DINI MOJA YA ULIMWENGU ,lakini Kuna watu wanasubiri siku Moja labda hapa TZ tutaambiwa ,kumbe mfano umeshatimia ,mfano Mwaka huu pale Falme za kiarabu wamejenga na kuzindua Majengo matatu la UYAHUDI,UKRISTO NA UISLAMU ,

Pia umewahi kusikia kitu kinaitwa CHRISLAM ? Ingia Googe andika hivo utaletewa

Huo unabii umetajwa kitabu Cha Ufunuo

Kuna kitu kinaitwa MABADILIKO YA TABIA NCHI ,


Hivi kweli unajua ni nini kipo nyuma ya harakati ya mabadiliko ya tabia nchi (climate change)? Maraisi wamekuwa wakihudhuria , Kuna ile COP 26/27 ,

Kuna maneno haya ambayo ni maarufu sana kwenye vikao na nyaraka za mabadiliko ya tabia nchi. Na hayo ni,

Common good
Common home

[emoji3516]Nyuma ya haya maneno kuna agenda ya kuwa na lock down kwa kila jumapili kwa dunia nzima. Hivyo uonapo viongozi wa dunia wanakusanyika kwenye vikao vya kujadili hoja za climate change, usifikiri wanaenda kupiga zogo tu. Ni Sirius inshu na ndio maana kodi ya mazingira imeanzishwa, kila nchi inalipa fee ya mazingira kulingana na uwezo wa nchi pamoja na uzito wa uharibifu kwa nchi inayozalisha hewa ya ukaa zaidi. Lengo ni kuiokoa dunia ili iwe ya kijani kwa kuondoa hewa ya ukaa (carbon). Kwamba mataifa yasipokaa pamoja na kuiokoa hii dunia ifikapo 2030 inaweza kuwa katika uangamivu. Hivyo agenda hii inamwondoa Mungu wa kibinafsi anayeokoa na kumleta mungu wa mazingira, mungu anayesambaa (spiritualism).

Ngoja nikusaidie hapa kuelewa: Common home ina maanisha kuitunza nyumba yetu ya pamoja na common good ni kufikia malengo ya pamoja. Na nyumba ya pamoja ni mama dunia, atunzwe kiulimwengu kwa kupumzishwa kwa kila siku moja ya juma pamoja na mengineyo. Na common good kufikia malengo ya pamoja ifikapo 2030 dunia iwe imefikia hatua bora ya maisha kwa kila mkazi wa dunia. Hivyo leo ukiona harakati ya kiulimwengu au ya kitaifa ya utunzaji wa mazingira jua kabisa ni (utunzaji wa jumapili ya utatu Mtakatifu). Itaitwa jumapili ya pumziko la mazingira, ambayo itatumika pia kwa familia na ibada.

Najua hapa watu wa dini wanaweza kuja kuleta misimamo ya kidini lakini nachokiongelea ni uhalisi ambao utakuja kwa kila mtu, itafika mahali hata utaratibu wa bustani yako utapangiwa maana uoto wa asili, mimea, na asili yote kwa ujumla itasimamiwa na serikali au mashirika ya udhibiti. Maana asili sasa imepandishwa hadhi kwa kuitwa dada, mama, na kaka yaani imepewa udugu pamoja nasi. Hata Jua linaitwa kaka na mwezi unaitwa dada. Hivyo kamwe huwezi kuukataa mti wako hapo nyumbani kwako bila kuruhusiwa na serikali ya mtaa (local government). Huko Moshi hali kama hii ipo tayari, sijui kwa mikoa mingine. Yapo mazuri kwenye harakati hii lakini lengo ama goal kuu ni kupumzishwa kwa kila jumapili kidunia kwa sharti la lazima.

Harakati hii inatoka Vatican, ni Catholic social teachings ambayo inapigiwa mchepuo na UN.

Tazama

Laudato Si': On the Care for our Common Home.

Utakuta hapo yote na zaidi ya niliyosema.



View attachment 2629313
Nashukuru sana kwa uchambuzi wako.
Kitu kipya nilichojifunza ni kuwa Upapa ndio mpinga kristo. sasa najaribu kuunganisha dot.
Mie hua sipingi mafundisho mpaka niyachunguze.
Sasa nikupatie dot ingine kama utataka kuiunga au la kwenye ufahamu wako.
Kuna HOJA na uchambuzi uliotolewa kwamba MPINGA CHRISTO ATAKUJA KUWA PRINCE CHARLES NA ATAJIFUNUA ZAIDI AKIWA MFALME. Uchambuzi huu umefafanua vitu vingi vinavyohusu yeye. Ambavyo nakubaliana na hoja [upapa=666] kuwa na yeye pia ana cheo cha upapa. Ni falme kiongozi wa Uingereza na anatambuliwa kuwa ni mkuu wa kanisa Anglikana Ulimwenguni. Kumbuka kanisa lake limeruhusu ushoga na ndoa ya jinsia moja.
Namba 666 nakupa kwa ufupi ameipata pia kwa kutumia tarakimi za kiyahudi lugha ambayo ndio aliokuwa anaitumia nabii alieshushiwa ufunuo. Alama ya mnyama fuatilia ngao utambulisho wake kuna kila kitu mfano alama ya mnyama.
Hivyo yeye ana cheo cha upapa nakubaliana na wewe unaposema hicho cheo ndio mpinga kristo. Bado nafuatilia.
Hila Huyu mfalme kwa utafiti wangu ndio hasa hasa ni 666, kuna muda atashuka kuingia Yerusalem na atakuwa msaada sana kwa mgogoro utakao tokea pale; hapo ndipo atatoa makucha yake. Hii ndio nasubiri itokee[ ataenda kama mshauri] Nimeandika kwa kifupi sana mie sio mwandishi mzuri. Ila kuna uchambuzi wa kina kumhusu mfalme wa Uk kuwa anafiti kwenye team 666.
Kuna vitu bado kifunua ila chukizo mbele za Mungu ambalo hawa viongozi wamefanya kipindi hiki ni katika kutatua migogoro unaohusu ndoa katika familia Wamesema sio vibaya ndoa ya jinsia moja na kukubari ushoga!
Mungu haruhusu ushoga.
 
Nashukuru sana kwa uchambuzi wako.
Kitu kipya nilichojifunza ni kuwa Upapa ndio mpinga kristo. sasa najaribu kuunganisha dot.
Mie hua sipingi mafundisho mpaka niyachunguze.
Sasa nikupatie dot ingine kama utataka kuiunga au la kwenye ufahamu wako.
Kuna HOJA na uchambuzi uliotolewa kwamba MPINGA CHRISTO ATAKUJA KUWA PRINCE CHARLES NA ATAJIFUNUA ZAIDI AKIWA MFALME. Uchambuzi huu umefafanua vitu vingi vinavyohusu yeye. Ambavyo nakubaliana na hoja [upapa=666] kuwa na yeye pia ana cheo cha upapa. Ni falme kiongozi wa Uingereza na anatambuliwa kuwa ni mkuu wa kanisa Anglikana Ulimwenguni. Kumbuka kanisa lake limeruhusu ushoga na ndoa ya jinsia moja.
Namba 666 nakupa kwa ufupi ameipata pia kwa kutumia tarakimi za kiyahudi lugha ambayo ndio aliokuwa anaitumia nabii alieshushiwa ufunuo. Alama ya mnyama fuatilia ngao utambulisho wake kuna kila kitu mfano alama ya mnyama.
Hivyo yeye ana cheo cha upapa nakubaliana na wewe unaposema hicho cheo ndio mpinga kristo. Bado nafuatilia.
Hila Huyu mfalme kwa utafiti wangu ndio hasa hasa ni 666, kuna muda atashuka kuingia Yerusalem na atakuwa msaada sana kwa mgogoro utakao tokea pale; hapo ndipo atatoa makucha yake. Hii ndio nasubiri itokee[ ataenda kama mshauri] Nimeandika kwa kifupi sana mie sio mwandishi mzuri. Ila kuna uchambuzi wa kina kumhusu mfalme wa Uk kuwa anafiti kwenye team 666.
Kuna vitu bado kifunua ila chukizo mbele za Mungu ambalo hawa viongozi wamefanya kipindi hiki ni katika kutatua migogoro unaohusu ndoa katika familia Wamesema sio vibaya ndoa ya jinsia moja na kukubari ushoga!
Mungu haruhusu ushoga.
Haupo mbali na unachokisema ,ila Anglican Church ni Kanisa la uingereza , hawa kwenye maandiko tunawatambua Kama Sanamu ya mnyama

Kumbuka Kuna Mnyama (Papacy system) halafu Kuna Sanamu ya Mnyama (System zinazofanya au kufata mafundisho/maagizo ya Papacy system)

Note: PAPA sio mpinga kristo,papa muda wowote anaweza akabadilika,

System /mfumo ndio Mpinga Kristo


Katika kitabu cha Ufunuo, Mungu anatufunuliwa wahusika au mawakala watano ambao ni:

1—Mnyama mwekundu wa Ufunuo 12—Shetani mwenyewe

2—Mnyama mfano wa chui wa Ufunuo 13—Rumi ya kidini

3—Mnyama mfano wa mwana kondoo wa Ufunuo 13:11—Taifa la Marekani

4—Sanamu ya Mnyama Ufunuo 13—Umoja wa makanisa —WCC

5—Mnyama wa rangi nyekundu sana na mwanamke wa Ufunuo 17 -Illuminati,freemason wakiwa wameungana na kanisa la Rumi..

Wengi hawakuwa wanatofautisha wanyama hao lakini utakapojifunza kwa undani zaidi utagundua kwamba mnyama wa Ufunuo 17 ambaye ni mwekundu sana mwenye
pembe kumi na vichwa saba ambaye amembeba mwanamke inamaanisha muungano wa Illuminati wakiwa wameunda majimbo kumi katika dunia nzima pamoja na kanisa la
Rumi likiwa na watawala saba tangu kuanza kazi yake baada ya kupata jeraha la mauti.


Biblia inapotumia neno mwanamke kiunabii humaanisha kanisa (Ufunuo 21:2) na neno ‘kichwa’ humaanisha kiongozi wa kanisa ambapo kwa kanisa la Mungu, kichwa ni Kristo
lakini kwa kanisa la uongo, kichwa ni mwanadamu aliyechukua nafasi ya Yesu duniani,
(Wakolosai 1:18; 2Wathesalonike 2:4). Biblia kamwe haijawahi kutumia neno ‘kichwa’ kumaanisha kiongozi wa kiserikali ila hutumia neno ‘watawala au wafalme’.

Sasa Ipo hivi familia ya Kifalme ya Uingereza Ni Moja wapo ya familia zenye nguvu kwenye Freemason

Hawa wanaingia kwenye kundi la Sanamu ya Mnyama , lakini Makundi matano niliyotaja juu yanashirikiana Sana na Kama huchunguzi huwezi kujua .

Alipofariki mwaka Jana Malkia Elizabeth , Freemason walitoa kauli hii


Wachunguzi wa dini ya Freemason wanasema kwamba familia ya Malkia ni familia mojawapo kati ya familia 13 za waumini wa Freemasons.

Baada ya kifo cha Malkia Elizabeth, Freemason pale Uingereza walitoa tamko lifuatalo nitaliweka kwa lugha ya English na kutafsiri kwa nilivyojaaliwa.

Wanasema,

Cumbria Freemasons shared with us a statement from the United Grand Lodge of England. The statement read:

"It was with the greatest sadness that the United Grand Lodge of England learned of the death of Her Majesty Queen Elizabeth II, our longest serving British Sovereign.

"Queen Elizabeth’s father, His late Majesty King George VI and her consort, HRH The Duke of Edinburgh, were both Freemasons. Her cousin, HRH The Duke of Kent, has been Grand Master of the United Grand Lodge of England since 1967, and will be sending a message of condolence on behalf of all English Freemasons to His Majesty The King.

"Another of her cousins, HRH Prince Michael of Kent, has been Grand Master of the Grand Lodge of Mark Master Masons of England and Wales since 1982, and an announcement is being made from Mark Masons’ Hall.

"God Save The King."

Kwa tafsiri ya Kiswahili wanasema

Ilikuwa ni kwa huzuni kubwa kwamba United Grand Lodge ya Uingereza ilipopata habari kuhusu kifo cha Mtukufu Malkia Elizabeth II, Mfalme wetu wa Uingereza aliyetumikia kwa muda mrefu zaidi.

"Baba yake Malkia Elizabeth, Marehemu Mfalme George VI na mke wake, HRH The Duke wa Edinburgh, wote walikuwa Freemasons. Binamu yake, HRH The Duke of Kent, amekuwa Grand Master wa United Grand Lodge ya Uingereza tangu 1967, na kutuma ujumbe wa rambirambi kwa niaba ya Freemasons wote wa Kiingereza kwa Mtukufu Mfalme.

"Mwingine wa binamu zake, HRH Prince Michael wa Kent, amekuwa Grand Master wa Grand Lodge ya Mark Master Masons wa Uingereza na Wales tangu 1982, na tangazo linafanywa kutoka kwa Mark Masons' Hall.

"Mungu Mwokoe Mfalme."


NITAENDELEA
 
Haupo mbali na unachokisema ,ila Anglican Church ni Kanisa la uingereza , hawa kwenye maandiko tunawatambua Kama Sanamu ya mnyama

Kumbuka Kuna Mnyama (Papacy system) halafu Kuna Sanamu ya Mnyama (System zinazofanya au kufata mafundisho/maagizo ya Papacy system)

Note: PAPA sio mpinga kristo,papa muda wowote anaweza akabadilika,

System /mfumo ndio Mpinga Kristo


Katika kitabu cha Ufunuo, Mungu anatufunuliwa wahusika au mawakala watano ambao ni:

1—Mnyama mwekundu wa Ufunuo 12—Shetani mwenyewe

2—Mnyama mfano wa chui wa Ufunuo 13—Rumi ya kidini

3—Mnyama mfano wa mwana kondoo wa Ufunuo 13:11—Taifa la Marekani

4—Sanamu ya Mnyama Ufunuo 13—Umoja wa makanisa —WCC

5—Mnyama wa rangi nyekundu sana na mwanamke wa Ufunuo 17 -Illuminati,freemason wakiwa wameungana na kanisa la Rumi..

Wengi hawakuwa wanatofautisha wanyama hao lakini utakapojifunza kwa undani zaidi utagundua kwamba mnyama wa Ufunuo 17 ambaye ni mwekundu sana mwenye
pembe kumi na vichwa saba ambaye amembeba mwanamke inamaanisha muungano wa Illuminati wakiwa wameunda majimbo kumi katika dunia nzima pamoja na kanisa la
Rumi likiwa na watawala saba tangu kuanza kazi yake baada ya kupata jeraha la mauti.


Biblia inapotumia neno mwanamke kiunabii humaanisha kanisa (Ufunuo 21:2) na neno ‘kichwa’ humaanisha kiongozi wa kanisa ambapo kwa kanisa la Mungu, kichwa ni Kristo
lakini kwa kanisa la uongo, kichwa ni mwanadamu aliyechukua nafasi ya Yesu duniani,
(Wakolosai 1:18; 2Wathesalonike 2:4). Biblia kamwe haijawahi kutumia neno ‘kichwa’ kumaanisha kiongozi wa kiserikali ila hutumia neno ‘watawala au wafalme’.

Sasa Ipo hivi familia ya Kifalme ya Uingereza Ni Moja wapo ya familia zenye nguvu kwenye Freemason

Hawa wanaingia kwenye kundi la Sanamu ya Mnyama , lakini Makundi matano niliyotaja juu yanashirikiana Sana na Kama huchunguzi huwezi kujua .

Alipofariki mwaka Jana Malkia Elizabeth , Freemason walitoa kauli hii


Wachunguzi wa dini ya Freemason wanasema kwamba familia ya Malkia ni familia mojawapo kati ya familia 13 za waumini wa Freemasons.

Baada ya kifo cha Malkia Elizabeth, Freemason pale Uingereza walitoa tamko lifuatalo nitaliweka kwa lugha ya English na kutafsiri kwa nilivyojaaliwa.

Wanasema,

Cumbria Freemasons shared with us a statement from the United Grand Lodge of England. The statement read:

"It was with the greatest sadness that the United Grand Lodge of England learned of the death of Her Majesty Queen Elizabeth II, our longest serving British Sovereign.

"Queen Elizabeth’s father, His late Majesty King George VI and her consort, HRH The Duke of Edinburgh, were both Freemasons. Her cousin, HRH The Duke of Kent, has been Grand Master of the United Grand Lodge of England since 1967, and will be sending a message of condolence on behalf of all English Freemasons to His Majesty The King.

"Another of her cousins, HRH Prince Michael of Kent, has been Grand Master of the Grand Lodge of Mark Master Masons of England and Wales since 1982, and an announcement is being made from Mark Masons’ Hall.

"God Save The King."

Kwa tafsiri ya Kiswahili wanasema

Ilikuwa ni kwa huzuni kubwa kwamba United Grand Lodge ya Uingereza ilipopata habari kuhusu kifo cha Mtukufu Malkia Elizabeth II, Mfalme wetu wa Uingereza aliyetumikia kwa muda mrefu zaidi.

"Baba yake Malkia Elizabeth, Marehemu Mfalme George VI na mke wake, HRH The Duke wa Edinburgh, wote walikuwa Freemasons. Binamu yake, HRH The Duke of Kent, amekuwa Grand Master wa United Grand Lodge ya Uingereza tangu 1967, na kutuma ujumbe wa rambirambi kwa niaba ya Freemasons wote wa Kiingereza kwa Mtukufu Mfalme.

"Mwingine wa binamu zake, HRH Prince Michael wa Kent, amekuwa Grand Master wa Grand Lodge ya Mark Master Masons wa Uingereza na Wales tangu 1982, na tangazo linafanywa kutoka kwa Mark Masons' Hall.

"Mungu Mwokoe Mfalme."


NITAENDELEA
Hizi hoja mnazotoa za kuwapinga kwa maneno ya MUNGU kumbuka siki ya HUKUMU mtazitolea hesabu maneno yote mliyonena! Soma maandiko yakusaidie sio kupinga dhehebu lingine ili wewe uonekane bora na update waumini wengi kumbe unadanganya watu! SHAME UPON YOU. ubirini KWELI YA MUNGU na si vingine hamkuagizwa kumhukumu mtu awaye yote Bali mwisambaze injili watu waokoke wamjue KRISTO, Kwa hii migogoro mnayozusha mnahisi watu wa dini zingine mtawavuta waje kweny UKRISTO? 'Ajitengae na wenzake hupinga kila shauri lililojema'
 
HAWA WANAOFUATA MAFUNDISHO YA KIBINADAMU WANANIABUDU BURE.

Watu hawa huniheshimu kwa midomo; Ila mioyo yao iko mbali nami.
Mathayo 15:8

9 Nao waniabudu bure, Wakifundisha mafundisho Yaliyo maagizo ya wanadamu.
Mathayo 15:9
 
MAFUNDISHO ya KIBINADAMU.
Ni JUMLA ya Mafundisho YOTE YASIYO kwenye Biblia.

MFANO.
Kuabudu sanamu.
Bikra maria kusamehe dhambi.
Kuabudu kwa Rozali.
KUSUJUDI.
Kupaka majibu.
Sikukuu ya xmars.
Ibada zisizo za SABATH.
 
Hizi hoja mnazotoa za kuwapinga kwa maneno ya MUNGU kumbuka siki ya HUKUMU mtazitolea hesabu maneno yote mliyonena! Soma maandiko yakusaidie sio kupinga dhehebu lingine ili wewe uonekane bora na update waumini wengi kumbe unadanganya watu! SHAME UPON YOU. ubirini KWELI YA MUNGU na si vingine hamkuagizwa kumhukumu mtu awaye yote Bali mwisambaze injili watu waokoke wamjue KRISTO, Kwa hii migogoro mnayozusha mnahisi watu wa dini zingine mtawavuta waje kweny UKRISTO? 'Ajitengae na wenzake hupinga kila shauri lililojema'
Shida unalalamika tu, hakuna anayepinga Dhehebu au kukshfu, tunaeleza uhalisia

Usiwe kondoo Ndio mzee, hoji ,chunguza

Hii ndio ilifanya kina Martin Luther,John Knox,John Calvin, n.k wahoji ndan ya Catholic wakataka kuuwawa
 
Huyu aliyekuwa na desturi ya kusali siku ya Sabato Ni mama Hellen?

Luka 4:16 Akaenda Nazareti, hapo alipolelewa; NA SIKU YA SABATO AKAINGIA KATIKA SINAGOGI KAMA ILIVYOKUWA DESTURI YAKE, akasimama ili asome.
Huo mwaka 1863 mbona haupo kwenye ilo andiko
Hellen ndio mwanzilishi wa dini yenu mwaka 1863 mbona mnamkataa mama yenu mwanzilishi wa dini yenu bila yeye mngekuwa wasabato au kwa kuwa wewe umezaliwa ukakuta wazazi wasabato na wewe ukafuata mkumbo ndio maana wasabato amuamini katika bikira maria kwa sababu hellen ndio aliwadanganya si unajua wanawake huwa wanawivu hivyo alikwa 🤣🤣🤣anamuonea wivu Bikira maria
 
Shida unalalamika tu, hakuna anayepinga Dhehebu au kukshfu, tunaeleza uhalisia

Usiwe kondoo Ndio mzee, hoji ,chunguza

Hii ndio ilifanya kina Martin Luther,John Knox,John Calvin, n.k wahoji ndan ya Catholic wakataka kuuwawa
Kwa hyo nyie ndio dini yenu iko sahihi dini ilionzishwa na lile mama la kizungu hellen mwaka 1863😂😂😂
 
MAFUNDISHO ya KIBINADAMU.
Ni JUMLA ya Mafundisho YOTE YASIYO kwenye Biblia.

MFANO.
Kuabudu sanamu.
Bikra maria kusamehe dhambi.
Kuabudu kwa Rozali.
KUSUJUDI.
Kupaka majibu.
Sikukuu ya xmars.
Ibada zisizo za SABATH.
Bora wakatoliki wana muheshimu bikra maria kuliko nyie wasabato mnao muheshimu yule mwana mama hellen alianzisha dini yenu 1863
Alafu kuhusu rozari kama hujui maana ya rozari kaa kimya 😂😂😂
 
Haupo mbali na unachokisema ,ila Anglican Church ni Kanisa la uingereza , hawa kwenye maandiko tunawatambua Kama Sanamu ya mnyama

Kumbuka Kuna Mnyama (Papacy system) halafu Kuna Sanamu ya Mnyama (System zinazofanya au kufata mafundisho/maagizo ya Papacy system)

Note: PAPA sio mpinga kristo,papa muda wowote anaweza akabadilika,

System /mfumo ndio Mpinga Kristo


Katika kitabu cha Ufunuo, Mungu anatufunuliwa wahusika au mawakala watano ambao ni:

1—Mnyama mwekundu wa Ufunuo 12—Shetani mwenyewe

2—Mnyama mfano wa chui wa Ufunuo 13—Rumi ya kidini

3—Mnyama mfano wa mwana kondoo wa Ufunuo 13:11—Taifa la Marekani

4—Sanamu ya Mnyama Ufunuo 13—Umoja wa makanisa —WCC

5—Mnyama wa rangi nyekundu sana na mwanamke wa Ufunuo 17 -Illuminati,freemason wakiwa wameungana na kanisa la Rumi..

Wengi hawakuwa wanatofautisha wanyama hao lakini utakapojifunza kwa undani zaidi utagundua kwamba mnyama wa Ufunuo 17 ambaye ni mwekundu sana mwenye
pembe kumi na vichwa saba ambaye amembeba mwanamke inamaanisha muungano wa Illuminati wakiwa wameunda majimbo kumi katika dunia nzima pamoja na kanisa la
Rumi likiwa na watawala saba tangu kuanza kazi yake baada ya kupata jeraha la mauti.


Biblia inapotumia neno mwanamke kiunabii humaanisha kanisa (Ufunuo 21:2) na neno ‘kichwa’ humaanisha kiongozi wa kanisa ambapo kwa kanisa la Mungu, kichwa ni Kristo
lakini kwa kanisa la uongo, kichwa ni mwanadamu aliyechukua nafasi ya Yesu duniani,
(Wakolosai 1:18; 2Wathesalonike 2:4). Biblia kamwe haijawahi kutumia neno ‘kichwa’ kumaanisha kiongozi wa kiserikali ila hutumia neno ‘watawala au wafalme’.

Sasa Ipo hivi familia ya Kifalme ya Uingereza Ni Moja wapo ya familia zenye nguvu kwenye Freemason

Hawa wanaingia kwenye kundi la Sanamu ya Mnyama , lakini Makundi matano niliyotaja juu yanashirikiana Sana na Kama huchunguzi huwezi kujua .

Alipofariki mwaka Jana Malkia Elizabeth , Freemason walitoa kauli hii


Wachunguzi wa dini ya Freemason wanasema kwamba familia ya Malkia ni familia mojawapo kati ya familia 13 za waumini wa Freemasons.

Baada ya kifo cha Malkia Elizabeth, Freemason pale Uingereza walitoa tamko lifuatalo nitaliweka kwa lugha ya English na kutafsiri kwa nilivyojaaliwa.

Wanasema,

Cumbria Freemasons shared with us a statement from the United Grand Lodge of England. The statement read:

"It was with the greatest sadness that the United Grand Lodge of England learned of the death of Her Majesty Queen Elizabeth II, our longest serving British Sovereign.

"Queen Elizabeth’s father, His late Majesty King George VI and her consort, HRH The Duke of Edinburgh, were both Freemasons. Her cousin, HRH The Duke of Kent, has been Grand Master of the United Grand Lodge of England since 1967, and will be sending a message of condolence on behalf of all English Freemasons to His Majesty The King.

"Another of her cousins, HRH Prince Michael of Kent, has been Grand Master of the Grand Lodge of Mark Master Masons of England and Wales since 1982, and an announcement is being made from Mark Masons’ Hall.

"God Save The King."

Kwa tafsiri ya Kiswahili wanasema

Ilikuwa ni kwa huzuni kubwa kwamba United Grand Lodge ya Uingereza ilipopata habari kuhusu kifo cha Mtukufu Malkia Elizabeth II, Mfalme wetu wa Uingereza aliyetumikia kwa muda mrefu zaidi.

"Baba yake Malkia Elizabeth, Marehemu Mfalme George VI na mke wake, HRH The Duke wa Edinburgh, wote walikuwa Freemasons. Binamu yake, HRH The Duke of Kent, amekuwa Grand Master wa United Grand Lodge ya Uingereza tangu 1967, na kutuma ujumbe wa rambirambi kwa niaba ya Freemasons wote wa Kiingereza kwa Mtukufu Mfalme.

"Mwingine wa binamu zake, HRH Prince Michael wa Kent, amekuwa Grand Master wa Grand Lodge ya Mark Master Masons wa Uingereza na Wales tangu 1982, na tangazo linafanywa kutoka kwa Mark Masons' Hall.

"Mungu Mwokoe Mfalme."


NITAENDELEA
Ila wasababto huwa mnadanganyana huko kanisani kwenu nimegundundua usabato sio dini bali ni itikadi kwa hiyo huko kwenye ibada zenu ndio huwa .nafundizhina haya 🤣🤣🤣 duuh
 
Haupo mbali na unachokisema ,ila Anglican Church ni Kanisa la uingereza , hawa kwenye maandiko tunawatambua Kama Sanamu ya mnyama

Kumbuka Kuna Mnyama (Papacy system) halafu Kuna Sanamu ya Mnyama (System zinazofanya au kufata mafundisho/maagizo ya Papacy system)

Note: PAPA sio mpinga kristo,papa muda wowote anaweza akabadilika,

System /mfumo ndio Mpinga Kristo


Katika kitabu cha Ufunuo, Mungu anatufunuliwa wahusika au mawakala watano ambao ni:

1—Mnyama mwekundu wa Ufunuo 12—Shetani mwenyewe

2—Mnyama mfano wa chui wa Ufunuo 13—Rumi ya kidini

3—Mnyama mfano wa mwana kondoo wa Ufunuo 13:11—Taifa la Marekani

4—Sanamu ya Mnyama Ufunuo 13—Umoja wa makanisa —WCC

5—Mnyama wa rangi nyekundu sana na mwanamke wa Ufunuo 17 -Illuminati,freemason wakiwa wameungana na kanisa la Rumi..

Wengi hawakuwa wanatofautisha wanyama hao lakini utakapojifunza kwa undani zaidi utagundua kwamba mnyama wa Ufunuo 17 ambaye ni mwekundu sana mwenye
pembe kumi na vichwa saba ambaye amembeba mwanamke inamaanisha muungano wa Illuminati wakiwa wameunda majimbo kumi katika dunia nzima pamoja na kanisa la
Rumi likiwa na watawala saba tangu kuanza kazi yake baada ya kupata jeraha la mauti.


Biblia inapotumia neno mwanamke kiunabii humaanisha kanisa (Ufunuo 21:2) na neno ‘kichwa’ humaanisha kiongozi wa kanisa ambapo kwa kanisa la Mungu, kichwa ni Kristo
lakini kwa kanisa la uongo, kichwa ni mwanadamu aliyechukua nafasi ya Yesu duniani,
(Wakolosai 1:18; 2Wathesalonike 2:4). Biblia kamwe haijawahi kutumia neno ‘kichwa’ kumaanisha kiongozi wa kiserikali ila hutumia neno ‘watawala au wafalme’.

Sasa Ipo hivi familia ya Kifalme ya Uingereza Ni Moja wapo ya familia zenye nguvu kwenye Freemason

Hawa wanaingia kwenye kundi la Sanamu ya Mnyama , lakini Makundi matano niliyotaja juu yanashirikiana Sana na Kama huchunguzi huwezi kujua .

Alipofariki mwaka Jana Malkia Elizabeth , Freemason walitoa kauli hii


Wachunguzi wa dini ya Freemason wanasema kwamba familia ya Malkia ni familia mojawapo kati ya familia 13 za waumini wa Freemasons.

Baada ya kifo cha Malkia Elizabeth, Freemason pale Uingereza walitoa tamko lifuatalo nitaliweka kwa lugha ya English na kutafsiri kwa nilivyojaaliwa.

Wanasema,

Cumbria Freemasons shared with us a statement from the United Grand Lodge of England. The statement read:

"It was with the greatest sadness that the United Grand Lodge of England learned of the death of Her Majesty Queen Elizabeth II, our longest serving British Sovereign.

"Queen Elizabeth’s father, His late Majesty King George VI and her consort, HRH The Duke of Edinburgh, were both Freemasons. Her cousin, HRH The Duke of Kent, has been Grand Master of the United Grand Lodge of England since 1967, and will be sending a message of condolence on behalf of all English Freemasons to His Majesty The King.

"Another of her cousins, HRH Prince Michael of Kent, has been Grand Master of the Grand Lodge of Mark Master Masons of England and Wales since 1982, and an announcement is being made from Mark Masons’ Hall.

"God Save The King."

Kwa tafsiri ya Kiswahili wanasema

Ilikuwa ni kwa huzuni kubwa kwamba United Grand Lodge ya Uingereza ilipopata habari kuhusu kifo cha Mtukufu Malkia Elizabeth II, Mfalme wetu wa Uingereza aliyetumikia kwa muda mrefu zaidi.

"Baba yake Malkia Elizabeth, Marehemu Mfalme George VI na mke wake, HRH The Duke wa Edinburgh, wote walikuwa Freemasons. Binamu yake, HRH The Duke of Kent, amekuwa Grand Master wa United Grand Lodge ya Uingereza tangu 1967, na kutuma ujumbe wa rambirambi kwa niaba ya Freemasons wote wa Kiingereza kwa Mtukufu Mfalme.

"Mwingine wa binamu zake, HRH Prince Michael wa Kent, amekuwa Grand Master wa Grand Lodge ya Mark Master Masons wa Uingereza na Wales tangu 1982, na tangazo linafanywa kutoka kwa Mark Masons' Hall.

"Mungu Mwokoe Mfalme."


NITAENDELEA
Duuu rudi kajifunze kisha uje kutoa maoni
Unaongea vitu irrelevant
 
Duuu rudi kajifunze kisha uje kutoa maoni
Unaongea vitu irrelevant
Weka hoja zako sio kulalamika


Hivi vitu Ni vigumu hasa kwa watu ambao Kama tu mnatapeliwa kijinga na kina mwamposa

Sasa unadhani ukiambiwa Sanamu ya Mnyama Ni MUUNGANO wa makanisa au WCC,

Hilo Ni somo pana ,linaweza kuchukua hata mwezi

Ni vyakula vigumu , hasa kwa watu ambao unakuta anauziwa Mafuta,udongo, keki ,leso anaambiwa Zina upako ,


Katika harakati za mipango ya Illuminati ya kutawala dunia, chama hicho cha siri
kilianzisha taasisi nyingi ambazo hadi leo zinafanya kazi duniani kote.
Ili kufanikiwa katika malengo yao ya kuitawala dunia kupitia Dini, uchumi, siasa na
Ajira/kazi, Illuminati walifanikiwa kuanzisha taasisi za Kidini, kiuchumi, kisiasa na kazi
na ajira, zote hizo zikiwa zinafanya kazi kwa mwongozo wa Illuminati.

Katika taasisi za
kidini tunakuta Baraza la Umoja wa makanisa ulimwenguni (World Council of Churches)
ambalo lilianzishwa na Illuminati kwa makusudi ya kuunganisha dini zote za Kikristo na
kutengeneza “Mnara wa Babeli” wa kiroho. Tayari kuna makanisa mengi ambayo
yamejiunga kwenye umoja huo. Wengi hawajui kama umoja huo uko chini ya chama cha
siri cha Illuminati ambacho kina siri kubwa sana katika kutawala dini na dunia kwa
ujumla. Ukitaka kujua kama kanisa lako ni mwanachama wa Baraza hilo unaweza
kutembelea mtandao wa Baraza hilo kwenye

http//www.wcc-coe.org/.


Ieleweke kwamba WCC ina vitengo kama Christian World Communion, GlobalView attachment 2629983View attachment 2629982
 
Bora wakatoliki wana muheshimu bikra maria kuliko nyie wasabato mnao muheshimu yule mwana mama hellen alianzisha dini yenu 1863
Alafu kuhusu rozari kama hujui maana ya rozari kaa kimya 😂😂😂

HAWA WANAOFUATA MAFUNDISHO YA KIBINADAMU WANANIABUDU BURE.

Watu hawa huniheshimu kwa midomo; Ila mioyo yao iko mbali nami.
Mathayo 15:8

9 Nao waniabudu bure, Wakifundisha mafundisho Yaliyo maagizo ya wanadamu.
Mathayo 15:9



Hiyo Rozali Imeandikwa wapi kwenye Biblia au ni maagizo ya WANADAMU?????

Endelea kuabudu mnyama

SHETANI MBAYA SANAAAAAA.
 
Haupo mbali na unachokisema ,ila Anglican Church ni Kanisa la uingereza , hawa kwenye maandiko tunawatambua Kama Sanamu ya mnyama

Kumbuka Kuna Mnyama (Papacy system) halafu Kuna Sanamu ya Mnyama (System zinazofanya au kufata mafundisho/maagizo ya Papacy system)

Note: PAPA sio mpinga kristo,papa muda wowote anaweza akabadilika,

System /mfumo ndio Mpinga Kristo


Katika kitabu cha Ufunuo, Mungu anatufunuliwa wahusika au mawakala watano ambao ni:

1—Mnyama mwekundu wa Ufunuo 12—Shetani mwenyewe

2—Mnyama mfano wa chui wa Ufunuo 13—Rumi ya kidini

3—Mnyama mfano wa mwana kondoo wa Ufunuo 13:11—Taifa la Marekani

4—Sanamu ya Mnyama Ufunuo 13—Umoja wa makanisa —WCC

5—Mnyama wa rangi nyekundu sana na mwanamke wa Ufunuo 17 -Illuminati,freemason wakiwa wameungana na kanisa la Rumi..

Wengi hawakuwa wanatofautisha wanyama hao lakini utakapojifunza kwa undani zaidi utagundua kwamba mnyama wa Ufunuo 17 ambaye ni mwekundu sana mwenye
pembe kumi na vichwa saba ambaye amembeba mwanamke inamaanisha muungano wa Illuminati wakiwa wameunda majimbo kumi katika dunia nzima pamoja na kanisa la
Rumi likiwa na watawala saba tangu kuanza kazi yake baada ya kupata jeraha la mauti.


Biblia inapotumia neno mwanamke kiunabii humaanisha kanisa (Ufunuo 21:2) na neno ‘kichwa’ humaanisha kiongozi wa kanisa ambapo kwa kanisa la Mungu, kichwa ni Kristo
lakini kwa kanisa la uongo, kichwa ni mwanadamu aliyechukua nafasi ya Yesu duniani,
(Wakolosai 1:18; 2Wathesalonike 2:4). Biblia kamwe haijawahi kutumia neno ‘kichwa’ kumaanisha kiongozi wa kiserikali ila hutumia neno ‘watawala au wafalme’.

Sasa Ipo hivi familia ya Kifalme ya Uingereza Ni Moja wapo ya familia zenye nguvu kwenye Freemason

Hawa wanaingia kwenye kundi la Sanamu ya Mnyama , lakini Makundi matano niliyotaja juu yanashirikiana Sana na Kama huchunguzi huwezi kujua .

Alipofariki mwaka Jana Malkia Elizabeth , Freemason walitoa kauli hii


Wachunguzi wa dini ya Freemason wanasema kwamba familia ya Malkia ni familia mojawapo kati ya familia 13 za waumini wa Freemasons.

Baada ya kifo cha Malkia Elizabeth, Freemason pale Uingereza walitoa tamko lifuatalo nitaliweka kwa lugha ya English na kutafsiri kwa nilivyojaaliwa.

Wanasema,

Cumbria Freemasons shared with us a statement from the United Grand Lodge of England. The statement read:

"It was with the greatest sadness that the United Grand Lodge of England learned of the death of Her Majesty Queen Elizabeth II, our longest serving British Sovereign.

"Queen Elizabeth’s father, His late Majesty King George VI and her consort, HRH The Duke of Edinburgh, were both Freemasons. Her cousin, HRH The Duke of Kent, has been Grand Master of the United Grand Lodge of England since 1967, and will be sending a message of condolence on behalf of all English Freemasons to His Majesty The King.

"Another of her cousins, HRH Prince Michael of Kent, has been Grand Master of the Grand Lodge of Mark Master Masons of England and Wales since 1982, and an announcement is being made from Mark Masons’ Hall.

"God Save The King."

Kwa tafsiri ya Kiswahili wanasema

Ilikuwa ni kwa huzuni kubwa kwamba United Grand Lodge ya Uingereza ilipopata habari kuhusu kifo cha Mtukufu Malkia Elizabeth II, Mfalme wetu wa Uingereza aliyetumikia kwa muda mrefu zaidi.

"Baba yake Malkia Elizabeth, Marehemu Mfalme George VI na mke wake, HRH The Duke wa Edinburgh, wote walikuwa Freemasons. Binamu yake, HRH The Duke of Kent, amekuwa Grand Master wa United Grand Lodge ya Uingereza tangu 1967, na kutuma ujumbe wa rambirambi kwa niaba ya Freemasons wote wa Kiingereza kwa Mtukufu Mfalme.

"Mwingine wa binamu zake, HRH Prince Michael wa Kent, amekuwa Grand Master wa Grand Lodge ya Mark Master Masons wa Uingereza na Wales tangu 1982, na tangazo linafanywa kutoka kwa Mark Masons' Hall.

"Mungu Mwokoe Mfalme."


NITAENDELEA
Naenfelea kusikiliza; ila nitatafuta i,e mada nilioina pahala niilete kipingele alichofanya hesabu za kawaida mpaka kupata 666 kwa mfalme wa Uingereza. Sibishi kitu naendelea kupambanua hoja. Pia yatupasa kuhoji kila ukweli mana yaweza kuwa, ukweli wako au wa mwingine not 100% mpaka kujazia pahala. Ukiendelea nijue hapo unapoendelea nafuatilia japo kuna ambayo sikubaliani, nasubiri muendelezo nielewe zaidi
 
Back
Top Bottom