LGE2024 Je, kuenguliwa wagombea wa CHADEMA nani alaumiwe kati ya Mbowe, Lissu au Rais Samia?

LGE2024 Je, kuenguliwa wagombea wa CHADEMA nani alaumiwe kati ya Mbowe, Lissu au Rais Samia?

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Hata kama watanzania wengi ni wajinga lakini msiwadharau kwa kiwango hicho.
1. CCM inafanya mambo yanayofanya tudharauliwe kimataifa. Huu upuuzi ulianza wakati wa magufuli kwenye uchafuzi wa mwaka 2020 Kimantiki tunajua chadema inakubalika na wasomi na watu wanaojielewa wakati ccm inakumbatia mambumbu kama mtaji wake. Sasa unapowaengua chadema wote mkoa mzima kwa kigezo cha spelkings na kuwaacha ccm wote kwa kigezo cha spellings mtu hata asiye makini atajiuliza hili linawezekanaje?
2. Mnashindwa hata kuonea watu kwa akili wasijue mabaya mnayowafanyia yani 100% wa ccm wawe sahihi na 100% wa chadema wawe wrong hili linawezekanaje? Shimo mnaloichimbia chadema mtaingia wenyewe. Kiufupi kwasasa ccm ndio aibu kuu ya taifa. Msikilizeni Dr kitima vizuri.
 
Hata kama watanzania wengi ni wajinga lakini msiwadharau kwa kiwango hicho.
1. CCM inafanya mambo yanayofanya tudharauliwe kimataifa. Huu upuuzi ulianza wakati wa magufuli kwenye uchafuzi wa mwaka 2020 Kimantiki tunajua chadema inakubalika na wasomi na watu wanaojielewa wakati ccm inakumbatia mambumbu kama mtaji wake. Sasa unapowaengua chadema wote mkoa mzima kwa kigezo cha spelkings na kuwaacha ccm wote kwa kigezo cha spellings mtu hata asiye makini atajiuliza hili linawezekanaje?
2. Mnashindwa hata kuonea watu kwa akili wasijue mabaya mnayowafanyia yani 100% wa ccm wawe sahihi na 100% wa chadema wawe wrong hili linawezekanaje? Shimo mnaloichimbia chadema mtaingia wenyewe. Kiufupi kwasasa ccm ndio aibu kuu ya taifa. Msikilizeni Dr kitima vizuri.
 
Wakulaumiwa ni wagombea na chama chao kwa kutozingatia sheria na kanuni za uchaguzi wa serikali za mitaa.
Kanuni zinasema:

1. Umri wa mgombea ni kuanzia miaka miaka 21. Chadema inateua wagombea wa umri wa miaka 18 hadi 20.

2. Mgombea awe anajua kusoma na kuandika kiswahili na kiingereza. Chadema inaweka wagombea ambao hawawezi hata kuandika majina yao.

3.Mgombea hatakiwi kuwa na ugonjwa wa akili. Chadema inaweka wagombea wenye akili zilizoathiriwa na madawa ya kulevya, bangi, viroba, wenye mafaili Mirembe, C1 etc

4. Mgombea lazima awe na kazi rasimu inayomupatia kipato cha uhakika cha kuendeshea maisha yake. Chadema inaweka wagombea ambao ni jobless, wapiga debe, matapeli, panya roads, waganga njaa, wasio na uhakika wa kula kesho, wazururaji, maxhangudoa etx

5. Mgombea lazima awe ni mwanachama hai wa chama chake. Chadema inaweka wagombea ambao hawana hata kadi ya uanachama wa chadema.

6. Mgombea asiwe alishawahi kuhukumiwa na kufungwa jela kwa zaidi ya miezi 6 kwa kosa la jinai. Chadema inaweka wagombea ambao walishawahi kufungwa jela kwa makosa ya ujambazi, wizi, ubakaji, ukabaji, utekaji na kadhalika.

7. Mgombea lazima awe ni raia wa Tanzania. Chadema wanaweka wagombea ambao hawa kadi au namba ya NIDA.

8. Mgombea lazima awe ameshajiandikisha kwenye daftari la uchaguzi wa serikali za mitaa. Chadema inaweka wagombea ambao hawakujiandikisha kwenye daftari hilo.

10. Na kadhalika. Yaana chadema ni kokoro la mtu yo yote kuwa mgombea. Hili haliwezi kukubalika. Lazima waenguliwe.
Unamwambia mtu ni jobless ni watanzania wangapi wanaishi bila kazi na wanategemea ajira binafsi na vichwa vyao ili wishing na wanaishi?
Unamwambia mtu ana matatizo ya akili kwa uthibitisho upi?
 
Back
Top Bottom