Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makosa yanayohusishwa na uhaini yapo kwenye Katiba ya JMT, hilo la kukataa uteuzi halipo miongoni mwake.
Hata idara ya usalama wa Taifa haimo kwenye katiba, licha ya kwamba majeshi mengine yapoMakosa yanayohusishwa na uhaini yapo kwenye Katiba ya JMT, hilo la kukataa uteuzi halipo miongoni mwake.
"Mhaini" kwa nani, huyo aliyemteua, au kwa nchi?Kuna baadhi ya kada huapa kiapo cha utii kwa Rais. Je iwapo ikatokea mtu mwenye kiapo hiki amegomea uteuzi alioteliwa na Rais, je anaweza kuchukuliwa kama mhaini?
Jeshini kuna kanuni mbili tu...nadhani hili swali ni complex kidogo na huenda halikustahili kuulizwa ktk mazingira ya kilichotokea.
..Ni kweli askari wanakula kiapo kwa amiri jeshi mkuu.
..sasa huu uteuzi sidhani kama unahusiana na mambo ya kiuaskari ambayo wahusika wamekula kiapo kumtii amiri jeshi mkuu.
..pia naamini amiri jeshi mkuu naye hayuko juu ya sheria kwamba kila amri anayotoa ni halali.
..vipi ikiwa amiri jeshi ametoa amri ambayo si halali, je, askari anatakiwa kuitii?
Jeshini kuna kanuni mbili tu.
1. A boss is always right.
2. If a boss goes wrong, go to principle no. 1
Tatizo viapo vyao ni siri yao na Mwenyekiti wa CCM Taifa.Kuna baadhi ya kada huapa kiapo cha utii kwa Rais. Je iwapo ikatokea mtu mwenye kiapo hiki amegomea uteuzi alioteliwa na Rais, je anaweza kuchukuliwa kama mhaini?
alikuwa hajaapa bado kwa ajili ya huo uteuzi. technically hakuwa katibu wa ikulu bado. hakuna kosa.Kuna baadhi ya kada huapa kiapo cha utii kwa Rais. Je iwapo ikatokea mtu mwenye kiapo hiki amegomea uteuzi alioteliwa na Rais, je anaweza kuchukuliwa kama mhaini?
Kiapo cha utii kwa Rais kinaapwa unapomaliza mafunzo na kuingia kazinialikuwa hajaapa bado kwa ajili ya huo uteuzi. technically hakuwa katibu wa ikulu bado. hakuna kosa.
Katiba inasema je kuhusu uhaini? kukacha uteuzi wa rais (au kutokumtii) imeorodheshwa kama moja ya makosa yanayotafsiriwa kama uhaini?Kiapo cha utii kwa Rais kinaapwa unapomaliza mafunzo na kuingia kazini
Hakuna Anayeweza Kukataa Uteuzi
HajuiRejea katiba unafahamu makosa ya uhaini ni yapi
Ipo kwenye KatibaHata idara ya usalama wa Taifa haimo kwenye katiba, licha ya kwamba majeshi mengine yapo
Kuna jamaa alikataa uteuzi wa JIWE, yule mwamba namheshimu saana japo mesahau jina lake, najiuliza alipata wapi ujasiri wa kumgomea JPJM?Kuna baadhi ya kada huapa kiapo cha utii kwa Rais. Je iwapo ikatokea mtu mwenye kiapo hiki amegomea uteuzi alioteliwa na Rais, je anaweza kuchukuliwa kama mhaini?