Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wataponzeka wakienda kichwa kichwa bila kupata ushauri wa kisheriaUsije ukawaponza wadada
Labda siyo halali kwako wewe mpaganiHizo za dini sio halali.
Kaka Acha kupotosha mambo....Uislamu Una mambo yake na Sheria zake,mwanaume ana haki ya kutoa talaka na mwanamke anaweza omba kuachwa au kupewa talaka.....na ikitokea migogoro yoyote Kati ya wanandoa basi kama kuna mahakama ya kadhi ambayo inaendeshwa na misingi ya Dini ya kiislamu ndio ina haki ya kuamua maswala ya ndoa na mirathi Kwa mujibu wa Sheria za kiislamu,na sio hizo mahakama za kawaidaTalaka halali inatolewa na mahakama, hakuna mtu yoyote mwenye uhalali w kutoa talaka.Kwahiyo hata na hizo wanazotoaga wanaume wa kiislamu sio halali.
Talaka Kwa waislamu wala haihitaji sheikh inahitaji mume Tu kwani yeye ndio muoaji....na talaka si lazima iandikwe Bali mume akitamka Tu kuanzia leo Fulani sio mke wangu basi imepita hiyo....kuandika kumekuja Tu kama ushahidi ambao mwanamke atakuwa nao endapo ataenda ktk familia Yao huenda akaulizwa tuonyeshe talakaLakini wanazitumia sana wakishaita mashekhe fasta tuu shughuli imeisha
Mwanamke hatoi talaka Bali anaomba kuachwa au anaomba kupewa talakaKulingana na uzoefu na nimeshawahi kuona pia nadhani inategemea na dini zenu. Dini ya kikristo meanamke anaenda kuomba talaka mahakamani. Lakini dini ya kiislam mwanamke nmeona anaweza kuandika talaka na kumpatia mumewe tu iwe mbele ya mashahidi. Ila talaka ya kuandika mke Huwa inakua nyepesi kama hakuna Mali za kudai kama zipo Mali ni lazima swala liende mahakamani
Sio uelewa ni utaratibu wao wa kihuniHivi bongo ndo kusema kuna kuoa na kuolewa?
Kwa wenzetu jamii yenye uelewa wa hali ya juu ya mambo kuna “kuoana” tu
Kuridhiana.
Sio kuridhia na kuridhiwa la hasha!
Mnawazaga mali tu, mwenzenu klyn mambo magum tofauti na alivyofikiriaUkiwa vizuri mwanamke na ukiwa na ushahidi pasi na shaka nenda mahakamani kaombe kutoa talaka, mali zilipatikana ndani ya ndoa unapiga pasu,
Sijui ndo hivyo 🤣🤣🤣
Sijajua kuhusu mambo ya dini kabila au jadi kuhusu wanandoa wawili (mke na mume)hua naona au kusikia kuwa endapo wanandoa upande wa mwanaume ndio anaetoa talaka endapo ataona au sikia kwa ushahidi kuwa labda mkewe kaenda tofauti na masharti ya ndoa yanavyosema ,je!mwanamke nae anaruhisiwa kutoa talaka kwa mumewe?na kama inaruhusiwa ni vigezo gani anatumia hadi kufanya hivyo.
Kuna Talaka inaitwa Kuruy, ifanyie utafiti, uliza , kuna sababu zake mpk inatoka.Mi dini yangu sijawahi ona wala sikia
In Islam, Mwanamke anaweza kujivua/kujitoa ktk ndoa. Inaitwa "khuluwy" kwa sharti la kurudisha Mahari aliyolipiwaHizo za dini sio halali.