Je, katika wanandoa mwanamke anaruhisiwa kutoa talaka?


Je mahakama ikatoa talaka na mimi nikaendelea kumtaka mke wangu ana mke nae akakubali hii inakuwaje
 
Nadhan kwa kuwa asilimia kubwa ya ndoa huwa zina maegeo ya kidini ukiacha za kimila au Kiserikal.
Uvunjikaji wake mfano kwa Uislam, Mwanamke hawezi kutoa talata ila anaweza kuiomba au hata kujivua kwenye ndoa na, Mume akatakiwa kuitoa kwa lazma na msimamizi ambaye kwa Tz nadhan ni BAKWATA.
 
Je mahakama ikatoa talaka na mimi nikaendelea kumtaka mke wangu ana mke nae akakubali hii inakuwaje



Swali zuri sana.

Mpaka talaka inatolewa ni ama mmojawapo mfano mke au wote 2 mke na mume mmeudhishana na kuumizana mioyo pakubwa na sasa inahitajika talaka.

Sasa sijaelewa vizuri swali lako;

Kwamba unauliza iwapo mke alidai talaka na mahakama ikaridhia kutoa mkaachana,

Kwamba baada ya muda mke akasamehe akarudisha moyo na kuanza kukurejea au siyo ?

Kama nimekuelewa hivyo!

Chukulia hata kidini mwanamke akipewa talaka 3 hapo hakuna rejea.

Nikauliza nikaambiwa ataweza kurejea iwapo ataolewa tena na kuachwa.

Sasa sijajua Kwa talaka ilotolewa mahakamani inakuwaje,

Kwamba yenyewe ni final and conclusive au watalaka wanaweza kurejeana iwapo kuna masharti fulani ?

Na hii huenda ndio maana kesi za talaka hazipelekwi haraka,

Huwa wanatoa muda ili hasira zishuke maana talaka ya hasira ni mbaya sana.

Uamuzi unaofanywa wakati wa hasira huwa sio mzuri sana.

Though siku hizi wanarahisha kutoa haraka tofauti na zamani sababu ya kuepuka mauaji ya wanandoa.

Labda wawe wanawatenganisha kwa muda wakati wakisubiri mtendwa kuondoa hasira na uchungu ili aamue akiwa na utulivu wa akili bila kupelekeshwa na hasira.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…