Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Hao wananchi wa kuingia mitaani utawakopa toka Uganda? We are sleeping margots.Duh noma sasa. Wananchi wakiingia mitaani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao wananchi wa kuingia mitaani utawakopa toka Uganda? We are sleeping margots.Duh noma sasa. Wananchi wakiingia mitaani?
Malizia shenzi pumbaf ndudai sipika 😅😅 baada ya kuona umepiga kelele jf wamekusahau kwenye uteuzi unaanza kumdis spika wetu😂😂Shenzi pumbaf
Ahaaaa. Uteuzi ili niwe nani? Mtendaji wa kata? None sense.Malizia shenzi pumbaf ndudai sipika 😅😅 baada ya kuona umepiga kelele jf wamekusahau kwenye uteuzi unaanza kumdis spika wetu😂😂
Katiba yetu haizingatiwi kabisa awamu hii.Ameteleza labda huwa hasomi katiba na vitabu kama mzee Msekwa.
...Upo sahihi...Ndugai anatia aibu Taifa hili basi tu watu wanajifanya vipofu kabisa ila tutalipa huu ujinga siku moja
Kosa kubwa sana kiutawala na litakuja kuzaa maasi makubwa.Katiba yetu haizingatiwi kabisa awamu hii.
Hii si issue ya CHADEMA tena, hii ni yetu watanzania kwani akina Mdee hawapo CHADEMA - wametimuliwa. Spika ameamua waingie bungeni kwasababu yeye anataka hivyo, pengine anafukuzia mzigo (ulimwona alivyomtamani dadake Bashe)Narudia tena... serikali haifanyi kazi kwa matamko. Speaker anapelekewa taarifa na Tume, kama tume haikupeleka taarifa, unataka Spika afanyaje? Na kama Tume haikupeleka taarifa, nendeni mkaishitaki tume.
Ishu sio mishahara ya akina Halima. Ishu ni kusimamia document ambayo ni Supreme kwenye nchi yetu.Hii si issue ya cdm tena, hii ni yetu watanzania kwani akina Mdee hawapo cdm- wametimuliwa. Spika ameamua waingie bungeni kwasababu yeye anataka hivyo, pengine anafukuzia mzigo (ulimwona alivyomtamani dadake Bashe)
Kinachoonekana moyoni mwa speaker ni utashi. Yupo tayari kuvunja katiba ikiwa itamfurahisha yeye.
Akina halima waache wale mshahara kwani kodi zetu ngapi zinaliwa bila utaratibu?
Tumeruhusu mshenzi atawale.Hii nchi ilikofikia inasikitisha sana...
Yaani mijitu inaona katiba haina maana tena...inaongea tu...
Ndugai hovyo sana
Nini umeandika?"......... mbunge atapoteza ubunge wake kama uanachama wake utakoma kwenye chama kilichompa ridhaa ya kugombea ubunge." - (Wale 19 hawakupewa ridhaa na chama chao, bali walipewa ridhaa ya kuapishwa kuwa wabunge na mamlaka nyingine ambayo siyo CHADEMA) kwa hiyo hawatapoteza ubunge wao na mimi nawashauri wasijiuzuru kwa sababu spika amesema ni wabunge halali na CDM haina ugomvi na ubunge wao kama watakuwa wabunge wa kujitegemea.
Nimesoma mara kumi kumi na sikuamini kama ni wewe ndio umeandika, Hongera mkuuKwenye nchi yoyote ya kidemokrasia kunapokuwa na Katiba iliyoandikwa hiyo katiba inakuwa na mamlaka makuu juu ya Taifa zima. Sio Spika, Rais hata Jaji mkuu anaweza kuwa na mamlaka dhidi ya Katiba.
Mamlaka ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yanapatikana kwenye ibara ya 64(5) ambayo yameweka bayana kuwa hakuna mtu au sheria yoyote itayotungwa itakuwa kinyume na Katiba ya Jamhuri ya Muungano Tanzania.
Kama ninakosea niko tayari kukosolewa, ibara ya 71 (1) (e) imeweka bayana kuwa mbunge atapoteza ubunge wake kama uanachama wake utakoma kwenye chama kilichompa ridhaa ya kugombea ubunge. Hii ni wazi wabunge 19 wa CHADEMA waliofukuzwa sio wabunge halali hata kama waliapishwa kwa kanuni za bunge. Na spika anawatetea kwa sheria gani, au kanuni gani ambazo zinakinzana na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?
Pia inasikitusha sana Spika wa bunge kudharau maoni ya wastaafu. Kwani ibara ya 71(1)(e) imefutwa? Kwani hii ibara haipo kwenye katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mpaka spika Ndugai awe anadharau maoni ya wastaafu na kudai hawajui kinachoendelea? Nini hicho kinachoendelea? Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imebadilishwa? Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania haina mamlaka juu ya spika?
Jambo la msingi ambalo Spika wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anatakiwa akubumke ni kuwa bunge ni wananchi, ndio maana tunatuma wawakilishi wetu huko,la sivyo kila mtanzania angekuwa mbabe na kujiamlia anavyotaka. Na hakuna mtu kwenye nchi hii aliye juu ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mimi ninachosimamia sio Ndugai, ninachosimamia ni taratibu. Ndugai bado hajavunjwa katiba sasa hivi. CHADEMA wafuate taratibu, then waje kulalamika. Kama walivyokuja na taarifa kwamba hata form za kina Mdee bado zipo ofisini kwao, wafanye hivyo.Hii si issue ya cdm tena, hii ni yetu watanzania kwani akina Mdee hawapo cdm- wametimuliwa. Spika ameamua waingie bungeni kwasababu yeye anataka hivyo, pengine anafukuzia mzigo (ulimwona alivyomtamani dadake Bashe)
Kinachoonekana moyoni mwa speaker ni utashi. Yupo tayari kuvunja katiba ikiwa itamfurahisha yeye.
Akina halima waache wale mshahara kwani kodi zetu ngapi zinaliwa bila utaratibu?
Hatuna chombo madhubuti cha kusimamia katiba kutokana na madhaifu ya katiba hiyohiyo.Ishu sio mishahara ya akina Halima. Ishu ni kusimamia document ambayo ni Supreme kwenye nchi yetu.
Sasa spika anasubiri barua rasmi ya kazi gani? CHADEMA wamewafutia wale akina mama uanachama tu, mambo ya ubunge wao wala hawana mpango nayo. Kama wataendelea na ubunge au vinginevyo hiyo nadhani haikuwa kazi ya kikao kile. Na hakuna kikao kingine kilichokaa kuzungumzia ubunge wa wale 19.Nadhani spika anasubiri barua rasmi kutoka kwa KM kwa kumfahamisha juu ya kupoteza uanachama kwa wanachama hao.Lakini hilo pia halimzuii Ndugai kutoa maoni yake binafsi kwa maana yeye ni mwanachama wa CCM.Nadhani CHADEMA waendelee na kufuata utaratibu.
Yalifanyika kwa Mwambe na kwa akina Silinde, Lijuakali, Lwakatare n.k, lakini matokeo yake yalikuwaje mjomba?.Watanzania sometimes tunahemkwa sana. Ndugai kapewa majina wa wabunge na mamlaka ya uteuzi i.e Tume ya Uchaguzi. Ili asiwatambue, mamlama hiyo hiyo inabidi impe taarifa. Na tume haiwezi kufanya hivyo mpaka ipewe taarifa na chama. Hayo yamefanyika? Kama bado tuwe wapole mpaka yafanyike.
Mbona hatuja sikikia JPM kama C in C akisema kila mtanzania kulala mwisho saa mbili usiku?Wala usijisumbue mkuu kuumiza akili zake, hakuna sheria wala katiba inayofuatwa kwa sasa, labda miaka 20 ijayo tena.