Je, Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania haina mamlaka juu ya Spika?

Je, Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania haina mamlaka juu ya Spika?

... kwani taarifa kwamba hao viti maalumu 19 wameteuliwa na chama chao (Chadema) Spika alipewa na nani? Spika na genge lake wafanye uhuni kuwateua na kuwaapisha kivyao ila taarifa kwamba uanachama wao umetenguliwa wapewe na chama ambacho wamekihujumu? Kabisa huoni upumbavu hapo?
Basi subiri uone
 
Bado upo. Si uliaga?
Ni rahisi sana kujua "Mjinga na Mpuuzi..." Hebu rejea michango yako hapa JF. Usitumie maneno yanayokuhusu wewe kwa wengine wasiohusika.
Kuaga nini we fala? Wewe mpuuzi mmoja achana na wanaume, unatafuta bwana asubuhi asubuhi?
 
Yaani hata mwanafunzi wa darasa la pili anaweza kulijua hili,kuwa huyu ni mbunge sawa lakini ni mbunge anayetokana na chama gani?
Alipoenda kutibiwa India akakaa sana huko nina wasiwasi na whahindi walichofanya, kuna fyuzi ziling'olewa kwa huyu baba. Yaani hana hata aibu. Lakini haya mambo yana mwisho
 
Ni hivi mimi nina mengi ya kusema kutokana na katiba hiyo hiyo ubunge ni ajira na katiba ina mambo ya ajira ambayo yanaweza irudia maamuzi ya CDM kuwa ni unconsitutional.





Cdm haijamfukuza mtu ubunge.
Ajira yao wamewaachia ,na wala cdm haijasema inataka wafukuzwe bungeni.
Mwisho wa Chadema ni kuitaarifu ofisi ya Spika watu fulani sio wabunge tena, Spika ndie mwenye jukumu la kuwavua Ubunge.

Lakini kwasababu Spika na wenzake ndani ya CCM ndio waliotengeneza hiyo picha ya hao wasaliti, Spika anagoma kufanya hivyo kwasababu anajua kwa kufanya hivyo atakuwa amejivua nguo mwenyewe.

Katiba inatamka wazi ili uwe mbunge lazima uwe mwanachama wa chama cha siasa, suala lako la ajira hapa sijui linaingilia mlango gani..
 
Tanzania hatuna katiba chini ya huu utawala, mihimili yote iko chini ya mtu mmoja, yeye ndio katiba atakaloamua hakuna wakulipinga
 
Ok, sasa unataka nini?
Basi tulia hivyo hivyo.
Inawezekana akili zilizokuruka tokea ulipotekwa zikawa zinakurudia taratibu.

Tutaendelea kukuweka kwenye uangalizi kama kweli umeanza kujitambua.

Mkuu, fahamu Tanzania ni nchi yetu, tusiache hivi vitofauti vidogodogo kama vikabila kutuharibia nchi yetu hii nzuri.

Mshikamano wetu, umoja wetu ndio jambo kubwa zaidi ya hawa wanasiasa wanaotugawa kwa faida zao. Wanapokosea, tuwaseme, tusiwapambe kwa vile tu ni wa kabila letu au dini yetu.

Hii sio mara yangu ya kwanza kujibishana nawe, kumbuka hilo.
 
Chadema haina shida na ubunge wa hao covid 19...ila hawatambuliki kama wabunge wa CDM...$900m za dezo hakuna kwa miaka mitano
Haiwatambui Covid 19, Ila inamtambua mbunge mmoja wa kuchaguliwa na madiwani wake.😂😂
 
Haiwatambui Covid 19, Ila inamtambua mbunge mmoja wa kuchaguliwa na madiwani wake.[emoji23][emoji23]
Huyo mbunge amelazimishwa na wapiga kura wake kwenda bungeni ndiyo maana cdm wamekaa kimya.
 
Basi tulia hivyo hivyo.
Inawezekana akili zilizokuruka tokea ulipotekwa zikawa zinakurudia taratibu.

Tutaendelea kukuweka kwenye uangalizi kama kweli umeanza kujitambua.

Mkuu, fahamu Tanzania ni nchi yetu, tusiache hivi vitofauti vidogodogo kama vikabila kutuharibia nchi yetu hii nzuri.

Mshikamano wetu, umoja wetu ndio jambo kubwa zaidi ya hawa wanasiasa wanaotugawa kwa faida zao. Wanapokosea, tuwaseme, tusiwapambe kwa vile tu ni wa kabila letu au dini yetu.

Hii sio mara yangu ya kwanza kujibishana nawe, kumbuka hilo.
Unamueleza nani huu upuuzi wako.
 
Sawa, kama huo ndio msimamo wa chama. Lakini kumbuka wanasiasa ni vigeugeu. Usiwaamini sana! Ni ushauri tu
Unajua fika cdm haitambui hata huo uteuzi wa akina halima, haitambui pia ushindi wa ndugai.
Kumwandikia barua ndugai kuhusu akina halima ili kutengua ubunge upi.

Itoshe kuwa wamechukua hatua ya kuwafukuza chamani na kwamba hivi sasa wako huru kujiunga na chama chochote.
Nadhani hizo ndio kumbukumbu muhimu za kutunzwa.
 
Sawa, kama huo ndio msimamo wa chama. Lakini kumbuka wanasiasa ni vigeugeu. Usiwaamini sana! Ni ushauri tu
Ni sawa, mwanasiasa si wa kumuamini kwa kiasi kikubwa kwani kuna wanasiasa ambao nilipata kuwaamini hapo zamani lani mwishoe wakanionyesha kuwa wao ni wanasiasa kama wanasiasa wengine.
Hilo niko aware nalo.
 
Mahakama ilishaamua issue kama hii mwenyewe umekiri kule juu, nashangaa unakuja na maneno mengi humalizi, kusoma kwingi sheria na vitabu vyake sio defence myfriend, unaweza soma vitabu ishirini ukishindwa kutafsiri kifungu kimoja tu umeliwa, hiyo ndio sheria.

Usinichanganye kundi moja na wewe kwenye hili, kama hujui ni wewe sio mimi.

Suala la mwanasheria kuchagua meaning hilo ni kawaida, lakini mwishowe judge ndie huamua, na kwenye hii issue unayoilazimisha iwe unavyotaka wewe ilishaamuliwa yenye kufanana na hii, ndio maana ya precedent, hapa ndio maana nakuona mbishi tu.

Take your time jifunze zaidi, hasa kwenye KUTAFSIRI, usiishie tu kwenye kusoma vitabu vingi, sheria sio hadithi.

Halafu sijui nani alikwambia huku JF hakuna hao lawyers "wabobevu" unaowataka, jifunze kufikiri nje ya box.

Have a gud day too.
Ndugu mahakamani kwenye kutafsiri sheria (kesi yoyote ile) mwongozo mkuu wa jaji kwenye kusikiliza ni written law kwanza inasemaje, sio precedent.

Kwa ivyo kama kwenye kesi husika kuna sheria inayotoa mwongozo au katiba inatoa maelezo (written law) ndio itakayo tumiwa kwanza kwenye kusikiliza argument za kesi.

2. Kama hakuna sheria ndio precedent itatumiwa kusikiliza kesi.

3. Whichever way iliyotumika ku argue case kwenye kuamua kama mazingira ya kesi yanafanana ndio precedent itatumika kwenye decision making.

Usichanganye mambo ukidhani kukishakuwa na case law, basi written law aitumike tena mahakamani that’s not the case.
 
Back
Top Bottom