Je, kinachoendelea sasa katika nchi tajiri ya Marekani ni uthibitisho kwamba pesa sio kila kitu (Money can't buy everything)?

Je, kinachoendelea sasa katika nchi tajiri ya Marekani ni uthibitisho kwamba pesa sio kila kitu (Money can't buy everything)?

Good evening jamiiforums

Je, kinachoendelea sasa katika nchi tajiri ya Marekani ni uthibitisho kwamba pesa sio kila kitu (Money can't buy everything)?

Marekani ana-sign peace deal na wanamgambo? How comes? Americans have enough cash, fully equipped military/intelligence machinery plus overwhelming political influence lakini bado wanaomba poo?

View attachment 1801477

Marekani (USA) ndio nchi yenye pesa nyingi, teknolojia ya kutisha pamoja na mifumo imara ya ulinzi na usalama hapa duniani ikufuatiwa na mataifa kama China, Uingereza na Ufaransa.

Kwa namna Marekani ilivyo na "assets" za kila namna sikutegemea kabisa kama wange-sign peace agreement na wanamgambo wa Taliban ambao hata ndege vita moja hawana.

Taliban wanapigana kwa kujificha, silaha duni, pesa za kuungaunga na Intelligence gathering mbovu leo wanaingia makubaliano ya kusitisha vita na nchi yenye mihela?

HATA MIMI BADO NINAPENDA SANA PESA
=====
Pesa ni kitu kimoja muhimu sana katika maisha ya mwanadamu. Ukosefu wa pesa umefanya watoto kufa mapema sana kwa sababu ya kukosa matibabu stahiki ambayo laiti kama wazazi wao wangekuwa na pesa ya kutosha, wangeweza kuishi muda mrefu zaidi na kufika hata miaka 80.

Umuhimu wa pesa unaweza pia kuonekana linapokuja suala zima la elimu. Mimi ni mmoja wapo wa wahanga wa suala zima la kusoma pasipo kuwa na pesa za kutosha. Ningekuwa na uwezo wangu wa ku-upload vyeti vyangu vya kidato cha nne na sita humu JF mngeshangaa sana.

Matokeo yangu ya mitihani ya vidato hivyo viwili yanatofautiana kwa mbali mno. Nilifaulu kwa alamu za juu kidato cha nne kwa maana shule niliyopangiwa ilikuwa na walimu wazuri waliofundisha kwa juhudi pasipo mtoto kuhitaji kusoma masomo ya ziada.

Kidato cha tano na sita, nilienda kusoma katika shule ambayo ilikuwa ni lazima mwanafunzi asome masomo ya ziada (tuition) ili aweze kufaulu.

Sasa mimi baba yangu atapata wapi pesa ya kunipa nikasoma tuition wakati nguo/t-shirts tu za kuvaa nikiwa nyumbani nilikuwa nazo mbili mpaka watu wamenikariri wakawa wananiita "yule jamaa anayevaaga t-shirt nyekundu".

Kuna kipindi niliacha kabisa hata kwenda kanisani kwa maana nguo ni hizo hizo tu kila jumapili mpaka wasichana wakawa wananicheka.

Siku moja nikiwa kidato cha tano nilienda ofisini kwa mwalimu wa taaluma nililia saaana kama dakika 10 mbele ya yule mama nikamsimulia shida nilizokuwa ninapitia nyumbani kesho yake akaniletea nguo kadhaa za mtoto wake wa kiume.

Keep resting in peace madam Rosemary, sitakuja kukusahau shujaa wangu. Hakika umasikini ni mbaya sana.

Juzi hapa kuna watoto waliuawa wakiwa wameenda kuiba kuku. Just imagine mtoto anauwawa kisa kuku wa 15,000/= tu?

Ndugu zangu madhila ya umasikini ni mengi sana na ninaweza kuandika hata kurasa 1000 zinazohusiana na kadhika ya kutoka katika familia fukara. Nimeishi katika umasikini hivyo ninaujua from A to Z.

Kwa kipindi kirefu sana watu wamekuwa wakihusisha matukio ya uhalifu na viwango vya umasikini huku reference kubwa ikifanywa kutoka katika nchi zilizomo ndani ya bara la Afrika kama vile Tanzania.

Kwa namna nyingine tunaweza kusema kwamba "the higher the the poverty level, the higher the crime rate".

View attachment 1801505

Katika page ya Facebook ya kaka/mdogo wangu Millard Ayo nimekutana na taarifa hii inayohusu maamuzi ya bunge la huko kuruhusu watu kutembea na silaha hata kama hawana vibali kutokana na matukio ya "random shooting" ambayo yamekuwa yakijitokeza mara kwa mara katika majimbo mbalimbali huko nchini USA;

"Wabunge wa Texas Marekani wamepitisha muswada utakaoruhusu Wakazi wa Jimbo hilo kubeba bunduki na kutembea nazo mtaani hata kama hawana vibali vya kubeba silaha tofauti na sasa ambapo sheria inataka yeyote anaebeba bunduki kuwa na leseni, awe pia na mafunzo ya kuitumia lakini pia historia yake lazima ichunguzwe.

Wanaounga mkono sheria hiyo mpya wanasema itaruhusu Raia wa Texas kujilinda wenyewe huko mitaani na huenda ikasaidia Raia kujibu mashambulizi pale Mtu mwenye silaha anapofyetua risasi bila sababu kwenye eneo la umma kama ambavyo imetokea Watu kuua Watu kanisani, super market na sehemu nyingine za umma"


SWALI: Je, kinachoendelea katika nchi tajiri ya Marekani kwa sasa ni uthibitisho kwamba pesa sio kila kitu (Money can't buy everything)?

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Amani haipatikani kwa kupigana. Miaka 20 ya vita na bado Amani haikupatikana Afghanistan
 

Duuh yani wewe mwanaume umefanya yote haya?

Hongera na pole!
Mimi mwanaume tena? Kwanini?
 
Penzi la dhati unalosema wewe lilikuwepo hapo zamani enzi za bibi zako, siku hizi bila pochi hakuna penzi ni uongo tu!!!
Penzi la dhati bado lipo sana tu. Mimi nilifanya umalaya na wanaume wengi enzi za ujana ila nikaona nitulie na sasa ni mume na familia yangu ya watoto 2.
 
Marekani wanazo nyingi saaaana lakini bado wameshindwa kuwa na amani. Sisemi kwamba sipendi pesa, hapana, mimi pia bado ninatamani sana kuwa nazo nyingi.
Mwenyepesa na Asiye na pesa wote wakawa hawako kwenye AMANI basi mwenye pesa atakuwa hayupo kwenye amani kwa 30% ila asiye na pesa hayupo na amani 70%.
 
Nimekula saaaaana pesa za boyfriends wa mashosti zangu. Nimewachuna haswaaa. Nilifanya sana umalaya enzi nipo chuo IFM na mabosi wa pale town hivyo ninajua ninachokisema.

Sasa nimeolewa, nipo na watoto 2 Iringa. Njoo unywe ulanzi.
Akija na hela atakuswaga na huyu[emoji848][emoji848]
 
Good evening jamiiforums

Je, kinachoendelea sasa katika nchi tajiri ya Marekani ni uthibitisho kwamba pesa sio kila kitu (Money can't buy everything)?

Marekani ana-sign peace deal na wanamgambo? How comes? Americans have enough cash, fully equipped military/intelligence machinery plus overwhelming political influence lakini bado wanaomba poo?

View attachment 1801477

Marekani (USA) ndio nchi yenye pesa nyingi, teknolojia ya kutisha pamoja na mifumo imara ya ulinzi na usalama hapa duniani ikufuatiwa na mataifa kama China, Uingereza na Ufaransa.

Kwa namna Marekani ilivyo na "assets" za kila namna sikutegemea kabisa kama wange-sign peace agreement na wanamgambo wa Taliban ambao hata ndege vita moja hawana.

Taliban wanapigana kwa kujificha, silaha duni, pesa za kuungaunga na Intelligence gathering mbovu leo wanaingia makubaliano ya kusitisha vita na nchi yenye mihela?

HATA MIMI BADO NINAPENDA SANA PESA
=====
Pesa ni kitu kimoja muhimu sana katika maisha ya mwanadamu. Ukosefu wa pesa umefanya watoto kufa mapema sana kwa sababu ya kukosa matibabu stahiki ambayo laiti kama wazazi wao wangekuwa na pesa ya kutosha, wangeweza kuishi muda mrefu zaidi na kufika hata miaka 80.

Umuhimu wa pesa unaweza pia kuonekana linapokuja suala zima la elimu. Mimi ni mmoja wapo wa wahanga wa suala zima la kusoma pasipo kuwa na pesa za kutosha. Ningekuwa na uwezo wangu wa ku-upload vyeti vyangu vya kidato cha nne na sita humu JF mngeshangaa sana.

Matokeo yangu ya mitihani ya vidato hivyo viwili yanatofautiana kwa mbali mno. Nilifaulu kwa alamu za juu kidato cha nne kwa maana shule niliyopangiwa ilikuwa na walimu wazuri waliofundisha kwa juhudi pasipo mtoto kuhitaji kusoma masomo ya ziada.

Kidato cha tano na sita, nilienda kusoma katika shule ambayo ilikuwa ni lazima mwanafunzi asome masomo ya ziada (tuition) ili aweze kufaulu.

Sasa mimi baba yangu atapata wapi pesa ya kunipa nikasoma tuition wakati nguo/t-shirts tu za kuvaa nikiwa nyumbani nilikuwa nazo mbili mpaka watu wamenikariri wakawa wananiita "yule jamaa anayevaaga t-shirt nyekundu".

Kuna kipindi niliacha kabisa hata kwenda kanisani kwa maana nguo ni hizo hizo tu kila jumapili mpaka wasichana wakawa wananicheka.

Siku moja nikiwa kidato cha tano nilienda ofisini kwa mwalimu wa taaluma nililia saaana kama dakika 10 mbele ya yule mama nikamsimulia shida nilizokuwa ninapitia nyumbani kesho yake akaniletea nguo kadhaa za mtoto wake wa kiume.

Keep resting in peace madam Rosemary, sitakuja kukusahau shujaa wangu. Hakika umasikini ni mbaya sana.

Juzi hapa kuna watoto waliuawa wakiwa wameenda kuiba kuku. Just imagine mtoto anauwawa kisa kuku wa 15,000/= tu?

Ndugu zangu madhila ya umasikini ni mengi sana na ninaweza kuandika hata kurasa 1000 zinazohusiana na kadhika ya kutoka katika familia fukara. Nimeishi katika umasikini hivyo ninaujua from A to Z.

Kwa kipindi kirefu sana watu wamekuwa wakihusisha matukio ya uhalifu na viwango vya umasikini huku reference kubwa ikifanywa kutoka katika nchi zilizomo ndani ya bara la Afrika kama vile Tanzania.

Kwa namna nyingine tunaweza kusema kwamba "the higher the the poverty level, the higher the crime rate".

View attachment 1801505

Katika page ya Facebook ya kaka/mdogo wangu Millard Ayo nimekutana na taarifa hii inayohusu maamuzi ya bunge la huko kuruhusu watu kutembea na silaha hata kama hawana vibali kutokana na matukio ya "random shooting" ambayo yamekuwa yakijitokeza mara kwa mara katika majimbo mbalimbali huko nchini USA;

"Wabunge wa Texas Marekani wamepitisha muswada utakaoruhusu Wakazi wa Jimbo hilo kubeba bunduki na kutembea nazo mtaani hata kama hawana vibali vya kubeba silaha tofauti na sasa ambapo sheria inataka yeyote anaebeba bunduki kuwa na leseni, awe pia na mafunzo ya kuitumia lakini pia historia yake lazima ichunguzwe.

Wanaounga mkono sheria hiyo mpya wanasema itaruhusu Raia wa Texas kujilinda wenyewe huko mitaani na huenda ikasaidia Raia kujibu mashambulizi pale Mtu mwenye silaha anapofyetua risasi bila sababu kwenye eneo la umma kama ambavyo imetokea Watu kuua Watu kanisani, super market na sehemu nyingine za umma"


SWALI: Je, kinachoendelea katika nchi tajiri ya Marekani kwa sasa ni uthibitisho kwamba pesa sio kila kitu (Money can't buy everything)?

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Kuhusu pesa kununua kila kitu, HAIWEZEKANI ila inaweza kununua vitu vingi ambavyo ni MATERIAL THINGS.

Pesa hainunui HISIA wala Amani ya nafsi.

Kuhusu kwanini Marekani ina sign peace deal na Taleban ni kwamba,

Marekani siyo mgeni wa vita. Ameshapigana vita nyingi, kuna vita nyingi aneshinda na vita nyingi kapigika.

Sasa hivi kina economic warfare. Huwezi kupigana vita isiyo na maslahi. Na kwanini upigane vita upate hasara wakati unaweza kupata maslahi yako kwa kufanya makubaliano ya amani tu ?

Kwa amani ndani ya nchi kwa maana ya kuepuka mashambulizi kutoka nje wamejitahidi. Mashambulizi ya ndani ni uhalifu tu kama uhalifu mwingine.

Na kuhusu wamarekani kutembea na silaha, ni matokeo ya:
  • Uhuru mkubwa binafsi wa watu
  • Biashara ya silaha zenyewe. Kufanya Gun control US imekuwa ngumu kutokana na watu kuwa na maslahi na biashara ya silaha.

"Wao wanaamini Bunduki haziui watu ila watu ndio wanaua watu"

Sasa unawezaje ku-control hisia za watu ili waache kuua watu, hilo sasa siyo jambo ambalo pesa inaweza kufanya.
 
Money can buy all MATERIAL THINGS like: good clothes food car good house goodweekendoutings good phone & everything good.

Tell me what poverty can buy?
Poverty buy mavi only
 
Back
Top Bottom