Je, Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania haina mamlaka juu ya Spika?

Je, Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania haina mamlaka juu ya Spika?

Kwenye nchi yoyote ya kidemokrasia kunapokuwa na Katiba iliyoandikwa hiyo katiba inakuwa na mamlaka makuu juu ya Taifa zima. Sio Spika, Rais hata Jaji mkuu anaweza kuwa na mamlaka dhidi ya Katiba.

Mamlaka ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yanapatikana kwenye ibara ya 64(5) ambayo yameweka bayana kuwa hakuna mtu au sheria yoyote itayotungwa itakuwa kinyume na Katiba ya Jamhuri ya Muungano Tanzania.

Kama ninakosea niko tayari kukosolewa, ibara ya 71 (1) (e) imeweka bayana kuwa mbunge atapoteza ubunge wake kama uanachama wake utakoma kwenye chama kilichompa ridhaa ya kugombea ubunge. Hii ni wazi wabunge 19 wa CHADEMA waliofukuzwa sio wabunge halali hata kama waliapishwa kwa kanuni za bunge. Na spika anawatetea kwa sheria gani, au kanuni gani ambazo zinakinzana na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?

Pia inasikitusha sana Spika wa bunge kudharau maoni ya wastaafu. Kwani ibara ya 71(1)(e) imefutwa? Kwani hii ibara haipo kwenye katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mpaka spika Ndugai awe anadharau maoni ya wastaafu na kudai hawajui kinachoendelea? Nini hicho kinachoendelea? Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imebadilishwa? Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania haina mamlaka juu ya spika?

Jambo la msingi ambalo Spika wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anatakiwa akubumke ni kuwa bunge ni wananchi, ndio maana tunatuma wawakilishi wetu huko,la sivyo kila mtanzania angekuwa mbabe na kujiamulia anavyotaka. Na hakuna mtu kwenye nchi hii aliye juu ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ndugai ana KINGA inayomlinda hivyo anaweza kufanya lolote atakalo hata iwe kwa kukiuka Katiba kwa Makusudi
 
Bora uwe na kichwa kigumu kuliko kuwa mwepesi mwepesi tu. Ukweli ndio huo, kama taarifa rasmi hazijafika kwa Ndugai, hawezi kutowatambua. Inakera lakini ndio ukweli
... kwani taarifa kwamba hao viti maalumu 19 wameteuliwa na chama chao (Chadema) Spika alipewa na nani? Spika na genge lake wafanye uhuni kuwateua na kuwaapisha kivyao ila taarifa kwamba uanachama wao umetenguliwa wapewe na chama ambacho wamekihujumu? Kabisa huoni upumbavu hapo?
 
Akurud nistue
Unakuza mambo bila sababu yoyote ya msingi, umeshasema case ya CUF itatumika kama precedent, na kule mwanzo ulisema unataka kesi iliyotumika kama precedent, nimekupa, lakini bado unakuja na maneno mengi ya kujichanganya bila sababu.

Basi niambie ni sheria gani inayompa Spika mamlaka ya kupinga maamuzi ya KK ya Chadema?

Tena uniambie, huoni Spika kugoma kwake kuwaondoa hao wabunge kutasababisha tatizo jingine, kwani hairuhusiwi mbunge asiwe huru (bila kuwa kumuwakilishi wa chama cha siasa)?

Unataka mahakama ijiingize kwenye huo mgogoro wa kitoto?

- Article 83 inasema mahakama ndio chombo cha kuamua, na imeshawahi kuamua kwenye issue ya wabunge wa CUF, but mpaka uende mahakamani lazima kuwe na mgogoro kati ya wanachama na chama chao, Chadema hakuna huo mgogoro; na hapo Spika hausiki.

Spika kazi yake ni formality tu akishapelekewa taarifa na chama husika mtu flani sio tena mwanachama wao kwa maandishi hatakiwi kuhoji kwa nini, anatakiwa kuwaondoa tu, kama anayo hayo mamlaka ya kuhoji ameyapata wapi, nipe sheria?

Sheria ukiisoma siku zote lazima ujue na kuitafsiri, sio unaisoma tu halafu unaishia hapo.

Nina maswali mengi tu ya msingi ya kukuuliza ila naona napoteza muda bure, vyema ujiamini iache akili yako ifikirie, kusema unawasubiri magwiji wa Constitutional Law mahakamani waka argue kuhusu issue iliyo wazi kama hii ni kujidumaza akili.
 
Unakuza mambo bila sababu yoyote ya msingi, umeshasema case ya CUF itatumika kama precedent, na kule mwanzo ulisema unataka kesi iliyotumika kama precedent, nimekupa, lakini bado unakuja na maneno mengi ya kujichanganya bila sababu.

Basi niambie ni sheria gani inayompa Spika mamlaka ya kupinga maamuzi ya KK ya Chadema?

Tena uniambie, huoni Spika kugoma kwake kuwaondoa hao wabunge kutasababisha tatizo jingine, kwani hairuhusiwi mbunge asiwe huru (bila kuwa kumuwakilishi wa chama cha siasa)?

Unataka mahakama ijiingize kwenye huo mgogoro wa kitoto?

- Article 83 inasema mahakama ndio chombo cha kuamua, na imeshawahi kuamua kwenye issue ya wabunge wa CUF, but mpaka uende mahakamani lazima kuwe na mgogoro kati ya wanachama na chama chao, Chadema hakuna huo mgogoro; na hapo Spika hausiki.

Spika kazi yake ni formality tu akishapelekewa taarifa na chama husika mtu flani sio tena mwanachama wao kwa maandishi hatakiwi kuhoji kwa nini, anatakiwa kuwaondoa tu, kama anayo hayo mamlaka ya kuhoji ameyapata wapi, nipe sheria?

Sheria ukiisoma siku zote lazima ujue na kuitafsiri, sio unaisoma tu halafu unaishia hapo.

Nina maswali mengi tu ya msingi ya kukuuliza ila naona napoteza muda bure, vyema ujiamini iache akili yako ifikirie, kusema unawasubiri magwiji wa Constitutional Law mahakamani waka argue kuhusu issue iliyo wazi kama hii ni kujidumaza akili.
Ntajibu kwa kifupi maana unazungumza mambo ambayo for the most part it appears una limited knowledge nayo, so do I; our difference walau mimi naelewa kidogo changamoto zake kwa sababu napitia vitabu vya sheria ndio maana naona ni swala la wanasheria zaidi.

Kwanini? Nimekupa mifano kadhaa ambayo katiba inatoa more than one meaning ya nani anafaa kuwa mbunge na jinsi ubunge unavyoweza potea ‘manifest absurd’ in other words kutokana na circumstances za kesi mwanasheria anaweza chagua meaning anayoitaka yeye ndio kama nyie mnavyofanywa mkidhani mtu akifukuzwa uanachama ndio ukomo wa nafasi yake ya ubunge; wakati majaji wana reasoning zao tofauti na mnavyofikiri, that is if you know anything about ‘The Golden Rule’

On the same token ya 71 (e) pia kuna contradiction it’s not clear maana inasema mbunge akiacha aisemi mmbunge akifukuzwa kuna ‘literal rule’ contradiction, na 83 ina justify kwamba kufukuzwa chama (kama ajatoka mwenyewe kama 71e inavyotamka) mmbunge anaweza challenge na mahakama ndio itakayo amua.

Ni hivi mimi nina mengi ya kusema kutokana na katiba hiyo hiyo ubunge ni ajira na katiba ina mambo ya ajira ambayo yanaweza irudia maamuzi ya CDM kuwa ni unconsitutional.

Put it this ili swala ni la lawyers sio wachangiaji wa JF tia maji tia maji kwenye interpretation ya katiba; sio straight forward kama unavyofikiria.

Good Morning/night wherever you are, signing off.
 
Ni utaratibu wa kisheria na kutunza kumbukumbu
Sijui taarifa tume, sijui taarifa kwa spika ili iweje?
Mahaba ya job na halima kwanini kuyaingilia?
Watu wamehongana ubunge halafu eti uwaingilie,, ili iweje?
Waachwe wale bata.
 
Ntajibu kwa kifupi maana unazungumza mambo ambayo for the most part it appears una limited knowledge nayo, so do I; our difference walau mimi naelewa kidogo changamoto zake kwa sababu napitia vitabu vya sheria ndio maana naona ni swala la wanasheria zaidi.

Kwanini? Nimekupa mifano kadhaa ambayo katiba inatoa more than one meaning ya nani anafaa kuwa mbunge na jinsi ubunge unavyoweza potea ‘manifest absurd’ in other words kutokana na circumstances za kesi mwanasheria anaweza chagua meaning anayoitaka yeye ndio kama nyie mnavyofanywa mkidhani mtu akifukuzwa uanachama ndio ukomo wa nafasi yake ya ubunge; wakati majaji wana reasoning zao tofauti na mnavyofikiri, that is if you know anything about ‘The Golden Rule’

On the same token ya 71 (e) pia kuna contradiction it’s not clear maana inasema mbunge akiacha aisemi mmbunge akifukuzwa kuna ‘literal rule’ contradiction, na 83 ina justify kwamba kufukuzwa chama (kama ajatoka mwenyewe kama 71e inavyotamka) mmbunge anaweza challenge na mahakama ndio itakayo amua.

Ni hivi mimi nina mengi ya kusema kutokana na katiba hiyo hiyo ubunge ni ajira na katiba ina mambo ya ajira ambayo yanaweza irudia maamuzi ya CDM kuwa ni unconsitutional.

Put it this ili swala ni la lawyers sio wachangiaji wa JF tia maji tia maji kwenye interpretation ya katiba; sio straight forward kama unavyofikiria.

Good Morning/night wherever you are, signing off.
Mahakama ilishaamua issue kama hii mwenyewe umekiri kule juu, nashangaa unakuja na maneno mengi humalizi, kusoma kwingi sheria na vitabu vyake sio defence myfriend, unaweza soma vitabu ishirini ukishindwa kutafsiri kifungu kimoja tu umeliwa, hiyo ndio sheria.

Usinichanganye kundi moja na wewe kwenye hili, kama hujui ni wewe sio mimi.

Suala la mwanasheria kuchagua meaning hilo ni kawaida, lakini mwishowe judge ndie huamua, na kwenye hii issue unayoilazimisha iwe unavyotaka wewe ilishaamuliwa yenye kufanana na hii, ndio maana ya precedent, hapa ndio maana nakuona mbishi tu.

Take your time jifunze zaidi, hasa kwenye KUTAFSIRI, usiishie tu kwenye kusoma vitabu vingi, sheria sio hadithi.

Halafu sijui nani alikwambia huku JF hakuna hao lawyers "wabobevu" unaowataka, jifunze kufikiri nje ya box.

Have a gud day too.
 
Ni utaratibu wa kisheria na kutunza kumbukumbu
Unajua fika cdm haitambui hata huo uteuzi wa akina halima, haitambui pia ushindi wa ndugai.
Kumwandikia barua ndugai kuhusu akina halima ili kutengua ubunge upi.

Itoshe kuwa wamechukua hatua ya kuwafukuza chamani na kwamba hivi sasa wako huru kujiunga na chama chochote.
Nadhani hizo ndio kumbukumbu muhimu za kutunzwa.
 
Mahakama ilishaamua issue kama hii mwenyewe umekiri kule juu, nashangaa unakuja na maneno mengi humalizi, kusoma kwingi sheria na vitabu vyake sio defence myfriend, unaweza soma vitabu ishirini ukishindwa kutafsiri kifungu kimoja tu umeliwa, hiyo ndio sheria.

Usinichanganye kundi moja na wewe kwenye hili, kama hujui ni wewe sio mimi.

Suala la mwanasheria kuchagua meaning hilo ni kawaida, lakini mwishowe judge ndie huamua, na kwenye hii issue unayoilazimisha iwe unavyotaka wewe ilishaamuliwa yenye kufanana na hii, ndio maana ya precedent, hapa ndio maana nakuona mbishi tu.

Take your time jifunze zaidi, hasa kwenye KUTAFSIRI, usiishie tu kwenye kusoma vitabu vingi, sheria sio hadithi.

Halafu sijui nani alikwambia huku JF hakuna hao lawyers "wabobevu" unaowataka, jifunze kufikiri nje ya box.

Have a gud day too.
Ni hivi mimi nina mengi ya kusema kutokana na katiba hiyo hiyo ubunge ni ajira na katiba ina mambo ya ajira ambayo yanaweza irudia maamuzi ya CDM kuwa ni unconsitutional.





Cdm haijamfukuza mtu ubunge.
Ajira yao wamewaachia ,na wala cdm haijasema inataka wafukuzwe bungeni.
 
Pia inasikitusha sana Spika wa bunge kudharau maoni ya wastaafu. Kwani ibara ya 71(1)(e) imefutwa? Kwani hii ibara haipo kwenye katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mpaka spika Ndugai awe anadharau maoni ya wastaafu na kudai hawajui kinachoendelea? Nini hicho kinachoendelea? Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imebadilishwa? Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania haina mamlaka juu ya spika?
Kwanza nianze kwa kukuuliza. Wewe ni nani, 'Chagu wa Malunde?
Katika kuanzisha hii mada ulisoma mistari hiyo niliyo'quote' hapo juu, au umejiandikia tu.

Kutokana na unayoandika hapa mtandaoni, inaonyesha kwamba leo umejisahau kidogo, au hukujua mhusika wa hayo anayoyafanya Ndugai.
Nduga ni kimbwa tu, mhusika huwezi kumuuliza hayo uliyojisahau na kuyauliza hapa.
 
Kwanza nianze kwa kukuuliza. Wewe ni nani, 'Chagu wa Malunde?
Katika kuanzisha hii mada ulisoma mistari hiyo niliyo'quote' hapo juu, au umejiandikia tu.

Kutokana na unayoandika hapa mtandaoni, inaonyesha kwamba leo umejisahau kidogo, au hukujua mhusika wa hayo anayoyafanya Ndugai.
Nduga ni kimbwa tu, mhusika huwezi kumuuliza hayo uliyojisahau na kuyauliza hapa.
Stupid and insane person.
 
Back
Top Bottom