Je, kesi aliyofungua Tundu Lissu nje ya nchi ndio sababu ya TIGO Tanzania kubadili jina?

Je, kesi aliyofungua Tundu Lissu nje ya nchi ndio sababu ya TIGO Tanzania kubadili jina?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Zipo Taarifa za Kampuni ya Tigo Tanzania kubadili jina.

Si kazi nyepesi kubadili jina la Brand kubwa kama Tigo, bila shaka liko jambo kubwa sana lililopelekea uamuzi huu.

Je, ile kesi kabambe ambayo Lissu ameifungulia Kampuni hiyo nje ya nchi yaweza kuwa Sababu?
 
Zipo Taarifa za Kampuni ya Tigo Tanzania kubadili jina.

Si kazi nyepesi kubadili jina la Brand kubwa kama Tigo, bila shaka liko jambo kubwa sana lililopelekea uamuzi huu.

Je ile kesi kabambe ambayo Lissu ameifungulia Kampuni hiyo Nje ya Nchi yaweza kuwa Sababu?
Hawawezi kukwepa kikombe hicho lazima wainywe.
 
Zipo Taarifa za Kampuni ya Tigo Tanzania kubadili jina.

Si kazi nyepesi kubadili jina la Brand kubwa kama Tigo, bila shaka liko jambo kubwa sana lililopelekea uamuzi huu.

Je ile kesi kabambe ambayo Lissu ameifungulia Kampuni hiyo Nje ya Nchi yaweza kuwa Sababu?
Peter Torsh aliwahi kuimba
" You can Run but you can't hide"

The Ocean is boiling. The Rocks are hot, you gonna have no where to Hide.

Kuna Bush Lawyer kawashauri😅😅😅
 
Back
Top Bottom