Mkulungwa01
JF-Expert Member
- Jul 14, 2021
- 3,977
- 5,339
Na mbona Warusi wanamkubali? Anafanya madudu yepi???Hata kukaa siku 15 haimruhusu. Anataka akae miaka minne halafu aseme,"Ah,nilikuwa naonja tu.! Sasa nataka nianze kula."
Madudu,kama ya Putin. Putin alikuwa Waziri Mkuu,halafu akasema ule muda aliokua rais hauesabiki,anataka kuwa rais tena.
Matusi. Anawatukana Warusi na anaitukana dunia. Nasikia Biden anafanya mipango ya kumpiga na ICMB.
Kule kwao hata umwenyekiti wa kitongoji uruhusiwi kushika fomu ya kugombea. Huko ni kitongaSamia hajakaimu miaka ya mtu yeyote, ni Rais kamili wa jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa mujibu wa katiba na anaweza kugombea tena urais kadri katiba inavyosema.
Kwanza Putin wanasema ameshauawa diki nyingi.Putin anawatukana Warusi na wakati yeye ni Rais wa Urusi? Ipoje hapo?
Macho yako yatakuwa na makengeza.Usichokijua! Nchi inaendesha na ccm mbili na marais watatu.
Mungu wangu!! Alitumiwa majasusi wa kike au?? So yule ni clone??Kwanza Putin wanasema ameshauawa diki nyingi.
Mbatata bila shaka.Mkuu viazi mviringo au viazi vitamu?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila hata kama, sio eti useme anafanya madudu, si kweli.Kwanza Putin wanasema ameshauawa diki nyingi.
Macho yako yatakuwa na makengeza.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu Thinker96, kwanza nikupe pole maana
kiukweli kabisa, elimu ya katiba inahitajika sana kwa Watanzania wengi ni viazi mpaka basi!.
1. Rais Samia hakaimu urais wa JPM, urais wa JPM ilikoma ile March 17!. Sasa Samia ndiye rais wa JMT na sio kaimu.
4. Hii miaka 4 ya JPM, Samia
anayoimalizia, sio kumshikia JPM, bali ndio term yake ya kwanza. Term yake ya pili ya Samia ni 2025-2030!.
Kiukweli kadri siku zinavyokwenda, viazi humu vinazidi kuongezeka!.
Pole!.
P
Ukiwa Mzanzibari unaruhusiwa, sisi Tanganyika tulijichanganya wenyewe na yote kwa sababu ya Nyerere alijiona mjanja sana alifikiri vile alivyofanya eti serikali ya Tanganyika ipo humo humo ndani ya serikali ya Muungano ndio automatically tutakuwa tukiitalawa Zanzibar sasa kibao kimegeuka maana katiba haikusema kama rais wa Muungano lazima atoke Tanganyika.Kule kwao hata umwenyekiti wa kitongoji uruhusiwi kushika fomu ya kugombea. Huko ni kitonga
Ifike mahali Rais wa Zanzibar atoke TanganyikaUkiwa Mzanzibari unaruhusiwa, sisi Tanganyika tulijichanganya wenyewe na yote kwa sababu ya Nyerere alijiona mjanja sana alifikiri vile alivyofanya eti serikali ya Tanganyika ipo humo humo ndani ya serikali ya Muungano ndio automatically tutakuwa tukiitalawa Zanzibar sasa kibao kimegeuka maana katiba haikusema kama rais wa Muungano lazima atoke Tanganyika.
Prof Kabudi soma hii manenoUkiwa Mzanzibari unaruhusiwa, sisi Tanganyika tulijichanganya wenyewe na yote kwa sababu ya Nyerere alijiona mjanja sana alifikiri vile alivyofanya eti serikali ya Tanganyika ipo humo humo ndani ya serikali ya Muungano ndio automatically tutakuwa tukiitalawa Zanzibar sasa kibao kimegeuka maana katiba haikusema kama rais wa Muungano lazima atoke Tanganyika.
Mkuu Thinker96, kwanza nikupe pole maana
kiukweli kabisa, elimu ya katiba inahitajika sana kwa Watanzania wengi ni viazi mpaka basi!.
1. Rais Samia hakaimu urais wa JPM, urais wa JPM ilikoma ile March 17!. Sasa Samia ndiye rais wa JMT na sio kaimu.
4. Hii miaka 4 ya JPM, Samia
anayoimalizia, sio kumshikia JPM, bali ndio term yake ya kwanza. Term yake ya pili ya Samia ni 2025-2030!.
Kiukweli kadri siku zinavyokwenda, viazi humu vinazidi kuongezeka!.
Pole!.
P
Katiba sio bibilia inaweza kufanyiwa marekebisho soon tukakaa sawaHeshima kwako Pascal
Ni kweli mleta mada amekosea kwa kutumia neno kukaimu Uraisi
Pamoja na hilo, ameleta hoja nzuri na fikirishi ( atleast kwa tusio na uelewa wa kutosha wa Katiba, japo najua kuna wengine ni wasomi wa sheria na hawana jibu la uhakika kwenye hili swali)
Mleta mada katoa mifano iliyoibua hoja yake ( maraisi wa Zambia, Burundi nk) hivyo ni swali lenye mashiko na lenye reasoning nyuma yake.
Ni kweli watanzania wengi ni viazi (na huo ndiyo mtaji wa CCM) Na watu ‘viazi’ wanazidi kuongezeka humu jukwaani, lakini swali lililoulizwa hapa lina mashiko maana sio kila mtu ana fursa ya kuijua katiba kama uijuavyo wewe.
Nikuombe sasa atleast utuambie katiba inasemaje kwenye hili au specifically kwanini Mh Rais Samia hawezi kugombea 2030.
Kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar na Tanzania haiwezekani labda zibadilishwe.Ifike mahali Rais wa Zanzibar atoke Tanganyika
Kila mtu na bahati yake. CCM ndio ilioandikiwa kutawala Tanzania milele. Watanzania wanaipenda, wanaikubali, wanaichagua.
P
Nimefurahi sana,Mkuu Thinker96, kwanza nikupe pole maana
kiukweli kabisa, elimu ya katiba inahitajika sana kwa Watanzania wengi ni viazi mpaka basi!.
1. Rais Samia hakaimu urais wa JPM, urais wa JPM ilikoma ile March 17!. Sasa Samia ndiye rais wa JMT na sio kaimu.
4. Hii miaka 4 ya JPM, Samia
anayoimalizia, sio kumshikia JPM, bali ndio term yake ya kwanza. Term yake ya pili ya Samia ni 2025-2030!.
Kiukweli kadri siku zinavyokwenda, viazi humu vinazidi kuongezeka!.
Pole!.
P