Je, kinywaji aina ya ‘mnazi’ ni halali kwa Waislamu?

Je, kinywaji aina ya ‘mnazi’ ni halali kwa Waislamu?

Lupweko

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2009
Posts
23,566
Reaction score
24,891
Moja kwa moja kwenye hoja. Kinywaji hiki cha 'mnazi' ni maarufu sana na kinatumiwa kwa wingi katika ukanda wa pwani wa nchi yetu ambao kwa kiasi kikubwa una idadi kubwa ya waumini wa dini ya kiisilamu.

Kwa kuwa kinywaji hiki kina 'ulevi' ndani yake, yaani kwa kunyoosha maelezo ni pombe, na kwa kuwa pombe ni 'haramu' kwa imani ya kiisilamu, Je, wakazi waisilamu wa maeneo ya Pwani, wanafanikiwaje kujiepusha kutayarisha na kutumia kinywaji hiki?

Au kwa lugha nyepesi, waisilamu wa huko pwani ni kweli hawajihusishi na pombe hiyo?

cc: black sniper, imhotep, nasrimgambo, Kimpyempye, zebri, Mwislam by choice, ummumuhammad, Mesut90, Impimpi, Kikwajuni One, FaizaFoxy

1646636561218.png
 
Hahaha tembo aisee nilikuwa naipenda kuinywa ile yenyewe OG ambayo inatoka kuvunwa asbh ile tester ila ukienda ubanda unakuta washaizimua..

OG Inaleta Sana usingizi NI nzuri pombe wanakunywa mpk amerika sio Kama wanzuki au kangara ya kishamba japo kangara inaleta afya ila inaandaliwa kichafu...kuhusu uhalali Mimi sio muislam ila najua pombe Wanasema NI haramu tuwasubiri waje watupe mwongozo.


IMG_20220213_124849_9.jpg
 
Story za vijiweni hizo [emoji3]
Hizi nazo ni stori za vijiweni??[emoji856]
[emoji1370][emoji1370]
مَّثَلُ الْجَنَّةِ الَّتِي وُعِدَ الْمُتَّقُونَ ۖ
فِيهَا أَنْهَارٌ مِّن مَّاءٍ غَيْرِ آسِنٍ وَأَنْهَارٌ مِّن لَّبَنٍ لَّمْ يَتَغَيَّرْ طَعْمُهُ وَأَنْهَارٌ مِّنْ خَمْرٍ لَّذَّةٍ لِّلشَّارِبِينَ وَأَنْهَارٌ مِّنْ عَسَلٍ مُّصَفًّى ۖ وَلَهُمْ فِيهَا مِن كُلِّ
الثَّمَرَاتِ وَمَغْفِرَةٌ مِّن رَّبِّهِمْ ۖ كَمَنْ هُوَ خَالِدٌ فِي النَّارِ وَسُقُوا مَاءً حَمِيمًا فَقَطَّعَ أَمْعَاءَهُمْ

[ MUH'AMMAD - 15 ]
Mfano wa Pepo walio ahidiwa wachamngu ina mito ya maji yasiyo vunda, na mito ya maziwa isiyo haribika ladha yake, na mito ya ulevi kwa wanywao, na mito ya asali iliyo safishwa.

Na wao humo watakuwa na kila namna ya matunda, na maghfira kutoka kwa Mola wao Mlezi.

Basi hao ni kama watakao dumu Motoni na wakinyweshwa maji yanayo chemka ya kuwakata matumbo yao?

وَمِن ثَمَرَاتِ النَّخِيلِ وَالْأَعْنَابِ تَتَّخِذُونَ مِنْهُ سَكَرًا وَرِزْقًا حَسَنًا ۗ إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَآيَةً لِّقَوْمٍ يَعْقِلُونَ

[ AN NAH'L - 67 ]
Na kutokana na matunda ya mitende na mizabibu mnatengeneza ulevi na riziki nzuri. Hakika katika hayo ipo Ishara kwa wanao tumia akili.
 
Hizi nazo ni stori za vijiweni??[emoji856]
[emoji1370][emoji1370]
مَّثَلُ الْجَنَّةِ الَّتِي وُعِدَ الْمُتَّقُونَ ۖ
فِيهَا أَنْهَارٌ مِّن مَّاءٍ غَيْرِ آسِنٍ وَأَنْهَارٌ مِّن لَّبَنٍ لَّمْ يَتَغَيَّرْ طَعْمُهُ وَأَنْهَارٌ مِّنْ خَمْرٍ لَّذَّةٍ لِّلشَّارِبِينَ وَأَنْهَارٌ مِّنْ عَسَلٍ مُّصَفًّى ۖ وَلَهُمْ فِيهَا مِن كُلِّ
الثَّمَرَاتِ وَمَغْفِرَةٌ مِّن رَّبِّهِمْ ۖ كَمَنْ هُوَ خَالِدٌ فِي النَّارِ وَسُقُوا مَاءً حَمِيمًا فَقَطَّعَ أَمْعَاءَهُمْ

[ MUH'AMMAD - 15 ]
Mfano wa Pepo walio ahidiwa wachamngu ina mito ya maji yasiyo vunda, na mito ya maziwa isiyo haribika ladha yake, na mito ya ulevi kwa wanywao, na mito ya asali iliyo safishwa. Na wao humo watakuwa na kila namna ya matunda, na maghfira kutoka kwa Mola wao Mlezi. Basi hao ni kama watakao dumu Motoni na wakinyweshwa maji yanayo chemka ya kuwakata matumbo yao?

وَمِن ثَمَرَاتِ النَّخِيلِ وَالْأَعْنَابِ تَتَّخِذُونَ مِنْهُ سَكَرًا وَرِزْقًا حَسَنًا ۗ إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَآيَةً لِّقَوْمٍ يَعْقِلُونَ

[ AN NAH'L - 67 ]
Na kutokana na matunda ya mitende na mizabibu mnatengeneza ulevi na riziki nzuri. Hakika katika hayo ipo Ishara kwa wanao tumia akili.
Hapo kwenye mito ya ulevi kwa wanywao...ina maana ni kwa wale ambao duniani walikuwa wanakunywa. Au nimeelewa vibaya?
 
Aidha kwa makusudi ama kwa kutokujua umeamua kujumuisha dini nzima katika ulevi wa mnazi kwa vile tu kwa mujibu wako ni maarufu zaidi maeneo yanayoishi waislamu. Ulevi ni tabia kama vile uzinzi, wizi nk. Sasa ukiamua kuchambua jambo kwa kujumusha dini nzima ni kukosea wale wote wenye hiyo dini hata kama hawahusiki.

Ungeeleweka zaidi kama ungeuliza watu wa Pwani na sio waislamu wa pwani kuhusu ulevi wa mnazi maana huko pwani kuna kila dini.
Nina yakini mengi yamekatazwa kwenye ukristo lakini bado yanafanywa na baadhi ya wakristo, je hapo napo utajumuisha waumini wote wa ukristo, mfano wanaozini?

Inawezekana dhamira yako kuanzisha uzi ilikuwa na kupata umaarufu usio na tija, lakini kama muungwana unapaswa utafakari athari ya kutukana/kudhihaki imani za wengine maana nina yakini hakuna dini yeyote inaruhusu kudhihakiana.
 
Vyote vilivyopo hapa duniani, ni halali kuliwa; kama havina madhara kwa mtumiaji. Hayo mengine ni utaratibu tu wa watu waliojiwekea.
 
Dini hizi we achana nazo , Mfano kuna Msanii anaitwa Zuchu alishawahi kusema kwenye interview kuwa yeye hawezi kukubali kudhaminiwa na kampuni zinazotengeneza Vilevi Sasa ajabu nyimbo zake nyingi za huyo Msanii ni maudhui ya Kingono ngono tena ya Wazi wazi...!
 
Dini hizi we achana nazo , Mfano kuna Msanii anaitwa Zuchu alishawahi kusema kwenye interview kuwa yeye hawezi kukubali kudhaminiwa na kampuni zinazotengeneza Vilevi Sasa ajabu nyimbo zake nyingi za huyo Msanii ni maudhui ya Kingono ngono tena ya Wazi wazi...!
Ni wazimu tuu
 
Hizi nazo ni stori za vijiweni??[emoji856]
[emoji1370][emoji1370]
مَّثَلُ الْجَنَّةِ الَّتِي وُعِدَ الْمُتَّقُونَ ۖ
فِيهَا أَنْهَارٌ مِّن مَّاءٍ غَيْرِ آسِنٍ وَأَنْهَارٌ مِّن لَّبَنٍ لَّمْ يَتَغَيَّرْ طَعْمُهُ وَأَنْهَارٌ مِّنْ خَمْرٍ لَّذَّةٍ لِّلشَّارِبِينَ وَأَنْهَارٌ مِّنْ عَسَلٍ مُّصَفًّى ۖ وَلَهُمْ فِيهَا مِن كُلِّ
الثَّمَرَاتِ وَمَغْفِرَةٌ مِّن رَّبِّهِمْ ۖ كَمَنْ هُوَ خَالِدٌ فِي النَّارِ وَسُقُوا مَاءً حَمِيمًا فَقَطَّعَ أَمْعَاءَهُمْ

[ MUH'AMMAD - 15 ]
Mfano wa Pepo walio ahidiwa wachamngu ina mito ya maji yasiyo vunda, na mito ya maziwa isiyo haribika ladha yake, na mito ya ulevi kwa wanywao, na mito ya asali iliyo safishwa.

Na wao humo watakuwa na kila namna ya matunda, na maghfira kutoka kwa Mola wao Mlezi.

Basi hao ni kama watakao dumu Motoni na wakinyweshwa maji yanayo chemka ya kuwakata matumbo yao?

وَمِن ثَمَرَاتِ النَّخِيلِ وَالْأَعْنَابِ تَتَّخِذُونَ مِنْهُ سَكَرًا وَرِزْقًا حَسَنًا ۗ إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَآيَةً لِّقَوْمٍ يَعْقِلُونَ

[ AN NAH'L - 67 ]
Na kutokana na matunda ya mitende na mizabibu mnatengeneza ulevi na riziki nzuri. Hakika katika hayo ipo Ishara kwa wanao tumia akili.
Umemaliza kila kitu waislamu pombe ruksa
 
Back
Top Bottom