Je, kukataa uteuzi wa Rais kunaweza kuchukuliwa kama uhaini?

Je, kukataa uteuzi wa Rais kunaweza kuchukuliwa kama uhaini?

..huwa hawakatai, bali humuomba Raisi awafikirie kwa nafasi tofauti.
Ni lini au ni wakati gani walimu wanaapa kiapo cha utii kwa Rais?
..hapana.

..kuna jamaa mmoja aliteuliwa na Mwalimu Nyerere kuwa DC akakataa.

..aliendelea na kazi yake ya ualimu baadae Mwalimu Nyerere alimteua kuwa Kamishna wa Elimu.
 
Nenda kwenye point..
 

Attachments

  • IMG-20230105-WA0014.jpg
    IMG-20230105-WA0014.jpg
    71 KB · Views: 8
Back
Top Bottom