Je, Kituo chako Cha Ajira Kiko Wilaya gani Tanzania, unadhani ni sehemu yenye 'Future' kwako au unatamani kuhamia Mkoa tofauti- Utaje

Mkuu labda biashara yako huna mtaji wa kutosha kukutengenezea faida ya kutosha mkuu, njoo hapo uwekeze kwenye viatu vya kichina kutoka China mzigo wa 50m utaingiza sio chini ya 20m kwa wiki mbili hiyo ni pesa ya hand to mouth kweli?
 
Mimi nimefanya kazi ya ulinzi, na nilikuwa nafungia nje mpaka wanaojiita maboss.


Nimewahi kufanya kazi ya ualimu, nilichoma lesson plan na scheme of work nikaacha kazi.

Mtu kama ni mlevi, huhudhurii kazini, hutekelezi wajibu wako wa kimkataba lazima uwe CHAWA na kuabudu abudu watu ili ulindwe.

Hivi Kama wewe ni Mwalimu, unaamka unafika kazini saa 1:30 unasaini, saa9:30 unatoka.

Lesson plan na scheme of work unaandika.

Huyo Afisa Elimu anakuja kukusumbua kwa kipi??

Tatizo kubwa la Wabongo ni WAOHQ sana bila sababu za msingi.

Yaani mtu anaogopa tu FOR NO REASON. Tena sometimes mtu anauemuogopa na yeye yuko abode na sheria zile zile Kama yeye.

Ujinga tu.

Job descriptions ni maelezo mafupi tu yanayoeleweka.

Sehemu pekee ambao huwa wanaitumia Kudanganya wafanyakazi ni kipengele Cha "na shughuli nyingine utakazopangiwa na mkuu wako wa kazi" ambacho ni kipengele wanachokuwa wanatoa tafsiri ya kijinga tu.
 
Mkuu labda biashara yako huna mtaji wa kutosha kukutengenezea faida ya kutosha mkuu, njoo hapo uwekeze kwenye viatu vya kichina kutoka China mzigo wa 50m utaingiza sio chini ya 20m kwa wiki mbili hiyo ni pesa ya hand to mouth kweli?
50M siyo mtaji wa biashara ya kawaida.

Asilimia kubwa ya mitaji ya Watanzania wengi ni Kati ya 200K-20M
 
Acha uongo,lazima uwaabudu wateja wako,tena sana!!
Mkuu unaweza kumkataa boss? , Sawa kuna mikataba , hakuna siku unaenda tofauti na huo mkataba kwa bahati mbaya ? Halafu unategemea huruma ya mtu?
Kwenye kujiajiri hakuna mambo hayo.
 
Hongera kwa kujiajiri.

Unachotakiwa kukumbuka ni kuwa, sio watu wote wanaweza kujiajiri; na sio wote wanaweza kuajiriwa.

Wewe uliyejiajiri kuna waajiriwa bado utawahitaji. So kama hakuna watu walio tayari kuajiriwa, hiyo ajira yako binafsi pia haitafikia malengo.

Hata waajiriwa pia wanahitaji waajiri wawepo, na ikibidi waongezeke ili kila mwenye nia ya kuajiriwa, apate ajira.

That's how things work out.
 
50M siyo mtaji wa biashara ya kawaida.

Asilimia kubwa ya mitaji ya Watanzania wengi ni Kati ya 200K-20M
Hahaha biashara ya 200k kwa 1m ni biashara au ujasiriamali wanao jifunza biashara?
 
Hahaha biashara ya 200k kwa 1m ni biashara au ujasiriamali wanao jifunza biashara?
Na hao ndio Watanzania wengi.
Ukishakuwa na mtaji wa at least 100M ndio unaweza kuanza kuonja UHURU, maana unaweza kuajiri vibarua wa kukusaidia kazi.
 
Wana ukabila sana 😅 sisi tunamijengo miwil moshi,ila mie nimejenga dizimu, mdogo wangu mmoja mwanza,mwingine kaweka kambi geita, moshi ni kutembea Kama makazi ya family tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…