Abrams
JF-Expert Member
- Apr 27, 2024
- 276
- 338
Sahihi kabisani muhimu zaidi walioenguliwa wakajilaumu wenyewe kwa kukosa sifa za uongozi na kukiuka taratibu, kanuni na sheria za uchaguzi wa serikali za mitaa na si vinginevyo š
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sahihi kabisani muhimu zaidi walioenguliwa wakajilaumu wenyewe kwa kukosa sifa za uongozi na kukiuka taratibu, kanuni na sheria za uchaguzi wa serikali za mitaa na si vinginevyo š
WA KULAUMIWA NI WADANGANYIKAJe, kuenguliwa wagombea wa CHADEMA nani alaumiwe?
Je, tumlaumu Mbowe kwa maridhiano?
Je, tumlaumu Lissu kwa kupinga Maridhiano?
Je, tumlaumu Rais Samia kwa kutekeleza 4R zake?
Comments ziwe fupi fupi sana.
Acheni kuengua watu Kwa vijisababu uchwara. Sifa gani hizi za spelling pekee Kama sio ujuha? Jitafakari kabla ya kumwaga upupu wako humu.Nchi yetu inaendeshwa kwa taratibu na sheria, acheni kulialia kutafuta huruma, ukikosa sifa lazima uenguliwe.
Wote hawana tatizo:Je, kuenguliwa wagombea wa CHADEMA nani alaumiwe?
Je, tumlaumu Mbowe kwa maridhiano?
Je, tumlaumu Lissu kwa kupinga Maridhiano?
Je, tumlaumu Rais Samia kwa kutekeleza 4R zake?
Comments ziwe fupi fupi sana.
Sasa mtu hajajiandikisha lakini anajaza fomu ya kugombea Unyekiti sasa unataka umlaumu DED kweli!!? Labda ukiwa nyumbu!wa kulaumiwa ni yule mwenye kuwaengua kwa sababu za kimagumashi kama vile yeye ni malaika mtakatifu asiye fanya makosa. Haya mambo ya kuenguana ni old stone age na wanao ratibu zoezi la kuengua watu ni zinjanthropus wa zama hizi... wajitathmini kwa kweli... huwezi engua mtu ili mwingine apata advantage ya ushindi- ujuha uhuja tu...
Anajiandikisha Mara ngapi? Nida anayo, kitambulisho cha mpiga kura kipo na bado mnataka ajiandikishe?! Huo ndio ujuhuwa wenyewe at its best⦠au ni vipi Ndugu yangu ?Sasa mtu hajajiandikisha lakini anajaza fomu ya kugombea Unyekiti sasa unataka umlaumu DED kweli!!? Labda ukiwa nyumbu!
Je, kuenguliwa wagombea wa CHADEMA nani alaumiwe?
Je, tumlaumu Mbowe kwa maridhiano?
Je, tumlaumu Lissu kwa kupinga Maridhiano?
Je, tumlaumu Rais Samia kwa kutekeleza 4R zake?
Comments ziwe fupi fupi sana.
Ndio hapo unapoonekana unyumbu wako kwa kutokujua mazingira ya TZ.Anajiandikisha Mara ngapi? Nida anayo, kitambulisho cha mpiga kura kipo na bado mnataka ajiandikishe?! Huo ndio ujuhuwa wenyewe at its best⦠au ni vipi Ndugu yangu ?
Matusi Yana kusaidiwa nini wewe ? Huwezi ku comment bila kutukakana au hapo ndipo kiwango chako cha kufikiri kilipo ishia?Ndio hapo unapoonekana wako kwa kutokujua mazingira ya TZ.
Wakose sifa chadema 100% yenye wasomi nchi nzima halafu wawe na sifa ccm kwa 100% wenye vilaza nchi nzima nyie fanyeni masihara siku jahazi likizama tunazama wote.Nchi yetu inaendeshwa kwa taratibu na sheria, acheni kulialia kutafuta huruma, ukikosa sifa lazima uenguliwe.
Wala sio kweli yani chadema wakosee spellings nchi nzima na ccm wapatie spellings nchi nzima tuwe serious huu mchezo wanaoufanya ccm unaratibiwa na usalama wa taifa.Acheni kuengua watu Kwa vijisababu uchwara. Sifa gani hizi za spelling pekee Kama sio ujuha? Jitafakari kabla ya kumwaga upupu wako humu.
Rais wetu anahusikaje ktk ujinga wa nyumbu. Be serious bwanamdogo