Je, Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania haina mamlaka juu ya Spika?

Je, Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania haina mamlaka juu ya Spika?

CHADEMA
Hata kama siyo nyie mliwasilisha majina ya COVID19 kwa mujibu wa sheria na taratibu, kwa nini hamjapeleka barua NEC na kopi kwa spika kueleza juu ya kuwafuta uanachama Covid19, ili ubunge wao feki ukome rasmi?!!!

Na je, Ndugai hawezi kuburuzwa mahakamani kwa kudharau Watanzania na Katiba yao?

That is my point, taarifa rasmi ziende halafu tuje kulalamika kuhusu kuvunjwa katiba
 
Kwenye nchi yoyote ya kidemokrasia kunapokuwa na Katiba iliyoandikwa hiyo katiba inakuwa na mamlaka makuu juu ya Taifa zima. Sio Spika, Rais hata Jaji mkuu anaweza kuwa na mamlaka dhidi ya Katiba.

Mamlaka ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yanapatikana kwenye ibara ya 64(5) ambayo yameweka bayana kuwa hakuna mtu au sheria yoyote itayotungwa itakuwa kinyume na Katiba ya Jamhuri ya Muungano Tanzania.

Kama ninakosea niko tayari kukosolewa, ibara ya 71 (1) (e) imeweka bayana kuwa mbunge atapoteza ubunge wake kama uanachama wake utakoma kwenye chama kilichompa ridhaa ya kugombea ubunge. Hii ni wazi wabunge 19 wa CHADEMA waliofukuzwa sio wabunge halali hata kama waliapishwa kwa kanuni za bunge. Na spika anawatetea kwa sheria gani, au kanuni gani ambazo zinakinzana na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?

Pia inasikitusha sana Spika wa bunge kudharau maoni ya wastaafu. Kwani ibara ya 71(1)(e) imefutwa? Kwani hii ibara haipo kwenye katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mpaka spika Ndugai awe anadharau maoni ya wastaafu na kudai hawajui kinachoendelea? Nini hicho kinachoendelea? Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imebadilishwa? Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania haina mamlaka juu ya spika?

Jambo la msingi ambalo Spika wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anatakiwa akubumke ni kuwa bunge ni wananchi, ndio maana tunatuma wawakilishi wetu huko,la sivyo kila mtanzania angekuwa mbabe na kujiamulia anavyotaka. Na hakuna mtu kwenye nchi hii aliye juu ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mimi nafikir ubunge kama watawatoa huko bungeccm haya wasipo watoa sawa chadema kama serekaliccm ilitegemea cdm wataandamana bungeniccm ilimpate muda wa kuwatesa nakubambika kesi mmekwama kamati kuu imekwisha maliza kazi kiukukweli wamefukuzwa sasa wapo bungeniccm kwamgongo wanani kazi kwenu hao siowanachama wa chadema toka 25/11/2020 saa 3 usiku
ASILAZIMISHWE MUUSLAM KULA NGURUWE
 
We ni mpuuzi mmoja ambae unajifanya unajua wakati ni fala tu. Katiba ina sections. Subsection gani unayo isema ipo kwenye katiba?

Katiba ni tofauti na hizi sheria zingine. Ndio maana ina Articles, Ariticle 71(1)(e) ipo wazi kabisa in plain meaning ukomo wa mwanachama either kwa kujiuzulu au kufukuzwa ndio mwisho wa uanachama.
Unaleta utetezi gani wa kipuuzi. Kesi ya Cuf na hii zinafanana? Wale walikuwa wabunge wa viti maalumu ambao hawakupata baraka za Cc ya Cuf?
Mnaponifurahisha ni confidence wakati viazi section/article literally they mean the same and can used interchangeably. Subsection is anything which falls under the same article/section for the purpose extrapolation.

Sasa mtu mwenyewe ata simple meaning of words inakusumbua utaweza kujua rules zinazotumika kwenye maswala ya judicial creativity pale ambapo kuna utata wa maandishi kwenye sheria.

Kiazi wahed.
 
Mnaponifurahisha ni confidence wakati viazi section/article literally they mean the same and can used interchangeably. Subsection is anything which falls under the same article/section.

Sasa mtu mwenyewe ata simple meaning of words inakusumbua utaweza kujua rules zinazotumika kwenye maswala ya judicial creativity.

Kiazi wahed.
Kwa majibu uliyotoa hutakiwi kuchangia hii mada. Kaa kimya usipoteze muda wa watu. Ndio maana nimekushangaa kusema kesi ya wabunge wa Cuf ni precedence kwenye hii ishu wakati facts hazifananai. Ujuaji wa kipumbavu.
 
Alipoenda kutibiwa India akakaa sana huko nina wasiwasi na whahindi walichofanya, kuna fyuzi ziling'olewa kwa huyu baba. Yaani hana hata aibu. Lakini haya mambo yana mwisho
Kijana, jitahidi kujenga hoja, NEVER criticize. Hatuhitaji personal attack hapa jukwaani.
Ukiambiwa uthibitishe kuwa kweli fuse zilozong'olewa toka kichwani mwa JN, hutoweza kufanya hivyo.
 
Kwa majibu uliyotoa hutakiwi kuchangia hii mada. Kaa kimya usipoteze muda wa watu. Ndio maana nimekushangaa kusema kesi ya wabunge wa Cuf ni precedence kwenye hii ishu wakati facts hazifananai. Ujuaji wa kipumbavu.
Can you differentiate; what are the distinguishing factors from the two? Enlighten us.
 
Kwenye nchi yoyote ya kidemokrasia kunapokuwa na Katiba iliyoandikwa hiyo katiba inakuwa na mamlaka makuu juu ya Taifa zima. Sio Spika, Rais hata Jaji mkuu anaweza kuwa na mamlaka dhidi ya Katiba.

Mamlaka ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yanapatikana kwenye ibara ya 64(5) ambayo yameweka bayana kuwa hakuna mtu au sheria yoyote itayotungwa itakuwa kinyume na Katiba ya Jamhuri ya Muungano Tanzania.

Kama ninakosea niko tayari kukosolewa, ibara ya 71 (1) (e) imeweka bayana kuwa mbunge atapoteza ubunge wake kama uanachama wake utakoma kwenye chama kilichompa ridhaa ya kugombea ubunge. Hii ni wazi wabunge 19 wa CHADEMA waliofukuzwa sio wabunge halali hata kama waliapishwa kwa kanuni za bunge. Na spika anawatetea kwa sheria gani, au kanuni gani ambazo zinakinzana na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?

Pia inasikitusha sana Spika wa bunge kudharau maoni ya wastaafu. Kwani ibara ya 71(1)(e) imefutwa? Kwani hii ibara haipo kwenye katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mpaka spika Ndugai awe anadharau maoni ya wastaafu na kudai hawajui kinachoendelea? Nini hicho kinachoendelea? Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imebadilishwa? Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania haina mamlaka juu ya spika?

Jambo la msingi ambalo Spika wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anatakiwa akubumke ni kuwa bunge ni wananchi, ndio maana tunatuma wawakilishi wetu huko,la sivyo kila mtanzania angekuwa mbabe na kujiamulia anavyotaka. Na hakuna mtu kwenye nchi hii aliye juu ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mkuu jua kuwa Mamba sasa ananjaa kali ya kula watoto wake. Inaskitisha sana!!Ameachama domo lake samaki na watoto wake anawameza awezavyo na ataendelea kumeza mpaka aone maji anayoishi humo yamegeuka damu. Yasipogeuka hivyo atameza mpaka viumbe wengine sasa...

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Ww ndio unaamka sasa, toka awamu hii imeingia madarakani katiba imekuwa ikivunjwa wazi wazi, na baada ya kuona watanzania ni makondoo wamenajisi box la kura kimachomacho, mkawa mnawasifia eti wamechaguliwa na wananchi. Sasa hivi wanafanya lolote maana wanajua mtawasifia.

Kama wameingia madarakani kwa kubaka uchaguzi na wanaona hamna lolote wamefanywa, watafanya lolote watakalo. Kwa kiburi anasema wastaafu waachwe maana hawajui yanayoendelea sasa, kana kwamba katiba imebadilika na hao wastaafu hawana uwezo wa kujua lolote.
Ile kauli ni taarfa kuwa they burning the chemicals till they react. Ile kauli ni ya kibabe haijawahi kutokea!!

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu jua kuwa Mamba sasa ananjaa kali ya kula watoto wake. Inaskitisha sana!!Ameachama domo lake samaki na watoto wake anawameza awezavyo na ataendelea kumeza mpaka aone maji anayoishi humo yamegeuka damu. Yasipogeuka hivyo atameza mpaka viumbe wengine sasa...

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Sijakuelewa, mbona mafumbo kibao?
 
Kwanini sasachana cha wanasheria au gao law school wasifungue kesi ya kukiukwa katiba?
 
Mambo mengine best tuwaachie constitutional lawyers

Hiyo aspect ya chama mnayoitumia imetajwa sehemu moja tu tena subsection yenyewe it’s literal meaning is weak argument to present at court.

Katiba inatambua kiongozi wa serikali anaweza teuliwa kuwa mmbunge anytime na ikitokea anatakiwa aache nafasi yake serikalini. On the other hand Civil Servants wanatakiwa wasiwe na party affiliations (kwa maana hiyo kuna wabunge wanaweza wasiwe na vyama vya siasa kwa mujibu wa katiba).

Kesi ya CUF mahakama iliwatambua wabunge waliofukuzwa uanachama na hii ya Hakina Mdee ikienda mahakamani hakuna much sufficient difference to distinguish the two cases; in maana precedent itakayo tumika ni case ya CUF.

83 ya katiba inasema uamuzi wa suala la ubunge (meaning kama ubunge wa mtu unakuwa contested, chombo cha kuamua ni mahakama kuu).

Whereas 71 (e) inasema iwapo mmbunge atakapo acha kuwa mwanachama i.e kwa ridhaa yake; aisemi atakapofukuzwa.

Kwa ivyo katiba pekee is vague unless kama kuna sheria inayotoa clarification zaidi.

Kesi kama hiyo mahakamani tayari kuna literal conflicts kwenye katiba kwenye swala zima la uanachama na mmbunge. Na mgogoro wowote wa sheria, you and I know ikishatoka bungeni chombo chenye kuamua ni mahakama.

Ila ukishakuwa mfuasi wa CDM kikawaida wao ndio; jurists, prosecutioners and judges. Especially viongozi wao wakiamua na Lissu akisema apparently ndio Gwiji wa sheria dunia nzima kwa mujimu wa wafuasi wa CDM.

Binafsi nataka kusikia mjadala wa lawyers kuhusu ili swala mahakamani kuliko majadiliano yetu ya JF bush lawyers.
Unakuza mambo bila sababu yoyote ya msingi, umeshasema case ya CUF itatumika kama precedent, na kule mwanzo ulisema unataka kesi iliyotumika kama precedent, nimekupa, lakini bado unakuja na maneno mengi ya kujichanganya bila sababu.

Basi niambie ni sheria gani inayompa Spika mamlaka ya kupinga maamuzi ya KK ya Chadema?

Tena uniambie, huoni Spika kugoma kwake kuwaondoa hao wabunge kutasababisha tatizo jingine, kwani hairuhusiwi mbunge asiwe huru (bila kuwa kumuwakilishi wa chama cha siasa)?

Unataka mahakama ijiingize kwenye huo mgogoro wa kitoto?

- Article 83 inasema mahakama ndio chombo cha kuamua, na imeshawahi kuamua kwenye issue ya wabunge wa CUF, but mpaka uende mahakamani lazima kuwe na mgogoro kati ya wanachama na chama chao, Chadema hakuna huo mgogoro; na hapo Spika hausiki.

Spika kazi yake ni formality tu akishapelekewa taarifa na chama husika mtu flani sio tena mwanachama wao kwa maandishi hatakiwi kuhoji kwa nini, anatakiwa kuwaondoa tu, kama anayo hayo mamlaka ya kuhoji ameyapata wapi, nipe sheria?

Sheria ukiisoma siku zote lazima ujue na kuitafsiri, sio unaisoma tu halafu unaishia hapo.

Nina maswali mengi tu ya msingi ya kukuuliza ila naona napoteza muda bure, vyema ujiamini iache akili yako ifikirie, kusema unawasubiri magwiji wa Constitutional Law mahakamani waka argue kuhusu issue iliyo wazi kama hii ni kujidumaza akili.
 
Unakuza mambo bila sababu yoyote ya msingi, umeshasema case ya CUF itatumika kama precedent, na kule mwanzo ulisema unataka kesi iliyotumika kama precedent, nimekupa, lakini bado unakuja na maneno mengi ya kujichanganya bila sababu.

Basi niambie ni sheria gani inayompa Spika mamlaka ya kupinga maamuzi ya KK ya Chadema?

Tena uniambie, huoni Spika kugoma kwake kuwaondoa hao wabunge kutasababisha tatizo jingine, kwani hairuhusiwi mbunge asiwe huru (bila kuwa kumuwakilishi wa chama)?

Unataka mahakama ijiingize kwenye huo mgogoro wa kitoto?

Article 83 inasema mahakama ndio chombo cha kuamua, na imeshawahi kuamua kwenye issue ya wabunge wa CUF, but mpaka uende mahakamani lazima kuwe na mgogoro kati ya wanachama na chama chao, hapo Spika hausiki, Spika kazi yake ni formality tu akishapelekewa taarifa na chama husika mtu flani sio tena mwanachama wao kwa maandishi hatakiwi kuhoji kwa nini, anatakiwa kuwaondoa tu, kama anayo hayo mamlaka ya kuhoji ameyapata wapi, nipe sheria?

Sheria ukiisoma siku zote lazima ujue na kuitafsiri, sio unaisoma tu halafu unaishia hapo.

Nina maswali mengi tu ya msingi ya kukuuliza ila naona napoteza muda bure, vyema ujiamini iache akili yake ifikirie, kusema unawasubiri magwiji wa Constitutional Law mahakamani waka argue kuhusu issue iliyo wazi kama hii ni kujidumaza akili.
Unakuza mambo bila sababu yoyote ya msingi, umeshasema case ya CUF itatumika kama precedent, na kule mwanzo ulisema unataka kesi iliyotumika kama precedent, nimekupa, lakini bado unakuja na maneno mengi ya kujichanganya bila sababu.

Basi niambie ni sheria gani inayompa Spika mamlaka ya kupinga maamuzi ya KK ya Chadema?

Tena uniambie, huoni Spika kugoma kwake kuwaondoa hao wabunge kutasababisha tatizo jingine, kwani hairuhusiwi mbunge asiwe huru (bila kuwa kumuwakilishi wa chama cha siasa)?

Unataka mahakama ijiingize kwenye huo mgogoro wa kitoto?

Article 83 inasema mahakama ndio chombo cha kuamua, na imeshawahi kuamua kwenye issue ya wabunge wa CUF, but mpaka uende mahakamani lazima kuwe na mgogoro kati ya wanachama na chama chao, Chadema hakuna huo mgogoro; na hapo Spika hausiki.

Spika kazi yake ni formality tu akishapelekewa taarifa na chama husika mtu flani sio tena mwanachama wao kwa maandishi hatakiwi kuhoji kwa nini, anatakiwa kuwaondoa tu, kama anayo hayo mamlaka ya kuhoji ameyapata wapi, nipe sheria?

Sheria ukiisoma siku zote lazima ujue na kuitafsiri, sio unaisoma tu halafu unaishia hapo.

Nina maswali mengi tu ya msingi ya kukuuliza ila naona napoteza muda bure, vyema ujiamini iache akili yako ifikirie, kusema unawasubiri magwiji wa Constitutional Law mahakamani waka argue kuhusu issue iliyo wazi kama hii ni kujidumaza akili.
Mtu hajui hata precedence inakuwaje ndio unahangaika kumuelewsha!
 
Usilete uchangu wa madoa hapa. Soma elewa kilichoandikwa. Umeleta uzi mzuri hakika kwa bahati mbaya. Umeishauleta! Acha kuuharibu uzi wetu!
Naomba ujiheshimu kuanzisha uzi sio sababu ya kuniletea dharau na upuuzi
 
Kwenye nchi yoyote ya kidemokrasia kunapokuwa na Katiba iliyoandikwa hiyo katiba inakuwa na mamlaka makuu juu ya Taifa zima. Sio Spika, Rais hata Jaji mkuu anaweza kuwa na mamlaka dhidi ya Katiba.

Mamlaka ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yanapatikana kwenye ibara ya 64(5) ambayo yameweka bayana kuwa hakuna mtu au sheria yoyote itayotungwa itakuwa kinyume na Katiba ya Jamhuri ya Muungano Tanzania.

Kama ninakosea niko tayari kukosolewa, ibara ya 71 (1) (e) imeweka bayana kuwa mbunge atapoteza ubunge wake kama uanachama wake utakoma kwenye chama kilichompa ridhaa ya kugombea ubunge. Hii ni wazi wabunge 19 wa CHADEMA waliofukuzwa sio wabunge halali hata kama waliapishwa kwa kanuni za bunge. Na spika anawatetea kwa sheria gani, au kanuni gani ambazo zinakinzana na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?

Pia inasikitusha sana Spika wa bunge kudharau maoni ya wastaafu. Kwani ibara ya 71(1)(e) imefutwa? Kwani hii ibara haipo kwenye katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mpaka spika Ndugai awe anadharau maoni ya wastaafu na kudai hawajui kinachoendelea? Nini hicho kinachoendelea? Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imebadilishwa? Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania haina mamlaka juu ya spika?

Jambo la msingi ambalo Spika wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anatakiwa akubumke ni kuwa bunge ni wananchi, ndio maana tunatuma wawakilishi wetu huko,la sivyo kila mtanzania angekuwa mbabe na kujiamulia anavyotaka. Na hakuna mtu kwenye nchi hii aliye juu ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ndugai na Mwenyekiti wake wapo juu ya sheria cha ajabu kabisa huu ubabe unafanywa na wakristo wenzetu ambapo wanashinda makanisani na macamera kibao huku matendo yao ni kishetani kabisa
 
Kwenye nchi yoyote ya kidemokrasia kunapokuwa na Katiba iliyoandikwa hiyo katiba inakuwa na mamlaka makuu juu ya Taifa zima. Sio Spika, Rais hata Jaji mkuu anaweza kuwa na mamlaka dhidi ya Katiba.

Mamlaka ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yanapatikana kwenye ibara ya 64(5) ambayo yameweka bayana kuwa hakuna mtu au sheria yoyote itayotungwa itakuwa kinyume na Katiba ya Jamhuri ya Muungano Tanzania.

Kama ninakosea niko tayari kukosolewa, ibara ya 71 (1) (e) imeweka bayana kuwa mbunge atapoteza ubunge wake kama uanachama wake utakoma kwenye chama kilichompa ridhaa ya kugombea ubunge. Hii ni wazi wabunge 19 wa CHADEMA waliofukuzwa sio wabunge halali hata kama waliapishwa kwa kanuni za bunge. Na spika anawatetea kwa sheria gani, au kanuni gani ambazo zinakinzana na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?

Pia inasikitusha sana Spika wa bunge kudharau maoni ya wastaafu. Kwani ibara ya 71(1)(e) imefutwa? Kwani hii ibara haipo kwenye katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mpaka spika Ndugai awe anadharau maoni ya wastaafu na kudai hawajui kinachoendelea? Nini hicho kinachoendelea? Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imebadilishwa? Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania haina mamlaka juu ya spika?

Jambo la msingi ambalo Spika wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anatakiwa akubumke ni kuwa bunge ni wananchi, ndio maana tunatuma wawakilishi wetu huko,la sivyo kila mtanzania angekuwa mbabe na kujiamulia anavyotaka. Na hakuna mtu kwenye nchi hii aliye juu ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Spika Ndugai inaonekana ana matatizo ya kiakili au kixaikolojia.
Tanzania tusipoangalia Ndugai na Magufuli wanatengeneza Bomu la Nuklia na litakaporipuka nji yote itaangamia.
 
Back
Top Bottom