Beesmom
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 17,202
- 28,732
Dada tafadhaliSawa blaza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dada tafadhaliSawa blaza
Ukiwa vizuri mwanamke na ukiwa na ushahidi pasi na shaka nenda mahakamani kaombe kutoa talaka, mali zilipatikana ndani ya ndoa unapiga pasu,
Sijui ndo hivyo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Talaka hutolewa na mahakama pekee na si mume wala mke.
Mwanandoa anakwenda mahakamani kuomba mahakama ivunje ndoa yake kwa kuwa mwenzake amekiuka masharti na kufanya ndoa iharibike vipande vipande visivyoweza kutengenezeka tena.
Mahakama ikiridhika na ushahidi wake, inakubali ombi lake na inavunja ndoa hiyo kwa kutoa talaka. Kwa hiyo mwanandoa yeyote (mume au mke) anaweza kuomba mahakama ivunje ndoa yake, talaka inatolewa na mahakama.
Kulingana na uzoefu na nimeshawahi kuona pia nadhani inategemea na dini zenu. Dini ya kikristo meanamke anaenda kuomba talaka mahakamani. Lakini dini ya kiislam mwanamke nmeona anaweza kuandika talaka na kumpatia mumewe tu iwe mbele ya mashahidi. Ila talaka ya kuandika mke Huwa inakua nyepesi kama hakuna Mali za kudai kama zipo Mali ni lazima swala liende mahakamani
Tukamalizane kisheriaHadi mahakamani tena?kwani mbona upande wa dini kama islam naonaga mwanaume anatandika hadi takala 3bila kwenda mahakamani
Usije ukawaponza wadadaUkiwa vizuri mwanamke na ukiwa na ushahidi pasi na shaka nenda mahakamani kaombe kutoa talaka, mali zilipatikana ndani ya ndoa unapiga pasu,
Sijui ndo hivyo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hizo ni silaha ila kuna talaka sasa bro