wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
- Thread starter
- #61
Kuna wanandoa hudhani kuwa watawakomoa wenzi wao Kwa kukataa kutoa talaka ili kuwakomoa wasiwe huru na kuendelea kufurahia maisha na wapenzi wengine kwa uhuru na mali walizochuma,
Kumbe hawajui kuna chombo cha haki mahakama inauwezo wa kutoa talaka halali kabisa.
Na hata ukiitwa na mahakamani ukagoma kujitokeza Kuna utaratibu ukifika talaka inatoleea kwa mwenza mwenye kuhitaji talaka .
Mambo ya kuwekeana usiku nani anayataka?!
Je mahakama ikatoa talaka na mimi nikaendelea kumtaka mke wangu ana mke nae akakubali hii inakuwaje