Je, kukataa uteuzi wa Rais kunaweza kuchukuliwa kama uhaini?

Askari anatakiwa kutii amri kutoka juu yake, kumbuka amri za jeshini huendana kwa rank, maagizo yanatoka juu yanashuka chini mpaka ngazi ya utekelezaji, hivyo amri ikishatoka juu, hata kama sio halali, haiwezi kupingwa na wa cheo cha chini, kijeshi itatekelezwa tu.
 
Kuna baadhi ya kada huapa kiapo cha utii kwa Rais. Je iwapo ikatokea mtu mwenye kiapo hiki amegomea uteuzi alioteliwa na Rais, je anaweza kuchukuliwa kama mhaini?
Kuna mtu alishaukataa uteuzi wa Magu wa kuwa mkuu wa Wilaya....

Hili nalo hebu mkalitazame
 
Ni Masoudi masanya.Alikataa ukuu wa wilaya ya mbozi.Alikuwa ni meneja wa kampuni ya tigo Kanda ya ziwa.
🫵🏻🫵🏻🫱🏻‍🫲🏽🫱🏻‍🫲🏽🫱🏻‍🫲🏽🫱🏻‍🫲🏽😅😅
 
Hata idara ya usalama wa Taifa haimo kwenye katiba, licha ya kwamba majeshi mengine yapo
So, unadhani coz idara haipo kwenye Katiba basi inaweza kufanya mambo yake kivyake, au niseme ipo juu ya sheria za nchi?

Siamini kama mambo yapo hivyo, japo kiuhalisia inaonekana hao jamaa hujifanyia mambo yao pale wakihisi usalama wa taifa uko hatarini, na wanaweza kufanya hivyo hata kwa kuvunja sheria za nchi.

Tukirudi kwenye swali lako kuhusu kosa la uhaini, kisheria hilo la kukataa maagizo ya Rais sio miongoni mwake, lakini kiutaratibu wao, linaweza kuwa miongoni mwake, coz hao jamaa ni kama wana taratibu zao kivyao.
 

..hoja yangu ni kwamba kilichotokea hakikuwa amri au maagizo toka kwa amiri jeshi mkuu kwenda kwa askari.

..raisi hakuwa akitekeleza majukumu au akitoa maelekezo kama amiri jeshi mkuu.
 
Hakuna uhaini hapo!
Ila kutoka Mkurugenzi wa Taifa kwenda kuwa Katibu Mkuu wa ofisi, ni ka demotion hivi.

Watu werevu kama wapare hawawezi kukubali.
 
..hoja yangu ni kwamba kilichotokea hakikuwa amri au maagizo toka kwa amiri jeshi mkuu kwenda kwa askari.

..raisi hakuwa akitekeleza majukumu au akitoa maelekezo kama amiri jeshi mkuu.
Inawezekana agizo halikuwa amri kama shughuli za kiserikali ikiwemo uteuzi, hazihusiani na cheo cha amiri jeshi mkuu alichonacho Rais.
 
Umejitahidi kuelimisha
 
Kuna Nini kimetokea huko[emoji848][emoji848][emoji848]
Yaheeee wazanzibar wameanza kutiana vidole vya macho wakigombea ugali wa bara yaheee.....
Yaheee ugali wa bara mtamu shehee[emoji1787][emoji1787]
 
Inategemea msingi , labda afya n.k uhaini ni kukutendea ndivyo ulichokiapa! I.e utii kwa rais na kutokutoa siri
Shida huyu ni Kachero. Anajua mengi ya mtungini kama si yote. Kuanzia upolisi, utakukuru, RAS, TISS . Sio wa kawaida.
 
..hapana.

..kuna jamaa mmoja aliteuliwa na Mwalimu Nyerere kuwa DC akakataa.

..aliendelea na kazi yake ya ualimu baadae Mwalimu Nyerere alimteua kuwa Kamishna wa Elimu.
Kuna yule afisa masoko sijui wa Tigo mkoa wa Mwanza aligomea teuzi ya JPM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…