wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
Sijajua kuhusu mambo ya dini kabila au jadi kuhusu wanandoa wawili (mke na mume)hua naona au kusikia kuwa endapo wanandoa upande wa mwanaume ndio anaetoa talaka endapo ataona au sikia kwa ushahidi kuwa labda mkewe kaenda tofauti na masharti ya ndoa yanavyosema.
Je, Mwanamke nae anaruhisiwa kutoa talaka kwa mumewe? Na kama inaruhusiwa ni vigezo gani anatumia hadi kufanya hivyo?
Je, Mwanamke nae anaruhisiwa kutoa talaka kwa mumewe? Na kama inaruhusiwa ni vigezo gani anatumia hadi kufanya hivyo?