Je, Kanisa Katoliki ndiye mnyama wa nne duniani wa Unabii wa Daniel na Ufunuo?

Na wewe endelea kuabudu dini ilionzishwa na yule mama yenu malaya hellen🤣🤣🤣
 
Huo mwaka 1863 upo wapi kwenye hilo andiko
Wewe kweli akili hazipo sawa, wewe siunasema Watunza Sabato wameanza 1863

Mimi nakupa ushahidi wa kimaandiko ,Watunza Sabato wapo toka huko 1AD
 
Na wewe endelea kuabudu dini ilionzishwa na yule mama yenu malaya hellen[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Badala upangue hoja kwa Maandiko ,unatoa lugha chafu, hii inaonesha ndicho kilichokujaa moyoni na sio Maandiko na roho mtakatifu

Hivi uiulizwa uoneshe Rozali, ibada za Wafu, pagatory, x mass, Easter ,Halloween, jumatano ya majivu, kwenye maandiko utaonesha Nini?


Haya Ni mapokeo ya kipagani ndani ya Kanisa la Roma
 
Kwa hiyo wasabato mnatoa hadi magazeti yenu kwa kutunga🤣🤣🤣🤣
 
imani ya Waadventista Wasabato ni dini ya uongo yenye mafundisho ya kupotosha mafundisho hayo yanatokana na roho za udanganyifu, ambazo mtume Paulo alisema zitajitokeza katika siku za mwisho. “Basi roho anena waziwazi ya kwamba nyakati za mwisho wengine watujitenga na Imani, wakisikiliza roho zindanganyazo, na mafundisho ya mashetani.” (1Tim. 4:1). Mafundisho ya Adventista Wasabato yanawakilisha ‘injili nyingine’, injili ya uongo ambayo Paulo anatuonya vikali kabisa katika Wagalatia 1:3-9 na 2 Wakorintho 11:1-4.

Kwangu mimi, ilikuwa muhimu kujifunza kitu kimoja tu kuhusu mafundisho yao ili kugundua kuwa mafundisho hayo yalikuwa uongo mtupu. Mmoja wapo wa waasisi muhimu wa kanisa la Waadventista Wasabato mnamo miaka ya 1800 alikuwa Ellen G. White. Alifundisha tarehe ya 22 Oktoba 1844 kuwa Yesu Kristo alitoka katika ‘patakatifu’ mbinguni naye akaingia “patakatifu pa patakatifu”. Hili wazo sio tu liko kinyume na Maandiko lakini pia halina mantiki. Ni nani anaweza kuamini katika upuuzi huu ambao haujaandikwa mahala popote katika Maandiko? Jibu la hili swali ni kwamba, hili ni kazi ya roho idanganyayo ifanyayo kazi kwa nguvu kwa wanaume na wanawake walio vipofu wa ukweli na uelewa wa Injili ya Yesu Kristo.

Neno la Mungu linatufundisha kwamba baada ya kufufuka kwake, Yesu Kristo aliingia Patakatifu pa Patakatifu (mbinguni) kwa damu yake (Waebrania 9:7,8-12; 10:19). Patakatifu pa Patakatifu ni ishara ya uwepo na utukufu wa Mungu pale anapoketi na kutawala; zaidi ya haya, Maandiko yanatufundisha kwamba watu wa Mungu waliokombolewa, wao wenyewe wana ujasiri wa Kuingia Patakatifu Pa Patakatifu kwa sababu ya damu na kafara ya Yesu Kristo (Waebrania 4:16; 6:19,20; 10:19-23). Kitabu cha Waebrania kinatudhihirisha kuwa ile Hema jangwani inawakilisha vitu vya kiroho vilivyopo mbinguni, na kwamba sasa Wakristo wanao uwezo wa kuingia uwepo kwenye Mungu kwa njia ya Roho Mtakatifu (Waefeso 2:18).

Kwa nini mtu anaweza kuachana na akili na kuamini kitu ambacho kinapinga dhahiri mafundisho ya Biblia? Jibu ni kama ifuatavyo: kulikuwa na watu katika miaka ya 1800 ambao walikuwa wanaamini kuwa Yesu atarudi duniani tarehe 22 Oktoba 1844. Hii ilitokana na tafsiri yao ya Danieli 8:14 na zile siku 2300 zilizotajwa humo. Mmoja ya waanzilishi wa kwanza wa mafundisho haya ni mwanaume aitwaye William Miller na wafuasi wake waliitwa “Millerites” (Wafuasi wa Miller) au ‘Waadventista’. Tayari hapa tunaona udanganyifu uliokuwa ukifanya kazi katika mioyo ya hawa watu kwa kufikiria kwanza wangeweza kuikokotoa siku ya kurudi kwake Bwana, wakati Bwana mwenye ameisha tuonya kabisa kuhusu mambo haya ( Mathayo 24:23-27,44; 25:13). Ni kweli kwamba Bwana hakurudi siku hiyo na kulikuwa na kukatishwa tama sana miongoni mwa ‘Waadventista’ – kwa ujumla waliitwa ‘Adventists’ kwa sababu walitazimia ‘Kuja’ (yaani, ‘Advent’) kwake Yesu kutatokea wakati ule. Badala ya kutubu wengine walizidi kujidanganya ili kuhararisha tafsiri zao za Danieli sura ya 8.

Hiram Edson alikuwa miongoni wa wale waliovunjwa moyo, lakini alisema siku iliofuata, alipokuwa akikatisha katika shamba fulani alipumzika ili kusali na ilikuwa kama mbingu zilifunguka mbele yake. Ansema kwamba “Iliwekwa dhahiri kwake” kwamba sio kuwa ilimbidi Yesu kurudi duniani Oktoba 22, 1884, lakini siku hiyo Kristo alitoka patakatifu mbinguni na kuingia patakatifu pa patakatifu ili kufanya kazi iliyo takatifu zaidi (F.D Nichol, The Midnight Cry p.458). Edson bila kuchelewa alishirikisha tafsiri hii wafuasi wengine ambao wote waliiona kama habari njema! Hawa watu walikuwa wamepagawa sana na tafsiri yao kuhusu Daniel 8:14 kaisi cha kwamba ilikuwa rahisi kudanganywa na shetani kupitia ndoto mbalimbali na maono waliyokuwa wakipata. Walijaribu kutumia kitabu cha Waebrania sura za 8 na 9 ili kuhalalisha mawazo yao ya kuwa Yesu alihama kutoka patakatifu na kuingia patakatifu pa patakatifu tarehe hiyo ya 22 Oktoba 1884!

Edson alianza kujifunza Biblia pamoja na waamini wengineo wawili, O.R.L Crosier na Franklin B. Han, ambao walichapisha matokeo yao kwenye makala yao iitwayo “Day-Dawn”. Hivyo maono ya Edson ndiyo yakawa msingi wa “Mafundisho ya Patakatifu” (ambayo nitayaongelea hivi punde), na watu walioamini mafundisho haya ndiyo walikuwa kundi ambalo liliinuka kutoka kwenye makundi mengine ya Waadventista na kuwa kanisa la Waadventista Wasabato. Ufunuo huu wa uongo ulikuwa wenye kuhamasisha sana kwa Waadventista. Ellen White aliandika baadaye, “Maandiko ambayo kuliko chochote kile ndiyo yalikuwa msingi na nguzo kuu ya Imani ya Waadventista, yalitoa tamko kuwa ‘Itachukuwa siku 2,300 ndipo mahali patakatifu patawekwa wakfu tena.’ ’’ (Danieli 8:14). Ellen White na Waadventista waliamini kuwa zile siku 2,300 zilizotajwa na Daniel ziliisha Oktoba 22, 1884, na kuanzia hapo Kristo alianza awamu mpya ya huduma yake! Na Ellen White aliita hii “msingi na nguzo kuu ya Imani ya Waadventista”! Na hii bado ni msingi wa Imani za dini ya Waadventista Wasabato hadi leo. (Sitajishughulisha na mambo ya majina ambayo makundi mbalimabli ya Waadventista wasabato waliyatumia kutofautiana na wengine mwanzoni mwa historia yao. Muhimu kwetu kwa ajili ya somo hili ni mwanzo wa msingi wa imani ya Waadventista Wasabato.)

Ellen White aliandika kitabu cha maono yake. Baadhi ya maono yake inawakilisha makufuru kwa kupotosha na kuchanganya kabisa maono na mifano ya Biblia (Early Writings p 54,55). Hiki kitabu kilikuwa ni kazi ya udanganyifu. Anadai kwamba alipata maono ya mbinguni na aliongea na malaika na Kristo. Haya maono na ufunuo ilibidi kuhalalisha mafundisho yao ya uongo kuhusu Yesu kuinga katika patakatifu pa patakatifu Oktoba 1844. Hii ilibidi itokee Oktoba 22, 1844! Anadai alipata maono mengi kama haya, ambayo kiukweli sio ongezeko la maandiko tu ila pia ni kuharibu thamani ya maandiko. Waadventista wanadai kuwa mafunuo haya ya Ellen White ni ‘yenye mamlaka’ kwa Waadventista Wasabato. Tunajua kuwa kitabu cha Ufunuo kinaongelea kuhusu watu watakaokiongezea! (Ufunuo 22:18). Waadventista wanaweza wakasema kuwa Ellen White haongezei kwenye kitabu cha Ufunuo, lakini kwa sababu ya mambo mengi mapya na yenye kupotosha kwenye ‘maono yake’, na kwa sababu wafuasi wake wana amini kazi zake ni zenye ‘mamlaka’, hiki ndicho anachofanya. Kuhusu kazi zake Ellen White anasema, “Shuhuda hizi ni za Roho wa Mungu au shetani” (Testimonies for the Church, Vol. 4, p.230). Ni dhahiri kuwa shuhuda zake sio za Roho wa Mungu.
 
Umeenda kukopi kwa wenye CHUKI wenzio


Endelea kuabudu na kuchonga vinyago

Kunywa pombe usilewe

Iba usikamatwe
 
Umeenda kukopi kwa wenye CHUKI wenzio


Endelea kuabudu na kuchonga vinyago

Kunywa pombe usilewe

Iba usikamatwe
Mwana mama Ellen white alianza kuwadanganya babu zako 1863 hivyo sikushangai wewe kijukuu
 
Hamna hoja ya maana uliyoandika hapa. Huyo mnyama amekusomeshea maraisi wako na viongozi wako wengi sana pia ndugu zako wengi wanatibiwa na hosptali za roma. Mungu ana mkono mkubwa sana kwenye Kanisa la Roma. Nyie mnaojiona mpo sawa mmefanya nini kwa taifa hili au dunia hii.
 



Watu hawa huniheshimu kwa midomo; Ila mioyo yao iko mbali nami.
Mathayo 15:8

9 Nao waniabudu bure, Wakifundisha mafundisho Yaliyo maagizo ya wanadamu.
Mathayo 15:9


MAAGIZO YA WANADAMU NI YAPI?????

Hakuna sehemu Biblia inaruhusu haya.


1. Ibada za Sanamu.

2 Bikra maria kuwaombea.

3. MATUMIZI ya Rozali.

4. Kunywa pombe na Kuvuta sigara.

6. KUBADIRI majira na nyakati.

7. Majibu nk

ENDELEA KUJIVUNIA SANA KUWA MKATOLIKI
 


Ufunuo 18:4 “Kisha nikasikia sauti nyingine kutoka mbinguni, ikisema, Tokeni kwake, enyi watu wangu, msishiriki dhambi zake, wala msipokee mapigo yake. Kwa maana dhambi zake zimefika hata mbinguni, na Mungu amemkumbuka maovu yake…Kwa sababu hiyo mapigo yake yatakuja katika siku moja, mauti, na huzuni, na njaa, naye atateketezwa kabisa kwa moto. Kwa maana Bwana Mungu aliyemuhukumu ni mwenye nguvu.

JE anaezungumzwa hapa ni nani????????????..

ANAYEZUNGUMZIWA HAPA NI MZEE WA SIKU KIONGOZI WA KANISA LAKO. PAPA.
AKIPOKEA HUKUMU YA YESU KRISTO.

DANIEL 7:10.
Nikatazama hata viti vya enzi vikawekwa, na mmoja aliye mzee wa siku ameketi; mavazi yake yalikuwa meupe kama theluji, na nywele za kichwa chake kama sufu safi; kiti chake cha enzi kilikuwa miali ya moto, na gurudumu zake moto uwakao.

Mto kama wa moto ukatoka ukapita mbele zake; maelfu elfu wakamtumikia, na elfu kumi mara elfu kumi wakasimama mbele zake; hukumu ikawekwa, na vitabu vikafunuliwa.
Danieli 7:10

Danieli 7:9

Nikaona katika njozi za usiku, na tazama, mmoja aliye mfano wa mwanadamu akaja pamoja na mawingu ya mbingu akamkaribia huyo mzee wa siku, wakamleta karibu naye.
Danieli 7:13

hata akaja huyo mzee wa siku, nao watakatifu wake Aliye juu wakapewa hukumu; na majira yakawadia watakatifu waumiliki ufalme.
Danieli 7:22

ANAEZUNGUMZWA HAPA NI PAPA KIONGOZI WA KANISA ROMAN CATHOLIC
 
Dini zote ni uzushi mtupu hazimfanyi mtu kwenda mbingun maana Muumba wa kweli hana dini wala dhehebu, hata hayo maandiko yenu ya uongo mnayotumia kukalilishana hayatambui maana yametungwa kwa maslahi ya wachache.
Nakazia... Dini zote miyeyusho tu
Nalog off
 
Romantic ni dhehebu mdani ya nchi ilio nchi. Na nimatajiri ulimwenguni na ndio inayo endesha dunia utake usitake iko hivyo mpaka dahari. Inatumia Bible na Yesu wanamtambua japo poul ndie chanzo cha utajiri wa Roma. Soma vizuri utaelewa Bible inasema nini.
 
Unazungumzia ufalme wa eoma5 au kanisa la Roma?.
 
Unazunguka, sema ufalme wa Roma na sio Roman Catholic elewa unacho sema kiko sawa au la.
 
Amri kuu nawapeni; Pendaneni kama mimi nilivyowapenda ninyi!
Tuachane na hizi mbwembwe sijui sababto sijui Jumapili sijui mnyama!
hazisaidii chochote bhana tumche Mola inatosha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…