Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ngoja tuoneHiyo haiwezi kuwa dawa.
HaijalishiUnadhani ni mara ya kwanza wanabadili Jina? ππ
Kubadili jina hakuondoi kesi lakini.Zipo Taarifa za Kampuni ya Tigo Tanzania kubadili jina.
Si kazi nyepesi kubadili jina la Brand kubwa kama Tigo, bila shaka liko jambo kubwa sana lililopelekea uamuzi huu.
Je ile kesi kabambe ambayo Lissu ameifungulia Kampuni hiyo Nje ya Nchi yaweza kuwa Sababu?
ILianza Mobitel ikja ikawa Buzz ikaja ikawa TIGO Sasa inaitwa YasUnadhani ni mara ya kwanza wanabadili Jina? ππ
Bado kesi inawahusuNgoja tuone
Nashangaa huyu mkinga erythrocytes anaona ni Maajabu πππILianza Mobitel ikja ikawa Buzz ikaja ikawa TIGO Sasa inaitwa Yas
Lissu anatisha!Nashangaa huyu mkinga erythrocytes anaona ni Maajabu πππ
Ni umaskini tu πππLissu anatisha!
Hawawezi kukwepa kikombe hicho lazima wainywe.Zipo Taarifa za Kampuni ya Tigo Tanzania kubadili jina.
Si kazi nyepesi kubadili jina la Brand kubwa kama Tigo, bila shaka liko jambo kubwa sana lililopelekea uamuzi huu.
Je ile kesi kabambe ambayo Lissu ameifungulia Kampuni hiyo Nje ya Nchi yaweza kuwa Sababu?
Wanahofia hio kesi huenda ikachafua jina na brand ya kampuni ( Tigo). Hata wakishindwa kesi tayar watakua wameshajiita Yas haitawaathiri
Nakumbuka mwanzoni walikuwa wanaitwa MobitelUnadhani ni mara ya kwanza wanabadili Jina? ππ
Peter Torsh aliwahi kuimbaZipo Taarifa za Kampuni ya Tigo Tanzania kubadili jina.
Si kazi nyepesi kubadili jina la Brand kubwa kama Tigo, bila shaka liko jambo kubwa sana lililopelekea uamuzi huu.
Je ile kesi kabambe ambayo Lissu ameifungulia Kampuni hiyo Nje ya Nchi yaweza kuwa Sababu?