Bulamba
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 13,741
- 13,049
Ni kiburi na matokeo ya kupitishwa bila kupingwaKwenye nchi yoyote ya kidemokrasia kunapokuwa na Katiba iliyoandikwa hiyo katiba inakuwa na mamlaka makuu juu ya Taifa zima. Sio Spika, Rais hata Jaji mkuu anaweza kuwa na mamlaka dhidi ya Katiba...