Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,237
- 31,811
Mtu aliyetumia Billion 12 kutibiwa atajali katiba huyu?Alipoenda kutibiwa India akakaa sana huko nina wasiwasi na whahindi walichofanya, kuna fyuzi ziling'olewa kwa huyu baba. Yaani hana hata aibu. Lakini haya mambo yana mwisho