Je, Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania haina mamlaka juu ya Spika?

Je, Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania haina mamlaka juu ya Spika?

Unajua maana ya prooceding au umevamia chaka? Unajua maana ya mtu kupoteza sifa za kuwa mbunge? Alafu ndio unasumbua watu kuwa umesoma!
Ujajibu swali umedai 71 (1e) literally it’s straight forward to understand.

Nimekuuliza iwapo ni straight kama unavyodai ‘kuacha kuwa mwanachama’ does it equate ‘kufukuzwa uanachama’?

Ngoja nikusaidie katiba ilitakiwa kusema kuacha uanachama either kwa kujitoa mwenyewe au kufukuzwa kunakomesha nafasi ya ubunge.

If it were that huna nguvu ya kutumia section 83 ya katiba kwenda mahakamani kutaka tafsiri kama bado unabakia mmbunge baada ya kufukuzwa uanachama kama ilivyotokea kwa wabunge wa CUF maana jambo lipo wazi.

Hii press conference ya hakina Halima Mdee kujiita wanachama wa hiari sio bure watch this space.

Halafu kwanini kila mkini quote lazima mdai najifanya nimesoma au sina akili kwani hizo kauli zina ulazima jibu hoja kwa hoja.
 
Ujajibu swali umedai 71 (1e) literally it’s straight forward to understand.

Nimekuuliza iwapo ni straight kama unavyodai ‘kuacha kuwa mwanachama’ does it equate ‘kufukuzwa uanachama’?

Ngoja nikusaidie katiba ilitakiwa kusema kuacha uanachama either kwa kujitoa mwenyewe au kufukuzwa kunakomesha nafasi ya ubunge.

If it were that huna nguvu ya kutumia section 83 ya katiba kwenda mahakamani kutaka tafsiri kama bado unabakia mmbunge baada ya kufukuzwa uanachama kama ilivyotokea kwa wabunge wa CUF maana jambo lipo wazi.

Hii press conference ya hakina Halima Mdee kujiita wanachama wa hiari sio bure watch this space.

Halafu kwanini kila mkini quote lazima mdai najifanya nimesoma au sina akili kwani hizo kauli zina ulazima jibu hoja kwa hoja.
Narudia kusema huna lolote wala shule hujaenda. Neno ceases lina utata? Uanachama unaweza kukoma kwa kufukuzwa au kujitoa. Unapoteza muda kujidai unajua wakati kilaza.Pumbavu...
 
Hapo ndio mnapoangukiaga pua mahakamani.

Ubunge wa Lissu ilikuwa hivi hivi wakati anaambiwa aweke zuio kwanza la mmbunge kuapishwa, akadai yeye mgogoro wake upo na speaker.

Kilichotokea we all know.

Haya asante kwa shule ila itakusaidia mbeleni kuelewa written law is primary, precedent is secondary kwenye usikilizaji wa kesi; usipojiandaa inakula kwako.

Ngoja uone huu mziki utakavyochezwa kisheria mbele ya kina Kibatala uone watu wanavyobakiza ubunge wao.

Watch this space
Unachanganya sana mambo, unaokoteza kila unachokijua ujaribu ku-justify hoja zako ambazo hazi-exist.

Kuhusu written law na precedent nazifahamu kitambo, ndio maana nikaenda mbali kukuuliza inawezekaje mtu awe mbunge bila kuwa mwanachama wa chama cha siasa, hukunijibu, hope ulitambua udhaifu wa hoja yako ndio maana.

Suala la kina Kibatala kwenda mahakamani sijui wanaenda kufanya nini? Narudia tena kukwambia mara ya mwisho, Chadema hawana mgogoro wowote kwa upande wao kama chama, kazi yao walishaimaliza.

Maamuzi ya KK ndio yanatambuliwa kwa mujibu wa sheria na taratibu zao, walikubali kujiunga Chadema wakazikuta hizo taratibu, wakitaka kukata rufaa waende Baraza Kuu na ndicho walichosema watafanya.

Kina Mdee hawawezi kukimbilia mahakamani kama wana akili timamu, wanajua maamuzi ya chama hayatakiwi kupelekwa huko, kwani hiyo sio remedy iliyowekwa na Katiba yao, wakithubutu; ndio automatically wanajiondoa kabisa Chadema.

Nakushauri wachana na hii ndoto unayoiota kila wakati, hakuna jambo lolote gumu la kuwashinda Chadema kama chama hao ndugu wakienda mahakamani, kwasababu Chadema ni taasisi inayotambuliwa kisheria Tanzania, yenye taratibu, kanuni, na miongozo yake, na ili uwe mwanachama lazima uifuate.
 
Narudia kusema huna lolote wala shule hujaenda. Neno ceases lina utata? Uanachama unaweza kukoma kwa kufukuzwa au kujitoa. Unapoteza muda kujidai unajua wakati kilaza.Pumbavu...
Hizi ndio sababu Trump paid $750 in taxes akiwa kama multi billionaire na wanasiasa wenye millions wanalipa $100,000 of thousands annually tena ata biashara hawana; wanabaki wanalalamika malipo madogo ya Trump.

Law is not easy as you think, niliposema ni swala la wanasheria wa katiba waliobobea I meant it kwa sababu najua uwezo wa wachangiaji wengi wa JF including wale wanaojiita lawyers kwa argument zao unajua awashindi kesi.
 
Hizi ndio sababu Trump paid $750 in taxes akiwa kama multi billionaire na wanasiasa wenye millions wanalipa $100,000 of thousands annually tena ata biashara hawana; wanabaki wanalalamika malipo madogo ya Trump.

Law is not easy as you think, niliposema ni swala la wanasheria wa katiba waliobobea I meant it kwa sababu najua uwezo wa wachangiaji wengi wa JF including wale wanaojiita lawyers kwa argument zao unajua awashindi kesi.
Kesi sio ishu ya kuwa nguli wa sheria au kubobea. Kesi ni kuprove facts in issues basi. Ndio maana watu kama wewe unaweza kushindwa kesi hata na darasa la saba sababu huna akili ila unakariri. Kama Spika alidai anawalinda hao akina Halima kwa nini wasiendelee na shuguli zao kama wabunge? Fact ni kuwa katiba imekiukwa. Na mzee kama Msekwa anajua ukweli ndio maana hakumumunya maneno.

Lakini mada yangu inalenga kueleza ukweli kuwa constitution is supreme in Tanzania hata kama kuna watu wanaipindisha.
 
Unachanganya sana mambo, unaokoteza kila unachokijua ujaribu ku-justify hoja zako ambazo hazi-exist.
Nimetoa hint akina Mdee leo wamejiita wanachama wa hiari.

Watch this space kama naokoteza au naelewa kwa kiasi fulani. Subiri kesi kama itafika mahakamani uone hoja za upande wa utetezi wao halafu rudisha huu uzi.

Ata kwa Lissu ilikuwa me against CDM nikishauri aweke pingamizi kwanza; kwa sababu uwezi futa maamuzi ya sheria ambayo yashatendeka wakati ulikuwa na nafasi ya kuzuia wakaja watu kama nyie naropoka ugomvi wa Lissu upo kwa speaker.

Kule kwenye matumizi ya voucher niliwaambia pia hapo hakuna kesi ya kuwafungulia makampuni ya simu miaka 2 sijui 3 kesi ipo wapi.

Na kwenye hii mada watch this space.
 
Hizi ndio sababu Trump paid $750 in taxes akiwa kama multi billionaire na wanasiasa wenye millions wanalipa $100,000 of thousands annually tena ata biashara hawana; wanabaki wanalalamika malipo madogo ya Trump.

Law is not easy as you think, niliposema ni swala la wanasheria wa katiba waliobobea I meant it kwa sababu najua uwezo wa wachangiaji wengi wa JF including wale wanaojiita lawyers kwa argument zao unajua awashindi kesi.
Wewe punguza ujuaji, unachanganya mambo mengi ambayo hayahusiki ndio unajiona unajua sana, hao lawyers wabobevu kama unaamini hawako jf ungeenda kuwatafuta pengine unapodhani wanapatikana, lakini kuleta huu ujuaji wako hapa ukijua wazi hakuna hao wabobevu ni some kind of insanity.
 
Kesi sio ishu ya kuwa nguli wa sheria au kubobea. Kesi ni kuprove facts in issues basi. Ndio maana watu kama wewe unaweza kushindwa kesi hata na darasa la saba sababu huna akili ila unakariri. Kama Spika alidai anawalinda hao akina Halima kwa nini wasiendelee na shuguli zao kama wabunge? Fact ni kuwa katiba imekiukwa. Na mzee kama Msekwa anajua ukweli ndio maana hakumumunya maneno.

Lakini mada yangu inalenga kueleza ukweli kuwa constitution is supreme in Tanzania hata kama kuna watu wanaipindisha.
Nenda kafungue kesi uone halafu mpeleke Kibatala na Fatma Karume upande wa CDM. I guarantee you awashindi kwa mtazamo wako ni finyu mno kwenye kutafsiri katiba.
 
Hili hata CCM wanalitambua ndio maana wanatumia nguvu nyingi kwenye uchaguzi
Chadema ni imani. Chama kipo kwenye mioyo ya watu. Chadema imevuka hatua zote za kuuwawa na wafilisti wenye mamlaka. Viongozi watafungwa, wanachama watafungwa na kupotezwa. Lakini chama kitasimama imara. Chadema imevuka vikwazo vyote vigumu. CHADEMA ni mabadilko na uhuru wa kweli

Ndugai mmoja ni sawa na headless chicken
 
Nimetoa hint akina Mdee leo wamejiita wanachama wa hiari.

Watch this space kama naokoteza au naelewa kwa kiasi fulani. Subiri kesi kama itafika mahakamani uone hoja za upande utetezi wao halafu rudisha huu uzi.

Ata kwa Lissu ilikuwa me against CDM nikishauri aweke pingamizi kwanza; kwa sababu uwezi futa maamuzi ya sheria ambayo yashatendeka wakati ulikuwa na nafasi ya kuzuia wakaja watu kama nyie naropoka.

Kule kwenye matumizi ya voucher niliwaambia pia hapo hakuna kesi ya kuwafungulia makampuni ya simu miaka 2 sijui 3 kesi ipo wapi.

Na hapa watch it
Rudi kanisome tena juu pale #227 nimeshafunga hizi kelele zako.
 
Nenda kafungue kesi uone halafu mpeleke Kibatala na Fatma Karume upande wa CDM. I guarantee you awashindi kwa mtazamo wako ni finyu mno kwenye kutafsiri katiba.
We mwehu kweli. Nenda kalale kwani mimi ni mwanasheria? Ahaaaa Fatma atasimama upande wa Chadema kama nani?
 
Tatizo liko kwa Jiwe siyo kwa Supika! Kama Jiwe yeye mwenyewe anaongoza nchi kwa akili yake mwenyewe bila kufuata Katiba Supika atafanyaje?
Nachoamini hiyo mikwara ya Supika tunayoiona ni maagizo toka Chamwino!
 
Wewe punguza ujuaji, unachanganya mambo mengi ambayo hayahusiki ndio unajiona unajua sana, hao lawyers wabobevu kama unaamini hawako jf ungeenda kuwatafuta pengine unapodhani wanapatikana, lakini kuleta huu ujuaji wako hapa ukijua wazi hakuna hao wabobevu ni some kind of insanity.
Again was I generally speaking or referring to the quote?

Listen najua JF kuna wanasheria na nafahamu limitations zangu za sheria.

Hizi ndio sababu from the outset nilisema ni swala la constitutional lawyers; lakini aina maana kwa ufahamu wangu wenye limitations unaposoma michango ya watu unaojibizana nao kujua huyu mtu anaijua sheria au tia maji tia maji.

Huu mjadala hoja zimeshaisha hakina Mdee leo wamejiita wanachama wa hiari; kazi kwenu. Watch this space, as for me I am officially done ✅
 
We mwehu kweli. Nenda kalale kwani mimi ni mwanasheria? Ahaaaa Fatma atasimama upande wa Chadema kama nani?
Sasa jiulize nani mwehu kati ya mimi na wewe kupitia hiyo post yako.

Mimi ninaesema ni swala la wanasheria zaidi maana kuna vagueness kwenye katiba au wewe kiazi unaelazimisha lazima iwe hivi; hapo hapo unakuri una legal knowledge limitations.

Kazi kweli kweli
 
Again was I generally speaking or referring to the quote?

Listen najua JF kuna wanasheria na nafahamu limitations zangu za sheria.

Hizi ndio sababu from the outset nilisema ni swala la constitutional lawyers; lakini aina maana kwa ufahamu wangu wenye limitations unaposema michango ya watu unaojibizana nao kujua huyu mtu anaijua sheria au tia maji tia maji.

Huu mjadala hoja zimeshaisha hakina Mdee leo wamejiita wanachama wa hiari; kazi kwenu. Watch this space, as for me I am officially done [emoji736]
Hata sijui kama unajua maana ya neno hiari?

Wamejiita hivyo kwa sababu wameshafukuzwa uanachama, na kiuhalisia hakuna mbunge kule bungeni au kikatiba anayetambulika kama mwanachama wa hiari, so usipoteze muda wako tena kuokoteza kitu kingine ambacho hakina maana, bora upumzike tu.
 
Back
Top Bottom